imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Mzee Kikwete alikuwa na kifua sana ingelikuwa ni combination ya Magufuli na Maza wangeua nusu ya Nchi.Mzanzibari hataki kukosolewa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee Kikwete alikuwa na kifua sana ingelikuwa ni combination ya Magufuli na Maza wangeua nusu ya Nchi.Mzanzibari hataki kukosolewa
Hawo ni ng'ombe hujitolea maneno ya kipuuzi ili waonekane wameandika tu.Thibitisha.
Wewe ndiye msemaji wao au mkusanya michango?Siyo kweli kosa kubwa alilofanya Maria Sarungi ni kutochangia hata mia msiba wa baba yake mzazi hata kama haji kwa mujibu wa ndugu zake
Hata kama haji angechangia basi mchango gharama za mazishi hakuchangia hata mia
Acha uongoKatekeleza maelekezo, Baba yake alimwambia hata akifa asikanyage kwenye mazishi yake
Porojo zenu wakati mnacheza bao ndiyo unazileta JF.Mchango wa fedha msiba wa baba yake mbona hajatuma?
Kwa mjibu wa nduguze msibani hajatuma hata mia hata kama haji
Katekeleza maelekezo, Baba yake alimwambia hata akifa asikanyage kwenye mazishi yake
Sawa, kama baba yake alikuwa mtu mwema kwa Samia mbona huyo Samia hakuguswa na kifo chake? Shida ya Samia anataka kila mtu amuite mama. Yeye kila kitu utasikia ni hisani kutoka kwa mama. Upumbavu mtupu!huyo bwege hawezi kuwa mtoto wa mzee mstaarabu km Prof. Sarungi. Litoto lidogo linamtukana Rais wa nchi yake? Babake alishawahi kumtukana nani? Akaozee huko Kenya, pumbavu.
Na Samia naye aliapizwa? Ukweli ni kwamba Samia alikuwa na chuki na familia ya Sarungi kutokana na msimamo wa Maria. Yale yale ya Jiwe kuwa na chuki kwa familia ya Bulembo kisa Zitto kumtia mimba Halima mpaka akamuamuru amkane hadharani naye kwa ubwege wake akatii amri. Ulitaka na Sarungi afuate amri za Samia kwa mwanae? Siyo kila mtu ni bwege wa kuamrishwa na huyo mama au mtu yeyote.Sarungi hakuwahi patana na mwanae na siku zote aliumizwa sana juu ya tabia chafu za mwanaye alimuapiza asije kanyaga kwenye mazishi yake.
Kaulize msibani ndugu wanaongea wazi tu tena wanafoka vikaoni mbona Maria Sarungi mwanawe kwenye daftari hajachangia?Wewe ndiye msemaji wao au mkusanya michango?
Mamlaka pia ijifunze kuheshimika, mamlaka hiyo imetoka kwetu, has vested in their hands,on behalf of we citizens overTujifunze kuheshimu mamlaka Ili tuishi kwa amani.
Nimeandika Kuheshimu sio kuogopa.
Anza kuweka ya kwako, then yeye atafanya hivyo utakavyo 🤣🤣🤣weka ID yako halisi halafu uudie hayo maneno we bwege.
ila Mariya ni mzuri aisee hazeekiMjumbe wa kamati kuu ya Chadema Godbless Lema amemfariji Maria Sarungi kupitia ukurasa wake wa X kutokana na Maria kushindwa kufika katika msiba wa baba yake
“Nimekusikiliza ukiongea kwa njia ya mtandao wakati wa salamu za rambi rambi ukiwa mbali na halaiki iliyokuja kumuaga baba yako Prof Sarungi hapa Karimjee Hall. Naelewa maumivu yako sana tu , usalama wako ni muhimu na hauwezi kuupuuza. Nafsi yako itakuwa inaumia sana. Jipe Moyo Mkuu sana kwani hatuna muda mrefu sana kufika ktk hatua muhimu ya mabadiliko.” - Godbless Lema
Yapi maoni yako
4R hazimaanishi matusi, uchochezi na hata dalili za kuchochea machafuko ya kuasi mamlaka ya nchi. Tujifunze uhuru wa maoni wa kizalendo kujua hii ni nyumba yetu; hatupaswi kuibomoa🙏🙏🙏Halafu bado kuna watu wanaamini 4Rs za Maza!
Hujathibitisha hapa.Nimethibitisha tayari au unataka video na barua yenye muhuri?
Prof. kamzaa shujaa.maria ni shujaa majizi tu ndo hawataelewaProf. Sarungi hawezi kujivunia hiyo takataka, uliwahi kumsikia Profesa akimtukana mtu? Siasa ni matusi? Huyo haifai hata kuzaa naye ni laana. Na mamake akifa atakuja kumzika? Au? Unawezaje kumtukana Rais mama mstaarabu km SAMIA? Km siyo laana ni nini?
Naifahamu sana hiyo familia mkuu, siongei kishabiki…. Kuna tabia chafu chafu fulani hivi siwezi ziandika hapa maana huwa naheshimiana kwa namna fulani na Maria zilimkwaza sana huyo mzee hii ya uanaharakati ilikuja juzi tu…. Siongei kwa chuki na nampongeza pia kwa kufa na tai shingoni japo kapata hasara maana watanzania sio watu wakujitolea maisha yako kwaajili yao.Na Samia naye aliapizwa? Ukweli ni kwamba Samia alikuwa na chuki na familia ya Sarungi kutokana na msimamo wa Maria. Yale yale ya Jiwe kuwa na chuki kwa familia ya Bulembo kisa Zitto kumtia mimba Halima mpaka akamuamuru amkane hadharani naye kwa ubwege wake akatii amri. Ulitaka na Sarungi afuate amri za Samia kwa mwanae? Siyo kila mtu ni bwege wa kuamrishwa na huyo mama au mtu yeyote.