Naomba Mungu kila siku muache tabia yenu ya wizi.Kumbe tunaposikia kuwa DRC,Somalia,South Sudan watu wanachapana ni hizi hizi tabia mlizo nazo za kimatabaka tabaka,ashukuriwe Mungu aliyemwondoa mwasisi wa mambo haya,nyie endeleeni tu kwa vile hamna meno mtaendelea tu kubwabwaja mpaka mfe muishe kabisa hapo hali itakuwa shwri.
Ndio maana mnawatukana na kuwadharau? Kwa sababu hawakuja magereza kuwapa pole? Kwa sababu hawakuja hospitali nairobi na ubeligiji?NENDA MAGEREZA KASHTAKI JE MATESO WALIOPITIA VIONGONI NA WAFUASI WA CHADEMA WANANCHI WALUSHIRIKISHWA?
Ndii mumtume Lema kuja kutukana? Mkiambiwa mnafanya siasa za Visasi mnakataa. Sasa hao waliojitengenezea mazingira hayo wanahaha nini. Wananchi wameshawashitukia. Ni walaghai.Kwani wakati wengine wanapigwa pingu, risasi, na kuswekwa lupango na kukimbia nchi ninyi si mlikua busy mnafanya sherehe za kupokea waliounga mkono juhudi?
Hakuna nchi yeyote Duniani unaweza kuleta za kuleta ukaachiwa.Si ndiyo yalikua 'maridhiano' yenu hayo? Mlimjumuisha nani?
Aliyeleta hayo ni wewe. Watu wamejikita kwenye hadaa ya Maridhiano, wewe unakuja kumtaja Hayati? Huoni wewe ndio bado una Shida! Unahuzunika nini sasa?Dah! Misukule ya Mwendazake mnapata shida...
Mbona bado sana
Pole "taga".Kwanza wanaccm halisia hatuna haja ya maridhiano na chadema kama hali yenyewe eti mbowe anadai serikali ya ccm iombe radhi. Iombe radhi kwa kitu gani? Awamu ya 5 ilikua ya kutukuka ila lengo la hawa vibaraka ni kumdermonise magufuli kwa malengo mapana ya mabebetu.
Labda maridhiano hsya ni kati ya chadema na ccm masilahi. Na ndio maana 2025 ccm inahitaji mgombea urais kutoka ccm asilia.
Kwisha habari yenu.Machadema ya kawaida yanaumia kimoyomoyo,
Ila viongozi wa juu wanaramba asali eti ili kufuta machungu ya awamu ya tano
Kina nani sasa?Kwisha habari yenu.
Naona Kuna Mabango mengi katikati ya Jiji la Dodoma lililonistua zaidi ni lile la Mama ni Mpatanishi halafu kuna picha ya Mama na Mh. MwenyekitiKabla ya hicho kinachoitwa maridhiano hakuwahi kuwepo kwa hitaji hilo toka kwa wananchi.
Kama mwana ccm na mwananchi sikuwahi kusikia popote pale wananchi au wanachama wa ccm wakishinikiza kuwepo kwa maridhiano hayo.
Ni ajabu sana kwa viongozi wa CCM na Chadema kusimama na kusema kwamba kuna maridhiano wakati sisi wananchi hatufahamu hayo maridhiano ni katika nini, kwa mambo yapi na kwa muda gani.
Hatukuwahi kuoneshwa kama wananchi hati za maridhiano zinasema nini.
Hivyo kuja na kutuambia kama kuna maridhiano ni jambo la kushangaza na kusikitisha mno kwakua tunaburuzwa tu bila kujua hatima yetu.
Mimi naomba viongozi wa vyama hivi viwili waitishe mikutano mikuu ya vyama vyao ili kutoa mwanya kwa wanachama kuyajadili na kuafiki hata kama hakutakuwa na uhuru katika maamuzi ila mchakato tu utaonesha dhamira ya wazi ya maridhiano kuwa shirikishi.
Othewise hao wamishindwana pia tutaambiwa maridhiano hayapo tena kama walivyotuambia yapo.
Wananchi na wanachama washirikishwe ni hilo tu.
Mkuu kwanini kila anayehoji maridhiano yenu mnadhani ni mshabiki wa CCM ?
Kinacho takiwa ni taarifa ya walio kubaliana
Je hayo maridhiano nani atafaidika zaidi umewahi kujiuliza Hilo swali?Ni unafiki sio kuhoji. Wakati CHADEMA wanapigwa vita na yule ibilisi mbona hawakuhoji wakawa wanafurahia mateso ya CHADEMA? iweje Leo CHADEMA Wana move on ndio waanze kuhoji? Waache unafiki
Je hayo maridhiano nani atafaidika zaidi umewahi kujiuliza Hilo swali?
TumepigwaTutajie vipengele vya haya maridhiano mkuu tafadhali.
Kwanza wanaccm halisia hatuna haja ya maridhiano na chadema kama hali yenyewe eti mbowe anadai serikali ya ccm iombe radhi. Iombe radhi kwa kitu gani? Awamu ya 5 ilikua ya kutukuka ila lengo la hawa vibaraka ni kumdermonise magufuli kwa malengo mapana ya mabebetu.
Labda maridhiano hsya ni kati ya chadema na ccm masilahi. Na ndio maana 2025 ccm inahitaji mgombea urais kutoka ccm asilia.