Maria Sarungi ashindwa kuja kumzika baba yake kwa kuhofia usalama wake

Huyo ni baba ake mazazi, si bosi wa kike. Last thing baba yoyote duniani, hajali nini mtotowake anafanya huko nje, tena mtoto mtu mzima.
Always ana nafasi kwenye moyo wake, kwa hiyo maneneo yako ni irrelevant
 
Ndugu mbona msibani wameongea bila kuficha kuwa Maria Sarungi hakuchangia hata mia msiba wa baba yake

Kwa kabila la Proffessor Sarungi haikubaliki
Ok sawa hakuja kwa nini hakuchangia mchango wa hela wa msiba na mazishi ya baba yake ? Msiba vikao vimekaa toka Afariki kukusanya michango yeye hajatoa hata mia

Asilete porojo na michango aliogopa kutoa?

Hajamtendea haki baba yake marehemu

Lema sio msemaji wa familia

Familia wanalalamika maria Sarungi hajatoa hata mia shughuli ya mazishi ya baba yake

Angekuja kufanya nini?

Nduguye mmoja akasema Maria Sarungi alipoambiwa aje Tanzania kumzika baba yake akajibu kwa jeuri kuwa wamtumie nauli nduguye akauliza sisi tutoe wapi pesa za wewe kuja? akasema kwenye michango ambayo Viongozi wa CCM na CCM na serikali na Jeshi alikokuwa waziri.ambao wamechangia msibani

Nduguye akakata simu kwa hasira
 
Chadema mlishasema hamfi na hamziki ma CCM. Anatekeza msimamo wa chama.
 
KOSA KUBWA ALOFANYA NI HILI LANKUTOHUDHURIA.

ALITAKIWA AFIKE, WAMKAMATE, DUNIA IENDELEE KUJIONEA.
 


Mnawatengenezea watu mioyo magumu sana kwa kweli kwa haya mambo, Ccm mnatuharibia Umoja na uungwana wa Ki Tanzania
 
Hivi huyo si yule mwenye ugomvi na babayake?? Au mwingine??
 
A self-inflicted problem. She would have buried her father if she had respected the authority or criticized it respectfully.
 
ndiyo ajue ujinga anaoufanya una cost zake kama hizo
 
Tujifunze kuheshimu mamlaka Ili tuishi kwa amani.
Nimeandika Kuheshimu sio kuogopa.
Sawa Mkuu!

Heshima Ina njia Bora ya kukosoa mamlaka inapokesea, ni lazima ukosee maana inaongozwa na wadamu wasio wakamilifu.

Uwoga una unafanya watu, kuwa wanafki, hata pale mamlaka inapokosea, hausoki Bali unakumbatia na kufunika makosa na mamlaka!
 
kuna watu na viatu humu duniani,
kuamua kuishi kama viatu au kuishi kama watu ni uamuzi binafsi wa mtu.

Haukna haja ya kubabaika na kudanganyana kindezi kama anavyojaribu kufanya nabii mnyang"anyi
 
huyo bwege hawezi kuwa mtoto wa mzee mstaarabu km Prof. Sarungi. Litoto lidogo linamtukana Rais wa nchi yake? Babake alishawahi kumtukana nani? Akaozee huko Kenya, pumbavu.
Amewahi kutuka matusi gani, yataje kwa uchache kama ushahidi. Upuuzi wa serikali ya TZ kila mwenye itikadi tofauti na za CCM wanamchukulia kama adui na kila anayefichua wizi, ubaradhuli, uzandiki na unyama unaofanywa na serikali wanamuwinda ili wamuue.
Hiki kibibi kikoloni cha kutoka nchi jirani ya Zanzibar ni kikatili, kina roho mbaya na kinafiki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…