Uchaguzi 2020 Marekani yawasihi NEC na Magufuli kujali misingi ya demokrasia kwenye Uchaguzi Mkuu 2020


We miliki dola miliki paundi lakini umma ukikukataa huna pa kushika,Kama tu hio dola umeitelekeza 5 yrs kuinyima mishahara inaweza kukubeba vipi?.Anaemiliki nguvu ya umma ndie anaemiliki dola.
 
Amini nakwambia Magufuli hashindi uchaguzi wa mwaka huu!! Wajinga Tanzania ni wachache sana!!
Mkuu, nimechukua maelezo ya Mwandishi kuelezea hicho,

Ikiwa manatambua wasio elewa ni wengi, mnapata wapi ujasiri wa kusema ninyi ma prof mtashind?
 
JPM anatuharibia nchi,na ameshaiharibu,miaka 5 hakuna ajira,demekrasia imeharibiwa,Marekani wameonyesha ushahidi was kutosha wa kuharibiwa kwa Tanzania,Tutajuta muda sio mrefu .marekani imelaumu kutishiwa kwa makapuni yake.tutafurahia wenewe
 
JPM anatuharibia nchi,na ameshaiharibu,miaka 5 hakuna ajira,demekrasia imeharibiwa,Marekani wameonyesha ushahidi was kutosha wa kuharibiwa kwa Tanzania,Tutajuta muda sio mrefu .marekani imelaumu kutishiwa kwa makapuni yake.tutafurahia wenewe
Mkuu! Makampuni ya Kimarekani kama yametishiwa Kwa ajiri ya maslahi ya nchi yetu, kuna Tatizo gani mkuu

Mf, kuzimwa Kwa mitambo ya IPTL
 
Nyinyi ni mapumbavu na mjinga ambayo kila mnalosikia kutoka Marekani mnaona ndiyo mwisho wa mambo yote.,Dada yangu nikuambie,maneno ya kipuuzi kama hayo tunayasikia kila mara lakini kila anayevunja sheria na taratibu hataachwa kwa sababu Marekani imesema.
Na Utake au usitake hicho kibaraka chenu kamwe hakiwezi kupata uongozi wa nchi hii.Mwalimu alishawahi kusema hatuwezi kukabidhi nchi kwa ma Mbwa.
 
Neno mabeberu halina maana yoyote zaidi ya kutia watu hofu...
Wewe kama si beberu, kiherehere cha nini?

Wanaitwa hivyo Kwa sababu Wapo, najua wewe si beberu, basi kaa kimya, vinginevyo, labda na wewe ni beberu
 
Mabeberu ni neno la waliofilisika kifikra na wengi ni waliosoma sylbus za zamani wenye upeo duni kuhusu dunia
NDIYO Maana ya Beberu?

Kwamba wamesoma miaka hiyooo!!! Kwa sylbus za zamaaaani" ndio hao Mabeberu, au ndio maana ya Beberu?

Na kama si hivyo, basi mliosoma nyakati hizi kwenye sylbus za ki digital ni wajinga kuliko muda wowote

Maana ulichokiandika, ukikirudia kukisoma utajikubali kwamba wewe ni mjinga haswaa!!
 

Sasa utaendelea vipi bila kushirikiana na mabeberu, niambie kuna nchi gani imekuwa fukara kwa kushirikiana na mabeberu.
Madikteta awawapendi mabeberu sababu wanawanyima usingizi na kuwapunguza speed ya kuuwa watu,kuiba Kodi za wananchi,kuuwa demokrasia kwa hofu ya kunyimwa misaada na kupelekwa the Hague bila vitu viwili hivi madikteta yangemaliza watu.
 
Hapo mtaani kwenu hebu jarbu kuingilia maslahi ya watu wanayopata kiushenzi na kihuni afu utaiona rangi halisi ya ngozi zao.
Watu Kama nyinyi mshukuru wachache waliona madhara yake wakadai Uhuru, otherwise ungetawaliwa milele.
 
Mabeberu ni neno la waliofilisika kifikra na wengi ni waliosoma sylbus za zamani wenye upeo duni kuhusu dunia

Mabeberu yanagawa pesa
 

Attachments

  • mabeberu yanagawa pesa.mp4
    6.3 MB
Mkuu huyo hakuna haja hata ya kumjibu kwa maneno...dawa yake huyo ni kwamba Tume yetu itamjibu kwa vitendo kwa kurekebisha kasoro zote, kwa kuhakikisha kuwa uchaguzi unakuwa wa haki, uhuru na uwaz halafu tuone atasema nini tena; mawakala wote wa vyama wataapishwa kwa haki, kura zitapigwa kituon kwa uhuru na uwazi, mpigakura akitaka kusubiri kituon baada ya kupiga kura yake ataelekezwa akae mita mia kusubiri matokeo, kura zitahesabiwa kituon hapo hapo, wakala atapewa fomu ya matokeo hapo hapo na nyingine itabandikwa hapo hapo kituon...hapo itakuwa kwishney tumewamaliza mkuu Kichuguu, kutakuwa hakuna kulalamika tena
 
Hawa wasiongee kama sio taifa kubwa, waache kuwalea kwani wamewalea kwa muda mrefu sana sasa ni wakati wa kufanya kweli.

Wawasubiri kakishaiba kura wawalime vikwazo tu kama Zimbabwe, hiyo ndio lugha madikteta wanaelewa.
 
Mkuu! Makampuni ya Kimarekani kama yametishiwa Kwa ajiri ya maslahi ya nchi yetu, kuna Tatizo gani mkuu

Mf, kuzimwa Kwa mitambo ya IPTL
Ishu sio kutishwa ishu Ni kuingia gharama kubwa Sana za kuhudumia wakimbizi sababu ya matumbo ya wachache kina jiwes and company.Kumbuka watawala wa kiafrica wanachoweza kwa bidii ni kuzalisha wakimbizi duniani na sio kuhudumia wakimbizi.
 
[SUP]Kuna mtu wa kujirekebisha hapo....?, shimo la tewa linamchungulia!![/SUP]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…