Wanatukana mtu akimuita rais ana akili za kuku sio tusi ,chura kiziwi sio tusi ,msagaji sio tusiHivi wanatukana au wanaikosoa serikali ya sa100?
Kwa hiyo dawa ya kuwakomesha imepatikana, kwa maoni yako!Mdomo uliponza kichwa vp Sativa,mdude na wanaspace wote bado wanatukana
USSR
Na bado wamekuja na Samia must go 😂Yale Yale ya katiba mpya wakakosa yote.
Unajiita Xi JinPing harafu unasema laana , unadhani Xi Huwa anacheka na kima kama wa Chadema? 😬😬
Hata huko bado simu zinachukuliwaWenzetu wana teknolojia za kulipua pagers huko huku wananyang'anya watu simu zao!
Hata kwetu kwani maendeleo hayapo? Nchi imesimama ?Xi Jinping hacheki na kima ila si unaona maendeleo ya kiuchumi, teknolojia, manufacturing na infrastructure yanaonekana
Fungu hilo ilikuwa maarufu sana walati wa magufuliManabii njaa pia mpo chadema ,kiboko ya wachawi wewe
USSR
Nusu😠Mdomo uliponza kichwa vp Sativa,mdude na wanaspace wote bado wanatukana
USSR
Kama ulivyo wewe mfuasi wa watekaji na wauwaji.Umebaki wewe kamanda wa mitandaoni.
Hilo jamaa huwa naliona zezeta.Nusu😠
KizmkaziMust Go where?
Sheria ipi imevunjwa, taja 2,3 hiviCHADEMA mnapenda sana uzushi na kutoa vitaarifa kwa lengo la kuleta taharuki kwa watu.hata hivyo ni kuwa watanzania wamewachokeni na hawapo upande wenu hata mkitupwa ndani wote. Maana uvumilivu sasa basi.mmevumiliwa vya kutosha na kuachwa vya kutosha.sasa ni lazima mfundishwe kutii na kufuata sheria.hampo juu ya sheria na wala Nchi hii siyo Geto.
Nani kakudanganya mwendo ni uleule wewe ulidhani utekaji utaendelea?Sina maana ya kuunga mkono yanayoendelea ila Chadema wangetafuta njia nyingine ya kufanya mambo yao mana huwezi kushindana na serikali na ukashinda, walishapewa green light ya kupata Kitu 2025 ila naona wanataka kumpanda kichwa serikali.
Ufugaji unalipa.kwa mtanzania kuwa na mjengo wa Hivyo ni indicator ya devnt.polisi walioenda kumkamata wamepanga chumba kimoja na sebule.Ningekuwa ndiyo polisi nisingekubali huo upuuzi.Utaishia kuhamgaika na vi komenti miaka nenda rudi JF jengo la yule unayesema anauza Mayai, pambana na hali yako pambaf.
View attachment 3099870
Kwan utekaji umeisha?Nani kakudanganya mwendo ni uleule wewe ulidhani utekaji utaendelea?
simu zake wamezikamatia wap gentleman?🐒Hii ni taarifa ya Ntobi
Napokea simu nyingi- zikiuliza kuhusu @IAMartin_ Ni kwamba, Martin hajatekwa bado wala kukamatwa ila, Polisi wamekamata simu zake zote (IPhone 15 & Samsung) hivyo zipo mikononi mwa Polisi. Poleni kwa kutopokelewa. Mwenetu ni mzima wa afya. Sept 18, 2024 #NeverNeverAgain