Nimecheka kwa sauti kubwa hadi walio pembeni yangu wameshanga.Katika vizee unavyovichambisha huko ughaibuni,hakuna hata kimoja chenye 'special place in your heart!?'
Ila wewee umenifanya leo niangue kicheko cha hatarii am in stitches.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka kwa sauti kubwa hadi walio pembeni yangu wameshanga.Katika vizee unavyovichambisha huko ughaibuni,hakuna hata kimoja chenye 'special place in your heart!?'
Mbona walishindwa mtoa Assad? US inakua exaggerated mbona Afghanistan imewashinda wameondoka tu nchi imerudi kwa magaidi.kwa hili Houthis wanachokitafuta watakipata
Mim wa karume mchikichin.Watu wapo vitani wewe unaongelea habari ya kujizuia wewe wawapi.
Zaulobakia toa wewe bossMbona wewe huwa unatoa taarifa za upande mmoja tu?
hadithi yako umeifanya ndefu bure kwa kuthibitisha lile lile kuwa elimu yako si kitu mbele ya ukweli. Raisi na waziri wa ulinzi wa Marekani wameinuka kwenye viti vyao kuzungumzia shambulio hilo lakini wewe unajaribu kuonesha si lolote...
Bado hamjaonyesha wapi US warship imekuwa hit kama ambavyo mmedai kwa mbwembwe kwenye habari yenu. Tittle yenu inasema Marekani yapata kipigo chake cha mwanzo Red Sea.Yakiri meli yake kupigwa makombora ikihusiswa na vita vya IsraelTaarifa yote ni hapo tu au wewe umependezwa na hapo!?..us warship was attacked
Hicho kiengereza chako sijui ni cha nchi gani kwani viengereza viko vya nchi mbali mbali.Kiko english/Tanzania pia.Bado hamjaonyesha wapi US warship imekuwa hit kama ambavyo mmedai kwa mbwembwe kwenye habari yenu. Tittle yenu inasema Marekani yapata kipigo chake cha mwanzo Red Sea.Yakiri meli yake kupigwa makombora ikihusiswa na vita vya Israel
There is a big difference between being attacked and being hit.
Haizkuwa softicated kama zilivyo kwa sasaNadhani watu wa kwanza ku operate drones ni Waingereza na ziliongozwa kwa radio waves na ni zamani huko kipindi cha vita ya kwanza ya dunia
Umekurupuka leoBado hamjaonyesha wapi US warship imekuwa hit kama ambavyo mmedai kwa mbwembwe kwenye habari yenu. Tittle yenu inasema Marekani yapata kipigo chake cha mwanzo Red Sea.Yakiri meli yake kupigwa makombora ikihusiswa na vita vya Israel
There is a big difference between being attacked and being hit.
Wishful thinking.Acha kuweweseka leta fact
NATO mlikimbia kule Afghanistan [emoji1023] kama ambavyo us mtakimbia hapo mido ist Afghanistan [emoji1023] ulikua mwanzo tu mjiandae kisaikolojia
Mbona unajihisi..😛😛Wewe fuata unachokiamini na wengine waache wafuate wanachokiamini But ukileta kashfa za kipumbavu tutakupokea kama unavyokuja.
Halafu hata waisilam tunaona wanauziwa maji ya upako na mwisho wanaenda kushuhudia uponyaji walioupata. Maradhi, tabu na changamoto za maisha hazina cha imani.Wewe muumini unayeuziwa maji ya upako na chumvi ulipata nafasi ya kuchambua hilo kua unapigwa?
Naona unabadili tu ID zako ila umefeli kubadili content mwisho umejulikana.Mbona unajihisi..😛😛
Endelea tu kuuziwa chumvi ya upako kisha lala usingizi huku ukisubiri utajiri ukuijie kwa njia ya kimiujiza.Halafu hata waisilam tunaona wanauziwa maji ya upako na mwisho wanaenda kushuhudia uponyaji walioupata. Maradhi, tabu na changamoto za maisha hazina cha imani.
Hiyo siyo kama Moskva ya Urusi, meli kubwa jinga tani 11,000 haina air defense system. Meli zote zimekuwa attacked ila USS Corney haijawa hit, kwenye habari yako na source yako hakuna ilivyoandikwa hivyo hata ukiamua kutumia English ya Saudi Arabia hupati hivyo.Hicho kiengereza chako sijui ni cha nchi gani kwani viengereza viko vya nchi mbali mbali.Kiko english/Tanzania pia.
Kwa kiengereza American nimekuonesha hapo juu kuwa wametumia neno hilo hilo la attacked kwa meli zote 4 zilizoendeshwa mchaka mchaka na Houth kwa muda wa masaa 2....
Kwa hiyo meli zimekuwa attacked!?..fafanuaBado hamjaonyesha wapi US warship imekuwa hit kama ambavyo mmedai kwa mbwembwe kwenye habari yenu. Tittle yenu inasema Marekani yapata kipigo chake cha mwanzo Red Sea.Yakiri meli yake kupigwa makombora ikihusiswa na vita vya Israel
There is a big difference between being attacked and being hit.
Nawewe endelea na wishful kama rahisiWishful thinking.
kuna wale wanao enda gaza kwa miguu😂😂 wamekonda balaaWaislam wameamua
Chaujuaji once again,,,,Hiyo siyo kama Moskva ya Urusi, meli kubwa jinga tani 11,000 haina air defense system. Meli zote zimekuwa attacked ila USS Corney haijawa hit, kwenye habari yako na source yako hakuna ilivyoandikwa hivyo hata ukiamua kutumia English ya Saudi Arabia hupati hivyo.