mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
Maoni ni nini,na yanatakiwa yakaeje?
maoni huwa ni majibu binafsibya swali fulani au tatizo fulani,anayeleta mada mezani hawezikuwa ameleta maoni.
hiyo ni mada.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maoni ni nini,na yanatakiwa yakaeje?
Labda wewe unakisia lakini ukweli unatabaki kuwa muuaji hatimaye kafa na watu wanashangilia! Sasa mambo ya bibie tusubiri tuone utendaji wake!
Huyo unayemshabikia alikuwa anabwabwaja hadharani wakati akijeruhi wenzake sasa kwa nini wengine wafurahi kimoyo moyo? Wacha watu watoe nyongo zao!
Wengi walijua anaenda kukaa mwakibolwa pake kwenye U CDFWewe ni muongo! Magufuli anaingia madarakani Mabeyo alikuwa Chief of Staff, yaani alikuwa namba mbili kutoka kwa Mwamunyange ambaye alikuwa CDF. Hivyo hakuna waliopanguliwa kumpisha Mabeyo bali alipandishwa cheo mara baada ya Mwamunyange kustaafu.
Ilikuwa hata ukiangalia picha ya pamoja ya CDF, IGP na DG .. Unapata tafsiri pana sana, mtu ambae yupo Neutral ni IGP tu, na ambae kunaonekana hapako sawa ni DG na ambae anaonekana yupo serious na kazi zake hataki uvunjaji wa katiba ni CDF..Na atakaeleta fyoko fyoko tunamshughulikia. Hii ndio raha ya Tanzania yetu
Jana alikuwa chato ila kule nyuma nyuma kidogoHivi Diwani Athuman yupo wapi?
Uwe na heshima mkuu kwa pisi yangu ninapo mwaga virutubishoo.. au hadi tuvutane mashati 😀😀Maria Sarungi ni kaburu tu ana damu ya kizungu.
Diwani, Kibuta sioni wakiwa ofisini 😀😀😀😀.. Mambo sasa sioni akiwa ofisisini.. viva CDF mabeyo na IGP Siro ☺☺Kuna tatizo kuanzia juu kabsa kuna baadhi ya watu mama hataweza kufanya nao kazi lazima asafishe njia kwanza ,ukianzia ofisini kwake maana huyu nshomile mama hata muweza kabsa huyo alijua na swaiba wake r.i.p
By then Baba wa Taifa aliwahi kulaani baadhi yaakabila kwamba hayata kaa kwenye ngazi za juu za uongozi.
Acha kuota nawewe.
Mh Suluhu tokea ameapa ni wiki moja na ushee tuko na mwili wa marehemu, ambao zoezi zima linasimamiwa na JWTZ, shughuli ya jeshi kwenye mwili wa mpendwa wetu imekwisha jana. Hutona tena uliyoyaandika hapo.
Itifaki ni jambo kubwa,ukileta ujuaji unavuruga kila kitu.
Hahahaha JF ina watu wajuaji kama nini.
Inategemea; CDF Mabeyo alikuwa chaguo la JPM ndio maana waliokuwa juu yake wote walipanguliwa kwa kuondolewa ili aweze 'kumfikia mabeyo'
Rais Samia nae anaweza kuwa na Chaguo lake hivyo akapangua safu yote ya JPM ili amfikie anaemtaka na hakuna wa kumzuia.
Wapenda mabaya kwa TZ, kuzaliwa kwenye raha nako kuna shida zake, wako bored na yule mwenzake anayesumbuliwa na midlife crisis, ni shida kwa kweli..Hao nao tushawazoea watoto wa vigogo tushawajua , la kwao ni kuvuruga , wamwache mama atupe oxygen swaaaafi pamoja na Chief of Defense Forces
Hapa mama atumie wazoefu wa chama na apange safu yake ya ndani ya chama,nje ya chama na kwenye vyombo vya usalama.Kuna watu wanamtisha mama kwamba akiwamwaga watamtoa kupitia vikao vya CCM.
Go CDF mtoe mama wasiwasi.