wiki kadhaa zilizopira Iran ilirusha makombora 200 kuelekea Israel, Hakuna mu Israel hata mmoja alieumia lakini kuna kombora moja halikufika Israel lilimdondokea mpalestine moja na kumuua.
Israel iliwaambia Iran itajibu na kuwapa taarifa mapema ni wapi watapiga, Siku ya ijumaa 24- 10-2024 Israel ilituma marubani (wakiwemo mabinti) wa ndege za kijeshi Iran kufanya operesheni iliyopata mafanikio makubwa na marubani wote walirejea salama bila bugudha, Baada ya operesheni Israel ikawaambia Iran "Msijibu" , hadi muda huu wameonyesga kutii amri.
IRAN IMETHIBITISHA:
- Idadi ya askari wake waliouawa imeongezeka 2 hadi 4
- Radar zake zimeteketezwa
- Kiwanda cha makombora kimetekezwa
- Kiwanda cha drones kimeteketezwa
Bonus Wanajeshi wote wa Israel walirudi salama, Hakuna ndege yoyote ya Israel iliguswa, Iran walijaribu lakini hawakuweza
Al Jazeera: Iran says four soldiers killed, radar systems hit in Israeli strikes
Marubani wa kike walipewa nafasi kushiriki operesheni, Kwa kanuni ya ladies first si ajabu walipewa kipaumbele maalum kuachiwa nafasi kuwaua wanajeshi wanne wa Iran.
Picha + video : binti wa jeshi la anga la Israel akiwa anaingia kwenye ndege ya vita tayari kwa kuanza safari kuelekea Iran kuwadungua wanajeshi wa Iran.
Soma Pia: Iran Yatangaza Ongezeko la Vifo Kutokana na Mashambulizi ya Israel