Watabe wa dunia wanajizuia kwa nguvu zote kutoingia ktk huo mtego kwa sabab madhara yake ni makubwaVita ya tatu naiona ....[emoji25][emoji24][emoji24]
Msianze kulialia watoto wamelipuliwakwa hili, US halali na deni
cc Maghayo
kwa hili Houthis wanachokitafuta watakipataMsianze kulialia watoto wamelipuliwa
Kwani wewe bikra yako unakumbuka aliyekutoa?Hao magaidi wana mapepo sana na naona hayo mapepo yanawatafutia wale mabikra 72 kule ahera na pombe inayotiririka kwenye mito ya huko.
Si haba mdogo mdogo.Pentagon imekiri meli yake ya kivita iitwayo USS Carney imepigwa kwa makombora kwenye bahari nyekundu.Vipigo hivyo vimehusishwa na vita vya Israel huko Gaza na kwamba meli nyengine za kibiashara zinazohusishwa na Israel nazo pia zimeshambuliwa...
Hana atakalofanya kwa houthikwa hili Houthis wanachokitafuta watakipata
Msemaji wa jeshi la marekani kutoka mandepwende,,Itelijensia ya marekani imeshajua hapo kuna watu wametumwa kufanya uchokozi ili marekani ijibu so, kuna akili plus hekima inafanya kazi sasa!.
Watu wapo vitani wewe unaongelea habari ya kujizuia wewe wawapi.Watabe wa dunia wanajizuia kwa nguvu zote kutoingia ktk huo mtego kwa sabab madhara yake ni makubwa
Hakuna namna inabidi mgeuke kuwa wasemaje wa white House tu hakuna namna [emoji1787]Itelijensia ya marekani imeshajua hapo kuna watu wametumwa kufanya uchokozi ili marekani ijibu so, kuna akili plus hekima inafanya kazi sasa!.
Huwa wana sema wanawake na watoto. Wakati sisi tunafahamu kama ilivyo ccm, kuna UVT, na UWT na chipukizi au watoto. Na Hamas vivyo hivyo kuna vitoto, vijana, vibaba na mijimama.Msianze kulialia watoto wamelipuliwa
Unajifurahisha tu japo unafahamu vizuri kwamba unachojisemea ni kitu hakiwezekani kabisa.Hana atakalofanya kwa houthi
Nahuu ndio mwanzo wa mwisho wa us pale mido ist
Acha tuone