Marioo, utovu wa nidhamu ndio anguko lako

Marioo, utovu wa nidhamu ndio anguko lako

Acha kupangia watu namna ya kuishi we fa.la huyo simba ni nani kwenye hii nchi hadi kila msanii amsujudie?
Simba ndio baba wa bongofleva akikupa heshima nawe unapaswa kumuheshimu sio kuvimba....huyo dogo ataishia kupiganisha graph itaanza kwenda chini
 
Yeye anaemtuma Abba kwa babutale akamuombee msamaaa kwa Simba alafu anarudi media anavimba ndio anahara mtoto mdogo sana yule anahitaji kushikwa mkono afike mjini anapoenda sasa ni pagumu mno weken akiba ya maneno msimalize yote
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Marioo kawakana kweupeee, hataki shobooo, yeye tayari ana fans wakee wa kushatooo tyuuh.

Hana cha kuhofia, ameshatoboaaa baaadiiii
 
Humu amna wafatiliaji mziki wapo wasikilizaji mostly, saw a clip Abbah ana regrets maneno ya marioo, that he shouldn't have said that. Marioo kafika peak of bongo flava, yani at this point ni kwenda international. But how??! With what support?? ( alikiba, harmonize, aslay, Mr Nice, juma nature and many others have failed). And worse ni kwamba as an artist you shouldn't create tension with media power houses kama u don't have enough fans to support you with funds, diamond kama amemind marioo sana. I believe he even cancelled all projects with him as well as supporting him completly from his label artists . We will see how it ends.??! Ila marioo carrier is at cross road.
 
Wote tunamjua marioo kama msanii anaejitafuta ila bado ajajipata.

Wote tunajua anakopi sana swaga za Mbosso Khan.

Wote tunajua kusoma na kuandika bado ni mtihani kwake.

Lakini huyu dogo baada ya kupigwa kidogo nyimbo zake mtaani amekuwa na dharau anavimba sana haswa kwa wasanii aliowakuta.

Nidhamu kwake imekuwa ni mtihani.

Anapewa pesa ya ghost writing yeye anaenda media kutangaza nandy nimemuandikia mimi barnaba nimemuandikia mimi...huu ni utovu wa nidhamu na kukiuka makubaliano si ustaarabu.

Lakini yote kwa yote amevuka mipaka sasa anamvimbia Simba.
Marioo wa kumwambia Simba anatafuta kick kupitia wewe wakati ulikuwa unapanga foleni ya kumuona pale mbezi ili asimamie project zako?! Mbona kina Barnaba king mopao wanakubali Simba aanawapush wewe umeenda kuomba alafu unasema Simba anatafuta kick kwako si ndio basi sawa.malipo ni hapa hapa duniani


Muziki unahitaji discipline..muulize talented aslay kuvimba kulimfikisha wapi na waliokuwa wanamshika masikio walipotelea wapi sasa hivi ata pakuishi amekuwa anabebwa.

Chunga sana kijana

View attachment 2594537
Kila sentensi Ina "WOTE" Sasa nikuulize WOTE na nani mbona hayo mi sijui
 
Back
Top Bottom