Marekani yapeleka mfumo wa THAAD Israel kuwalinda dhidi ya Iran

Why not in Ukraine
 
Mda sahihi wa U.Sna vifaa vyao kuvuliwa nguo kwama tulivofanya kule Ukraine
 
Tuliwambia hio THAAD haina lolote jana siumeona drones na Missile za Hezbullah zinashuka kama mvua.

Hio drone walisema ya Mrusi kumbe ni Shaheed 136 Hezbullah anazo kama utitiri mpaa Pentagon jana wameogopa.
 
Aiseeh nmeamini Iran alilenga na kulipia mifumo ya kiulinzi
 
Kama angekua nashida na raia angewekeza makombora hospital sokoni mashuleni huko lazima raia wangedhurika ila wao walitaka kambi na zilitwangwa haya ya kupiga raia kama mafanikio anayo adui mzayuni
 
Iran hakulenga makazi ya raia, yeye kapiga base za kijeshi
Watu ni wajinga sasa hivi ndio matokeo ya shambulio la Iran yanaonekana Iran alipiga vitu muhimu tu ili watu wake wafanye kazi zao bila shida
 
Kama lengo la iran sio kuua raia mbona aliua mpalestina mmoja sema israel haiwatumii raia kama human shield wamewekeza kulinda raia wao
Hilo chuma liloua raia ni baada ya kudunguliwa ndio likaangukia Kwa huyo raia na sio kama yalilenga raia
 
Saddam Hussein akufa 1990 alikuja kwenye miaka ya kati ya 2005 /2010
 
Saddam Hussein akufa 1990 alikuja kwenye miaka ya kati ya 2005 /2010
Nenda kasome tena nilicho andika mkuu! Kuna vita 2 pale, moja nimeandika "USA alikwenda na mataifa mengine 29...." baadae nikasema, " all European community except France. Hizo vita zote tumezishuhudia tukiwa watu wazima, sija google.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…