Dr wa Manesi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2024
- 997
- 1,220
Vp umevuliwa nguo mbele ya kadamnasi na serikali?!!utaheshimu mamlaka isiyotenda haki?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vp umevuliwa nguo mbele ya kadamnasi na serikali?!!utaheshimu mamlaka isiyotenda haki?
kwenu hakuna nyama chunga sana tumbo litaponza tako kupenda kulakula misibaniNasikia baba yake alimpa laana.
Kwa raha zetu wana kijani tunasosomola manyama nyumbani kwao
kenya sio lumumba mkyundu weweMkuu nawe usipotezwe kirahisi, serikali gani yenye habari na haka kamaria?!!! Wakimtaka si yupo Kenya tu hapa wanampigia tukio Moja la kimataifa basi, anajistukia tu baada ya Kila porojo yake kufeli. Ile movie yake ya kutekwa ilivyobuma vibaya ndo anazidi kuona aibu.
Kwa jicho la kawaida unaona anashare maumivu na wewe, funguwa jicho la tatu uone wired funds zinazoingia kwenye account yake kutoka kwa mabeberu.Ukiwa na mtoto kama Maria ni utukufu mkubwa japokuwa amekulia kwenye maisha mazuri lakini angalau anashare machungu na sisi masikini.pole saaana dada endelea kutumia elimu yako vizur.na sisi tunakuombea ata Mungu anaona ibada yako.
Kwako wewe usiyejua lolote kisyimi mkubwa we!kenya sio lumumba mkyundu wewe
Hahaahaaaa!Kwa jicho la kawaida unaona anashare maumivu na wewe, funguwa jicho la tatu uone wired funds zinazoingia kwenye account yake kutoka kwa mabeberu.
Tatzo nkwamba aliye asisi "kwa hisani ya..." alipongezwa na kutukuzwa keamba anastahili vitu vyote kuitwa kwa hisani yake.Sawa, kama baba yake alikuwa mtu mwema kwa Samia mbona huyo Samia hakuguswa na kifo chake? Shida ya Samia anataka kila mtu amuite mama. Yeye kila kitu utasikia ni hisani kutoka kwa mama. Upumbavu mtupu!
Uanaharakati uchwara abaki nao huko huko Nairobi gharama za msiba wa baba yake achangie basi atume pesaUanaharakati uchwara😁😂
Pole Yake!Mjumbe wa kamati kuu ya Chadema Godbless Lema amemfariji Maria Sarungi kupitia ukurasa wake wa X kutokana na Maria kushindwa kufika katika msiba wa baba yake
“Nimekusikiliza ukiongea kwa njia ya mtandao wakati wa salamu za rambi rambi ukiwa mbali na halaiki iliyokuja kumuaga baba yako Prof Sarungi hapa Karimjee Hall. Naelewa maumivu yako sana tu , usalama wako ni muhimu na hauwezi kuupuuza. Nafsi yako itakuwa inaumia sana. Jipe Moyo Mkuu sana kwani hatuna muda mrefu sana kufika ktk hatua muhimu ya mabadiliko.” - Godbless Lema
Yapi maoni yako
..t s a two way traffic, mamlaka iheshimu watu pia ikiwemo freedom of speech, kiongozi asiyetaka kukosolewa kwa nini anataka uongozi?Tujifunze kuheshimu mamlaka Ili tuishi kwa amani.
Nimeandika Kuheshimu sio kuogopa.
Lakini maisha ni mapambano !Pole sana kwake inasikitisha mno
Lete ushahidi wa kauli yako hiyoSarungi hakuwahi patana na mwanae na siku zote aliumizwa sana juu ya tabia chafu za mwanaye alimuapiza asije kanyaga kwenye mazishi yake.
Viongozi wetu waache kuonea watu, na watambue kuwa mamlaka kamili inatoka kwa wananchi and not otherwise..t s a two way traffic, mamlaka iheshimu watu pia ikiwemo freedom of speech, kiongozi asiyetaka kukosolewa kwa nini anataka uongozi?
Wewe ni mwenyekiti wa michango ya rambi rambi? Na rambi rambi zina ukomo kwamba lazima zitolewe kabla ya mazishi..kesho akitoa utasemaje..? Acha kudandia misiba ya watu, ni Maria peke yake ameshindwa kuja? Mbona kaka na dada yake nao wameshindwa kuja..! Acha kuzungumzia mambo ya ndani ya familia za watu!Siyo kweli kosa kubwa alilofanya Maria Sarungi ni kutochangia hata mia msiba wa baba yake mzazi hata kama haji kwa mujibu wa ndugu zake
Hata kama haji angechangia basi mchango gharama za mazishi hakuchangia hata mia
Unadhani hiyo ni familia masikini kama ya kwako kwamba inategemea michango ya watu kuendesha misiba?Siyo kweli kosa kubwa alilofanya Maria Sarungi ni kutochangia hata mia msiba wa baba yake mzazi hata kama haji kwa mujibu wa ndugu zake
Hata kama haji angechangia basi mchango gharama za mazishi hakuchangia hata mia
..ametaja shida ya usalama wake ipo Tanzania?Huyo kaogopa mwenyewe TU...Wala hakungekuwa na wakumdhuru