Maria Sarungi ni nani?

hao wanajidhania ni makada wa ccm tutajua uhalisia wao maana kwa kadri jpm anavyozidi kuminya fursa za kifisadi, watatoka shimoni tu,
 
yupo prof.Martin sarungi,Dr.Emoke sarungi,Dr.Veronica sarungi na Maria Sarungi.Prof.Martin yuposcotland,Dr.Emoke yupo sweden,Dr.Veronica na Maria wapo dar.Maria ameolewa na muethiopia Tshei.NAFIKIRI UMENIELEWA VYEMA.

Nashukuru sana.
Inapendeza familia kama hii hata wa kumuagiza maji mwenzie hayupo wote wakali. Sio familia inakuwa na mateja kibaoo
 
She is very smart, understanding and friendly. I don't know much about her professional life history but her first impression to me was that.
Hana u-smart wowote, rangi yake tu na jina la baba yake ndo linambeba, ni kama tu walivyo akina January Makamba, Nape Nnauye na Hussein Mwinyi!
 
 
Rorya moja hiyo,chezea wana-rorya ww.

Yupo poa sana, JABER NYAR RORYA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…