Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Kada na mwanachama wa CHADEMA, Martin Marnja Masese ametumia ukurasa wake wa Twitter kudokeza kuwa wakati wanaelekea kwenye mazishi ya mzee Ali Mohamed Kibao walikutana na dereva wa basi la Tashriff.
Kwenye tweet hiyo, MMM alisema kuwa walikutana na Tashriff express eneo la Mbwewe mkoani Tanga ambapo dereva wa basi hilo alisema kuwa gari hilo halikuwa na camera na hivyo ni ngumu kupata picha ya nini hasa kilitokea ndani ya gari.
"Tukielekea Sahare, Tanga kwenda kumsitiri mzee Ally Mohamed Kibao tumekutana na wanetu TASHRIFF Express eneo la Mbwewe, basi ambalo alitekwa na kushushwa pale Kibo, Tegeta. Tumezungumza na dereva, ni kweli gari hilo halina camera. Ngumu kupata picha halisi ya kilichotokea ndani"
SOMA PIA: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana
Kwenye tweet hiyo, MMM alisema kuwa walikutana na Tashriff express eneo la Mbwewe mkoani Tanga ambapo dereva wa basi hilo alisema kuwa gari hilo halikuwa na camera na hivyo ni ngumu kupata picha ya nini hasa kilitokea ndani ya gari.
"Tukielekea Sahare, Tanga kwenda kumsitiri mzee Ally Mohamed Kibao tumekutana na wanetu TASHRIFF Express eneo la Mbwewe, basi ambalo alitekwa na kushushwa pale Kibo, Tegeta. Tumezungumza na dereva, ni kweli gari hilo halina camera. Ngumu kupata picha halisi ya kilichotokea ndani"
SOMA PIA: Ally Mohamed Kibao auawa na mwili kutelekezwa Ununio ukiwa umeharibika sana