900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 7,704
- 9,186
da Mange anakuja wiki ijayo dar ngoja tuoneAmeyataka mwenyewe. Mbona Lisu na huyo Lema wamerudi na hakuna anayewatisha. Asitake kutumia msiba wa baba yake kujinufaisha kisiasa 😎
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
da Mange anakuja wiki ijayo dar ngoja tuoneAmeyataka mwenyewe. Mbona Lisu na huyo Lema wamerudi na hakuna anayewatisha. Asitake kutumia msiba wa baba yake kujinufaisha kisiasa 😎
Ogopa sana dikteta mmwanamkeNikajua kwa sasa mambo mswano uhuru tele mpaka pomoni,
Kumbe bado kuna wasioweza kuja home kisa usalama wao!
Uanaharakati uchwara😁😂da Mange anakuja wiki ijayo dar ngoja tuone
Mbna una hasira sana? Kunywa maji mengi na upumzike.huyo bwege hawezi kuwa mtoto wa mzee mstaarabu km Prof. Sarungi. Litoto lidogo linamtukana Rais wa nchi yake? Babake alishawahi kumtukana nani? Akaozee huko Kenya, pumbavu.
4R hazimaanishi matusi, uchochezi na hata dalili za kuchochea machafuko ya kuasi mamlaka ya nchi. Tujifunze uhuru wa maoni wa kizalendo kujua hii ni nyumba yetu; hatupaswi kuibomoa🙏🙏🙏
Wee nae ni muongo, tabia gani chafu hizo em zitaje hapa.Naifahamu sana hiyo familia mkuu, siongei kishabiki…. Kuna tabia chafu chafu fulani hivi siwezi ziandika hapa maana huwa naheshimiana kwa namna fulani na Maria zilimkwaza sana huyo mzee hii ya uanaharakati ilikuja juzi tu…. Siongei kwa chuki na nampongeza pia kwa kufa na tai shingoni japo kapata hasara maana watanzania sio watu wakujitolea maisha yako kwaajili yao.
Mimi nae muongo…. Kisha unataka nizitaje hizo tabia chafu chafu halafu ambazo huzijui Ila ushaniita muongo!! Hata kutema koozi au kutosalimia inaweza kuwa tabia chafu kwa baadhi ya watu!! Hii Nchi kuna shida sana ya fikra!Wee nae ni muongo, tabia gani chafu hizo em zitaje hapa.
Na ukute huna hata unalolijua kuhusu hiyo familia, mxxxiiieeew
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Huyo kaogopa mwenyewe TU...Wala hakungekuwa na wakumdhuruNikajua kwa sasa mambo mswano uhuru tele mpaka pomoni,
Kumbe bado kuna wasioweza kuja home kisa usalama wao!
Liwe liwalo Sarungi hawezi kumkana mwanae kisa tu ishu za kupakazana.Naifahamu sana hiyo familia mkuu, siongei kishabiki…. Kuna tabia chafu chafu fulani hivi siwezi ziandika hapa maana huwa naheshimiana kwa namna fulani na Maria zilimkwaza sana huyo mzee hii ya uanaharakati ilikuja juzi tu…. Siongei kwa chuki na nampongeza pia kwa kufa na tai shingoni japo kapata hasara maana watanzania sio watu wakujitolea maisha yako kwaajili yao.
Huwa mnasema hivyo ila akishadhurika mnakuja na kauli nyingine ya kajitakia au kajiteka.Huyo kaogopa mwenyewe TU...Wala hakungekuwa na wakumdhuru
Ni ujinga mtupu kuheshimu majizi ya mali zetu kwa sababu yeyote ileTujifunze kuheshimu mamlaka Ili tuishi kwa amani.
Nimeandika Kuheshimu sio kuogopa.
Ule ni uchafu kama uchafu mwingine.Halafu bado kuna watu wanaamini 4Rs za Maza!
Mkuu umetoa siri.....wengi tulikuwa hatuijui hiii..Tulikuwa tunajiuliza, amefanya nini huyu Dada, mpaka anaogopa kurudi? Mbona Tndu, Lema wamerudi, na walikuwa wanatoa maneno makali zaidi kuliko yeye ambae hatujawahi hata kusikia maneno yake?Katekeleza maelekezo, Baba yake alimwambia hata akifa asikanyage kwenye mazishi yake
weka hapa hayo matusi aliyomtukana rais vinginevyo fals tu wewehuyo bwege hawezi kuwa mtoto wa mzee mstaarabu km Prof. Sarungi. Litoto lidogo linamtukana Rais wa nchi yake? Babake alishawahi kumtukana nani? Akaozee huko Kenya, pumbavu.
Mbona boss wenu "tal" yupo anadunda TU na hajadhuriwa..mkuu trust me huyu Wala hafiki hata ⅒ ya madhara ya TAL..TAL madhara yake ni makubwa na Wala hafanywi kitu..4R za mama ni matumaini kwa watzHuwa mnasema hivyo ila akishadhurika mnakuja na kauli nyingine ya kajitakia au kajiteka.
Sio kila mtu ni chawa kama wewe unayetegemea hisani ya Ikulu kuishi.huyo bwege hawezi kuwa mtoto wa mzee mstaarabu km Prof. Sarungi. Litoto lidogo linamtukana Rais wa nchi yake? Babake alishawahi kumtukana nani? Akaozee huko Kenya, pumbavu.
Mkuu nawe usipotezwe kirahisi, serikali gani yenye habari na haka kamaria?!!! Wakimtaka si yupo Kenya tu hapa wanampigia tukio Moja la kimataifa basi, anajistukia tu baada ya Kila porojo yake kufeli. Ile movie yake ya kutekwa ilivyobuma vibaya ndo anazidi kuona aibu.Nikajua kwa sasa mambo mswano uhuru tele mpaka pomoni,
Kumbe bado kuna wasioweza kuja home kisa usalama wao!
Na si Kila mtu ni nyumbu, wengine akili zao zipo huru wanazitumia vizuriSio kila mtu ni chawa kama wewe unayetegemea hisani ya Ikulu kuishi.
Inaelekea pumbavu ni wewe, au hakuna link kati ya vidole na fahamu?huyo bwege hawezi kuwa mtoto wa mzee mstaarabu km Prof. Sarungi. Litoto lidogo linamtukana Rais wa nchi yake? Babake alishawahi kumtukana nani? Akaozee huko Kenya, pumbavu.