Marubani wa kike wameua wanajeshi 4 Iran, Hakuna ndege ya Israel imeguswa, Radar zimetunguliwa na viwanda vya makombora vimelipuliwa

Marubani wa kike wameua wanajeshi 4 Iran, Hakuna ndege ya Israel imeguswa, Radar zimetunguliwa na viwanda vya makombora vimelipuliwa

Israel walirusha ndege 100 kwaajili ya kwenda kuiangamiza Iran kila ndege ilirusha makombora 20 kwahiyo Israel iliishambulia Iran kwa makombora elfu 2 , ila kilichopata madhara ndani ya Iran ni parachichi moja lililokua juu ya mti ndo lilianguka chini, bado watafiti wanaendelea na uchunguzi kubaini parachichi hilo liliangushwa na vikombora vya Israel au lilianguka lenyewe baada ya kuiva
 
Iran wamezima Internet kwa miaka mingi, Kupata videos ni ngumu

Lakini inatosha serikali ya Iran Imekiri yenyewe na chanzo ni Al - Jazeera
Kama hakuna Internet hizo video zinazo onesha makombora yakipanguliwa zimerushwa kwa kitumia nn?
Hivi una ujua ukubwa wa shambulizi la ndege 100?
Kubali ukatae mifumo ya ulinzi ya Iran imefanya kazi nzuri na imeonekana shambulizi la ndege 100 bila ulinzi mzuri yangekuwa maafa makubwa sana.
 
wiki kadhaa zilizopira Iran ilirusha makombora 200 kuelekea Israel, Hakuna mu Israel hata mmoja alieumia lakini kuna kombora moja halikufika Israel lilimdondokea mpalestine moja na kumuua.

Israel iliwaambia Iran itajibu na kuwapa taarifa mapema ni wapi watapiga, Siku ya ijumaa 24- 10-2024 Israel ilituma marubani wa ndege za kijeshi Iran kufanya operesheni iliyopata mafanikio makubwa na marubani wote walirejea salama bila bugudha, Hadi sasa Iran imeambiwa isijibu, hadi muda huu wameonyesga kutii amri.

IRAN IMETHIBITISHA:
  1. Idadi ya askari wake waliouawa imeongezeka 2 hadi 4
  2. Radar zake zimeteketezwa
  3. Kiwanda cha makombora kimetekezwa
  4. Kiwanda cha drones kimeteketezwa
  5. Hakuna ndege yoyote ya Israel waliyoweza kuishusha
Al Jazeera: Iran says four soldiers killed, radar systems hit in Israeli strikes

Marubani wa kike walipewa nafasi kushiriki operesheni, Iran imekiri kupoteza wanajeshi wanne.

Picha + video : binti wa jeshi la anga la Israel akiwa anaingia kwenye ndege ya vita tayari kwa kuanza safari kuelekea Iran kuwadungua wanajeshi wa Iran.


Soma Pia: Iran Yatangaza Ongezeko la Vifo
 
Mbona umeongea vitu ambavyo havikuandikwa kwenye link ya Aljazeera? Mfano mdogo tu hicho kipande hapo chini. Wewe umesema rada zimeteketezwa.

“Thanks to the timely performance of the country’s air defences, the attacks caused limited damage and a few radar systems were damaged,” the armed forces general staff said.“
Ushabiki mbaya sana jamaa anaongeza habari ambazo hazipo ili aonyeshe Wazayuni wako vizuri
 
wiki kadhaa zilizopira Iran ilirusha makombora 200 kuelekea Israel, Hakuna mu Israel hata mmoja alieumia lakini kuna kombora moja halikufika Israel lilimdondokea mpalestine moja na kumuua.

Israel iliwaambia Iran itajibu na kuwapa taarifa mapema ni wapi watapiga, Siku ya ijumaa 24- 10-2024 Israel ilituma marubani (wakiwemo mabinti) wa ndege za kijeshi Iran kufanya operesheni iliyopata mafanikio makubwa na marubani wote walirejea salama bila bugudha, Baada ya operesheni Israel ikawaambia Iran "Msijibu" , hadi muda huu wameonyesga kutii amri.

