Maria Sarungi apeleka ICC nyaraka muhimu za ukiukwaji wa Haki za Binadamu Tanzania wakati wa Uchaguzi Mkuu

Mwanamke mwenye kidemu kirefu Tanzania nzima anataka kutuletea utani sasa. Kama anona vipi basi ahame nchi aende kuishi huko mjengoni mwa International Criminal Court kwenye amani tele au hata Somalia na Yemen.
 
Na ile video ya askari waliyopigwa mawe huko Zanzibar hadi wakakimbia ameipeleka? Au askari wao kupigwa na raia siyo kosa la ukiukwaji wa haki za binadam.
 
Kwani Majaji na Mahakimu wa Mahakama za ndani wana tofauti gani na wakuu wa Wilaya na Mikoa na ma DAS?
Hah hah hah. Nimecheka sana kuhusu ubora wa damu ya kizungu! Asante Missile of the Nation. Kweli vijana wakienda huko majuu wachagamke. Wachanganye damu!
 
Hujitambui nyonyo wewe
Kwani mahakama za ndani haziwezi kushughulikia hayo mpaka muende huko ICC?

Maana mpaka kesi ipelekwe huko maana yake ni mahakama za ndani kukosa uwezo wa kuendesha hayo mashitaka mfano Sudan(Darfur), DRC.
 
Niseme kwa dhati kabisa anachosema sarungi ni just madrama tu ambayo yanaonyesha wazi kwamba hawaitakii mema nchi yetu na hawana uzalendo hata kidogo watanzania tusidanganyike na hawa
 
Huyu demu ana umuhimu gani hapa Tanzania? Nashauri serikali wamkamate na kumpeleka ICC kwa umbea, kukosa la kufanya, na kuchochea machafuko Tanzania.
 
Watazilazimisha tu hao wapindisha-sheria; but no way
 
Hivi huyu mdada tofauti na journalism na activism ni nini kinamuingizia hela?
 
hana lolote huyu , anafikiri ICC ni mashindano ya urembo? Acha tumalize shughuli za kuunda serikali halafu tutashughulika na hiki kicheche. Yeye na Fatma wanawashwa na very soon watakunwa na brush ya chuma, zis is bongo bana.
 
Ulishajiuliza kwa nini Mungu aliruhusu Yohana akatwe kichwa au Daniel afungwe gerezani?
Ukipata jibu utaelewa kwa nini Mungu karuhusu ccm waibe kura.

Sasa atawasaidia lini muache kuibiwa mshike dola? Hao kina Yona aliwasaidia ila nyie kila siku ndo mnazidi kupotea.
 

Kwahiyo Mungu anaruhusu uovu, if there was any misconduct, ila haki hakubali.

Atawasaidia lini kama nyie kila siku kazi yenu ni kulialia na kumuachia Mungu. Ni lini mlikubali matokeo au kushinda? Mtamuachia hadi lini?
 
Ha ha ha ha
Unajua sheria za mahakama? Unashukuru umeambiwa kesi imekubaliwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…