sinza pazuri
JF-Expert Member
- Aug 16, 2014
- 3,344
- 9,066
- Thread starter
-
- #41
Simba ndio baba wa bongofleva akikupa heshima nawe unapaswa kumuheshimu sio kuvimba....huyo dogo ataishia kupiganisha graph itaanza kwenda chiniAcha kupangia watu namna ya kuishi we fa.la huyo simba ni nani kwenye hii nchi hadi kila msanii amsujudie?
Basi tufanye kipaji unacho weww na nidhamu hongera mkuu.Nidhamu hana...kipaji anajitahidi ila kuna watu wana talent haswa kina aslay walijazwa ujinga namna hii
Dogo mnampoteza umaarufu umemlewesha anajikuta wizkidayoBasi tufanye kipaji unacho weww na nidhamu hongera mkuu.
Mario sio wa kumwabudu simba, ana mashabiki wake na tunamkubali sana. Hajawai kupoaDogo mnampoteza umaarufu umemlewesha anajikuta wizkidayo
Nje ya MADA...huyo DP ndio wewe??????Marioo ameshatoboa na katoboaa tenaaa.
Tutolee ashuo zako hapa, chezeaa baadiiiii weyeee,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hadi mnaanza kuharaaaaa poleeeeee.
Ndyo ni mie.Nje ya MADA...huyo DP ndio wewe??????
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Marioo kawakana kweupeee, hataki shobooo, yeye tayari ana fans wakee wa kushatooo tyuuh.Yeye anaemtuma Abba kwa babutale akamuombee msamaaa kwa Simba alafu anarudi media anavimba ndio anahara mtoto mdogo sana yule anahitaji kushikwa mkono afike mjini anapoenda sasa ni pagumu mno weken akiba ya maneno msimalize yote
Duuu kumbe halali yao wanavyojazana huko PM[emoji23][emoji23][emoji23]...Ndyo ni mie.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]daaaa hii JF aseeai mamaaa kumbe skuizi wachawi sio wazee, Mungu baba tusamehe tumelewa hii dunia kuna watu wanakeraaa...
wasopenda wewe kufanikiwa wote VAVAVAVAYOOOO
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duuu kumbe halali yao wanavyojazana huko PM[emoji23][emoji23][emoji23]...
Kula chuma ichooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]daaaa hii JF asee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hiv huyu whozu ameshawai kasirika kweli?? Huyu tofaut na muziki+komedi ana kipi kingine cha kumfuraisha yule bibi kizee wake Wema sepenga[emoji23][emoji23][emoji23]Kula chuma ichooo [emoji23]View attachment 2594642
Iki chuma ni mahususi kwa wakwe na wapendwa hapa mtaani[emoji23][emoji23]Kula chuma ichooo [emoji23]View attachment 2594642
Yani kinawahusu sanaaa pamoja na mleta uziIki chuma ni mahususi kwa wakwe na wapendwa hapa mtaani[emoji23][emoji23]
Acha ushamba wewe.Hii inausiana nini na marioo kukosa discipline kwa wenzie?
Kila sentensi Ina "WOTE" Sasa nikuulize WOTE na nani mbona hayo mi sijuiWote tunamjua marioo kama msanii anaejitafuta ila bado ajajipata.
Wote tunajua anakopi sana swaga za Mbosso Khan.
Wote tunajua kusoma na kuandika bado ni mtihani kwake.
Lakini huyu dogo baada ya kupigwa kidogo nyimbo zake mtaani amekuwa na dharau anavimba sana haswa kwa wasanii aliowakuta.
Nidhamu kwake imekuwa ni mtihani.
Anapewa pesa ya ghost writing yeye anaenda media kutangaza nandy nimemuandikia mimi barnaba nimemuandikia mimi...huu ni utovu wa nidhamu na kukiuka makubaliano si ustaarabu.
Lakini yote kwa yote amevuka mipaka sasa anamvimbia Simba.
Marioo wa kumwambia Simba anatafuta kick kupitia wewe wakati ulikuwa unapanga foleni ya kumuona pale mbezi ili asimamie project zako?! Mbona kina Barnaba king mopao wanakubali Simba aanawapush wewe umeenda kuomba alafu unasema Simba anatafuta kick kwako si ndio basi sawa.malipo ni hapa hapa duniani
Muziki unahitaji discipline..muulize talented aslay kuvimba kulimfikisha wapi na waliokuwa wanamshika masikio walipotelea wapi sasa hivi ata pakuishi amekuwa anabebwa.
Chunga sana kijana
View attachment 2594537
Wazee wa upinde mnajuanaHujui muziki wewe marioo anamng'ata mbosso mshedede