and 100 others
JF-Expert Member
- Feb 3, 2023
- 3,707
- 12,367
RCS by default haina end-to-end encryption, end-to-end encryption unatengeneza wenyewe kama plugin niseme ama add-on flani kwenye software...Sema kuna jambo moja nakubaliana nawe mkuu, RCS baina ya imessages na app zingine haina end to end encryption, end to end encryptiion ni baina ya google messages au google messages na samsung messaging app.
Lakini bado sidhani kama apple alikuwa na hoja ya security ila monopoly.
Yes, EU wamewalazimisha kufanya mengi ambayo wasingefanya si kwa sababu labda usb type c ni bora sana ndiyo amana kaingia.Yeah! Sasa jamaa alilisema as if Apple anamuiga Samsung. Ninachofahamu mimi ni kuwa Apple kuingia type- C imemlazimu kutokana na sheria zilizowekwa na European Commission lakini sio kwa kuishiwa teknolojia.
🤣🤣🤣Ni katika kukumbushana tu, kipindi apple inafanya ubunifu huo(20yrs ago) ndicho kipindi mbowe alikua anaanza uenyekiti
Bwege tu Anapaswa kuwa jelaKujaribu ku clear jina lake na kampuni zake baada ya kutuhumiwa kuzuia mijadala mbalimbali kwenye platforms zake.
Trump aliwahi kumuita public enemy number 1 mwaka jana.
Sasa hivi Mark anamuangushia ziko la lawama Biden.
Google walitoa mwano...Google walipiga nduru kwa maana Huawei alikuwa ni habari nyingine..But kwakuwa inakuwa ndiyo messaging standard, umoja wa ulaya umemlazimisha basi hayo yatatekelezwa hana namna. Sheria za Umoja wa Ulaya zimemlazimu apple kutekeleza mengi ambayo asingeyatekeleza.
Natamani sana Huawei wasingekuwa wamepigwa ban maana CEO wao alisema ingebaki ni iPhone na Huawei kwenye mpambano wengine wote wangekaa pembeni.
Na ningependa kutumia OS yao hii ambayo ni latest achana na ile ilikuwa ina source code za android... sema ban zimemsaidia. Now naona wanalenga kutengeneza processors ambazo ni open sourceGoogle walitoa mwano...Google walipiga nduru kwa maana Huawei alikuwa ni habari nyingine..
Wana laptops zao matebook series sio mchezo...
Huawei akiweza kwenye OS atakuwa amepiga hatua sana.Na ningependa kutumia OS yao hii ambayo ni latest achana na ile ilikuwa ina source code za android... sema ban zimemsaidia. Now naona wanalenga kutengeneza processors ambazo ni open source
Yeah nimeona.Vision pro imefail haiuziki na walionunua wamezirudisha wengi, na madevelopers weng ni kama wameipotezea kutengeneza apps.
Daah umenikumbusha Myspace aiseeh longtime! hawa vijana wa juzi wanaoibukia mitandaoni hawajui hiyo kituNi mawazo yake, kuwa bilionea haimaanishi kama ushauri wake una maana sana au ana akili nyingi, Mark alibahatika tu kutengeneza website flani nzuri kwa lugha ya html na php ndipo ikawa facebook ... lakini tayari social media kama myspace zilikuwepo...
Meta ni mtoto mdogo kwa Apple...
Kuna ubunifu wa kifaa na ubunifu wa bei. You are old enough to realize that, aren't you?Mauzo ya Tecno na Infinix yamepanda sana sijui kuna ubunifu gani wamefanya
Umemsikiliza vizuri? Point yake haipo katika kushuka kwa sales, anazungumziq sababu za kushuka kwa sales, "UBUNIFU" anasema, over 20 years apples hawajagundua kitu kipya, hapo ndio point yake ilipo so kama unabishana nae, jikite hapoMkuu katika biashara kuna kupanda na kushuka.. Suala la mauzo kushuka kila kampuni inapitia...
Huwezi washambulia Apple kisa kushuka kimauzo.. Bidhaa za Apple always zitaendelea kuwa bora.
Yeye anazungumziaje kuwaiga tiktok kwa kuleta instagram reels ambayo ilikuwa ni feature ya tiktok? walishindwa kuvumbua kipya hadi kuwaiga tiktok?
Bora kuliko watu wanavyopapania hayo makopo,wanauza hadi figo wapate hela ya iphoneHata Samsung hawana jipya
Nimemuelewa vyema mkuu, ndio maana namuambia katika biashara kushuka kupo.Umemsikiliza vizuri? Point yake haipo katika kushuka kwa sales, anazungumziq sababu za kushuka kwa sales, "UBUNIFU" anasema, over 20 years apples hawajagundua kitu kipya, hapo ndio point yake ilipo so kama unabishana nae, jikite hapo
Binafsi MySpace nimeifahamu kitambo sana...Daah umenikumbusha Myspace aiseeh longtime! hawa vijana wa juzi wanaoibukia mitandaoni hawajui hiyo kitu
Nilikua nikiwatetea hawa wapumbavu, lakini bure kabisa. Walichoweza ni kuweka CEO shoga ili wafanikiwe ku promote na ku justify mashoga waonekane kuwa na wao ni watu kama wengine.Boss wa Meta na mmiliki wa Facebook, Instagram, Thread na WhatsApp bwana Mark Zuckerberg amesema kampuni ya Apple haina ubunifu wowote kwa zaidi ya miaka 20 baada ya Steve Jobs kuvumbua Iphone.
Anasema sasa hata mauzo ya Iphone yanashuka sana na kufidia hasara ya kushuka mauzo ya Iphone, Apple wamejikita kwenye kukamua wateja wanaotumia huduma zao kwa mfano kukata kodi ya 30% kwa developers.
Mark anasema Apple walivumbua iPod, kitu kizuri sana ila wakakosea kuinyima Ipod uhuru wa kuunganishwa kwenye vitu vingine nje ya apple ecosystems.
Msikilize mwenyewe hapa.
View: https://x.com/tsarnick/status/1877856200349331521?s=19
Tayari na chaja zao zinaingiliana na type C za Samsung.
Hivyo wamekuja na camera?!
Hiyo kawaida yetu, ukitupiga kwa hoja, sisi tunakupiga na jiwe,...mutusamehe tu🤣🤣😂Kama umefuatilia vizuri utagundua hujajibu hoja za mauzo ya iphone kushuka na kuwakata asilimia 30 developers ila umeishia kumshambulia yeye binafsi na bidhaa zake bila kujibu hoja.
Ndugu zake akina MocospaceBinafsi MySpace nimeifahamu kitambo sana...
bado ipo lakini japo ni kama haifunction baadhi ya vitu, mwaka 2003 ilianza na kufikia 2006 ilikuwa inaongoza kwa US kwa watembeleaji..
2006s...Ndugu zake akina Mocospace