Maoni binafsi ya Trump hayana uhusiano na sera za mambo ya nje za marekani kuelekea nchi na nchi.Wewe kwa akili yako unadhani Tume iseme Trump umeshindwa anaweza kataa kutoka Ikulu? Anaanzaje kwa mfano, taasisi za kule sio za vyama Kama huku ambapo vyombo vya usalama na taasisi zingine ni Kama matawi ya chama,ndio maana kinaitwa chama dola
Chaguzi ni mbili this time ni ku go chattotown au the Hague.Wamejipanga vizuri ili waje wapitishe kuongeza ukomo wa urais. Jiwe amewashika kwenye balls kabisa hawatingishiki
Mkuu, nimechukua maelezo ya Mwandishi kuelezea hicho,Amini nakwambia Magufuli hashindi uchaguzi wa mwaka huu!! Wajinga Tanzania ni wachache sana!!
Mabeberu ni neno la waliofilisika kifikra na wengi ni waliosoma sylbus za zamani wenye upeo duni kuhusu duniaNeno mabeberu halina maana yoyote zaidi ya kutia watu hofu...
Ni wengi ila ni wachache sana ukilinganisha na watanzania wenye akili.Mkuu, nimechukua maelezo ya Mwandishi kuelezea hicho,
Ikiwa manatambua wasio elewa ni wengi, mnapata wapi ujasiri wa kusema mtashinda?
😂Ni wengi ila ni wachache sana ukilinganisha na watanzania wenye akili.
Mkuu! Makampuni ya Kimarekani kama yametishiwa Kwa ajiri ya maslahi ya nchi yetu, kuna Tatizo gani mkuuJPM anatuharibia nchi,na ameshaiharibu,miaka 5 hakuna ajira,demekrasia imeharibiwa,Marekani wameonyesha ushahidi was kutosha wa kuharibiwa kwa Tanzania,Tutajuta muda sio mrefu .marekani imelaumu kutishiwa kwa makapuni yake.tutafurahia wenewe
Nyinyi ni mapumbavu na mjinga ambayo kila mnalosikia kutoka Marekani mnaona ndiyo mwisho wa mambo yote.,Dada yangu nikuambie,maneno ya kipuuzi kama hayo tunayasikia kila mara lakini kila anayevunja sheria na taratibu hataachwa kwa sababu Marekani imesema.Kunakaribia kukucha.
Jiwe katuharibia sana hii nchi, Tatizo watanzania wengi si waelewa.
Hii ni Dalili kuwa utawala wa Jiwe unapingwa kila kona Watanzania wengi hatumpendi Magufuri, Wazungu hawampendi Magufuri, watetezi wa haki za binadamu hawampendi Magufuli, mashirika ya umoja wa mataifa na msaada hayampendi Magufuli.
Kwaheli Magufuli, kwaheriCCM, kwaheri ukoloni, Kwaheri umasikini.
Wewe kama si beberu, kiherehere cha nini?Neno mabeberu halina maana yoyote zaidi ya kutia watu hofu...
NDIYO Maana ya Beberu?Mabeberu ni neno la waliofilisika kifikra na wengi ni waliosoma sylbus za zamani wenye upeo duni kuhusu dunia
NDIYO Maana ya Beberu?
Kwamba wamesoma miaka hiyooo!!! Kwa sylbus za zamaaaani" ndio hao Mabeberu, au ndio maana ya Beberu?
Na kama si hivyo, basi mliosoma nyakati hizi kwenye sylbus za ki digital ni wajinga kuliko muda wowote
Maana ulichokiandika, ukikirudia kukisoma utajikubali kwamba wewe ni mjinga haswaa!!
Hapo mtaani kwenu hebu jarbu kuingilia maslahi ya watu wanayopata kiushenzi na kihuni afu utaiona rangi halisi ya ngozi zao.Narudia kuandika maoni yangu Kama nilivyoyatoa Mara kadhaa,kwa miaka mingi kulikuwa na upinzani ambao haufuatiliwi na watu wa magharibi sasa tangu shambulio la Lissu ,kulitoa fursa kwa upinzani kupaza sauti zao na kuwaeleza wazungu ambao kimsingi ni wafadhili wakubwa wa serikali Hali halisi ya siasa za Tzn hususani awamu ya Magu na reflection ya matukio ya kunyanyaswa wapinzani toka enzi ya Mkapa,JK na JPM.
Sasa hii ni fursa adhimu kwa watazn kuweza kuiondoa ccm madarakani maana tumepata mtu ambaye anaweza sikilizwa na Wazungu,bahati mbaya au nzuri Magu ni mtu wa kiburi hawezi ku associate nao vizuri.Tutumie fursa hii kuweza kupiga kura za kuikataa ccm ili wakiiba wazungu watatusaidia kuwabana maccm.Kwa sasa maccm yamebaki na kalata ya mwisho ya kuita TL kibaraka kisa mtu wao haungwi mkono na Wazungu.Porojo za hivi hazikumsaidia Mugabe japo kule Zim wapinzani hawajaingia lakini wamepata ushindi wa kwanza na huku inawezekan.
Mabeberu ni neno la waliofilisika kifikra na wengi ni waliosoma sylbus za zamani wenye upeo duni kuhusu dunia
Mkuu huyo hakuna haja hata ya kumjibu kwa maneno...dawa yake huyo ni kwamba Tume yetu itamjibu kwa vitendo kwa kurekebisha kasoro zote, kwa kuhakikisha kuwa uchaguzi unakuwa wa haki, uhuru na uwaz halafu tuone atasema nini tena; mawakala wote wa vyama wataapishwa kwa haki, kura zitapigwa kituon kwa uhuru na uwazi, mpigakura akitaka kusubiri kituon baada ya kupiga kura yake ataelekezwa akae mita mia kusubiri matokeo, kura zitahesabiwa kituon hapo hapo, wakala atapewa fomu ya matokeo hapo hapo na nyingine itabandikwa hapo hapo kituon...hapo itakuwa kwishney tumewamaliza mkuu Kichuguu, kutakuwa hakuna kulalamika tenaTanzania sasa hivi ni nchi ya mfano sana ndiyo maana wanapiga kelele hivyo. Zamani tukiwa shamba la bibi walikuwa hawasemi kitu; na hata nchi zote zinazotuzunguka kama Rwanda ambayo inaongozwa kimabavu sana hawaisemi kwa vile haina manufaa sana kwao. yeye anshiwndwa kuzungumzia jinsi wapiga kura wa Marekani wanavyobanwa wasipige kura anakuja kuongelea mambo ya Tanzania.
Yaani wanajikangaja sasa; balozi ambaye ndiye yuko Tanzania anaongea mambo mengine, wakati yeye yuko huko milimani Idaho anaongea mambo mengine ya kufikirika tu.
Ishu sio kutishwa ishu Ni kuingia gharama kubwa Sana za kuhudumia wakimbizi sababu ya matumbo ya wachache kina jiwes and company.Kumbuka watawala wa kiafrica wanachoweza kwa bidii ni kuzalisha wakimbizi duniani na sio kuhudumia wakimbizi.Mkuu! Makampuni ya Kimarekani kama yametishiwa Kwa ajiri ya maslahi ya nchi yetu, kuna Tatizo gani mkuu
Mf, kuzimwa Kwa mitambo ya IPTL
dooh!! hakiyamungu aisee ccm ni Msiba mzito kwa Taifa hili tukufu la TanzaniaMabeberu yanagawa pesa