Martin Maranja Masese apinga uteuzi wa Joshua Nassari

Umesema vizuri.

"Tukiifanya"

Hawa watu kama hawana staha na busara basi tutakwenda nao hivyo hivyo kindezindezi
 
Huyu mama anateua watu walionunuliwa.

Badala achukie upumbavu ule wa Mwendazake yeye anaupalilia na kuuenzi

Alitakiwa aonyeshe mfano kwa kukataa wasaliti, walionunuliwa, yeye anawareward.

Huyu mama hapa kazingua sana.
Mama na jiwe ni kitu kimoja, nashangaa mnavyolalamika as if aliwaahidi atabadilika.
 
wewe huna uwezo wa kujadiliana na mimi. jinoe kwanza kutumia kichwa halafu utanitag wakati mwingine. Watu tunajadili maadili ya mteule wewe unazungumzia vyama
Huna moral authority ya kujadili maadili ya mteule wowote kati ya wateule wa Mama.

Kaa kwa kutulia
 
Kila kitu kina utaratibu mkuu.

Kama umewahi kufanya administration utaelewa hili.
 
Mbona unaandika kama mpumbavu.
 
Mkuu Uttoh2002, unafikiri Mshana ni ccm?! Tuna tatizo kubwa JF, kuna wakati tuna paswa kufikiri nje ya mabox ya ccm vs CHADEMA, kwa masilahi mapana ya nchi yetu!
 
Historia inaonyesha awamu ya pili,awamu ya tatu na awamu ya sita zinafana, pili inaonyesha awamu ya Kwanza ,awamu ya tatu na awamu ya Tano zinafana. Bado sijajua viongozi wa hizo awamu zote walikuwa wanasali juma ngapi.
 
Maza yuko vizuri tatizo analemewa na kelele ndani ya ccm...ishu ya sabaya imeleta mgawanyiko mkubwa sana.. Kwakuwa ilionekana ni ushindi kwa CHADEMA na mwenyekiti...! Hili la kuwateua kina Nasari ni kama kuwapoza machungu mataga
Kama unyanyasaji na uporaji wa mali na amani kwa wananchi wa Hai na kwingineko ilionekana ni ushindi wa CCM dhidi ya CHADEMA basi CCM ni chama cha mashetani. Maana shetami pekee ndiye anayeweza kufurahia hila zile.
 
Upeo wako kwenye haya mambo ni mdogo sana, lakini angalau unampenda raisi wako, hiyo inatosha!
 
Hii nchi ni kituko cha karne. Mtu alitelekeza jimbo na bunge eti leo ametosha kuhudumia wilaya
Unasahau haraka kutelekeza jimbo na bunge hakumpi adhabu ya kifungo cha maisha.... Ila pia wewe kama swala la kumuhudumia mkeo na mimba yenye kukuletea mtoto wako sio jambo la muhimu utakuwa ni zaidi ya kichaa.. Hayo yalipita na sasa utake usitake ndio mkuu wa wilaya hiyo. Case closed.
 
Pambaneni maana vichwa maji kweli mlimuonea Magufuli sana ngoja mama awakomeshe na vile msivyo na ajenda wanafiki wakubwa nyie
 
Uhuru ni haki acha upumbavu, uhuru ulipatikana 1961 hivyo uzumbukuku wako huo wa eti wamepewa uhuru na rais inaonyesha ni kiasi gani usivyo na akili.
 
Wewe utanung'unika maisha yako yote
 
Haa
Haa haa utasubiri Sana,mama mpaka 2030
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…