IRAN IMETHIBITISHA:
  1. Idadi ya askari wake waliouawa imeongezeka 2 hadi 4
  2. Radar zake zimeteketezwa
  3. Kiwanda cha makombora kimetekezwa
  4. Kiwanda cha drones kimeteketezwa
Bonus Wanajeshi wote wa Israel walirudi salama, Hakuna ndege yoyote ya Israel iliguswa, Iran walijaribu lakini hawakuweza

Al Jazeera: Iran says four soldiers killed, radar systems hit in Israeli strikes

Marubani wa kike walipewa nafasi kushiriki operesheni, Iran imekiri kupoteza wanajeshi wanne.

Picha + video : binti wa jeshi la anga la Israel akiwa anaingia kwenye ndege ya vita tayari kwa kuanza safari kuelekea Iran kuwadungua wanajeshi wa Iran.


Soma Pia: Iran Yatangaza Ongezeko la Vifo Kutokana na Mashambulizi ya Israel

Sasa tunataka nao Iran wafanye vile vile. watume warembo wao wakapige iziraeli ili nao wakipate.
 
Israel walirusha ndege 100 kwaajili ya kwenda kuiangamiza Iran kila ndege ilirusha makombora 20 kwahiyo Israel iliishambulia Iran kwa makombora elfu 2 , ila kilichopata madhara ndani ya Iran ni parachichi moja lililokua juu ya mti ndo lilianguka chini, bado watafiti wanaendelea na uchunguzi kubaini parachichi hilo liliangushwa na vikombora vya Israel au lilianguka lenyewe baada ya kuiva
Wanajeshi wanne wa Iran ni maparachichi ?
 
wiki kadhaa zilizopira Iran ilirusha makombora 200 kuelekea Israel, Hakuna mu Israel hata mmoja alieumia lakini kuna kombora moja halikufika Israel lilimdondokea mpalestine moja na kumuua.

Israel iliwaambia Iran itajibu na kuwapa taarifa mapema ni wapi watapiga, Siku ya ijumaa 24- 10-2024 Israel ilituma marubani (wakiwemo mabinti) wa ndege za kijeshi Iran kufanya operesheni iliyopata mafanikio makubwa na marubani wote walirejea salama bila bugudha, Baada ya operesheni Israel ikawaambia Iran "Msijibu" , hadi muda huu wameonyesga kutii amri.

IRAN IMETHIBITISHA:
  1. Idadi ya askari wake waliouawa imeongezeka 2 hadi 4
  2. Radar zake zimeteketezwa
  3. Kiwanda cha makombora kimetekezwa
  4. Kiwanda cha drones kimeteketezwa
Bonus Wanajeshi wote wa Israel walirudi salama, Hakuna ndege yoyote ya Israel iliguswa, Iran walijaribu lakini hawakuweza

Al Jazeera: Iran says four soldiers killed, radar systems hit in Israeli strikes

Marubani wa kike walipewa nafasi kushiriki operesheni, Iran imekiri kupoteza wanajeshi wanne.

Picha + video : binti wa jeshi la anga la Israel akiwa anaingia kwenye ndege ya vita tayari kwa kuanza safari kuelekea Iran kuwadungua wanajeshi wa Iran.


Soma Pia: Iran Yatangaza Ongezeko la Vifo Kutokana na Mashambulizi ya Israel
Watoto wetu wanashindana kucheza Zuchu
 
Kama hakuna Internet hizo video zinazo onesha makombora yakipanguliwa zimerushwa kwa kitumia nn?
Hivi una ujua ukubwa wa shambulizi la ndege 100?
Kubali ukatae mifumo ya ulinzi ya Iran imefanya kazi nzuri na imeonekana shambulizi la ndege 100 bila ulinzi mzuri yangekuwa maafa makubwa sana.
  1. Idadi ya askari wake waliouawa imeongezeka 2 hadi 4
  2. Radar zake zimeteketezwa
  3. Kiwanda cha makombora kimetekezwa
  4. Kiwanda cha drones kimeteketezwa
  5. Kwenye ndege 100 za Israel hakuna yoyote iliyoguswa
Mifumo ya ulinzi ya Iran hio
 
Umekuwa brain washed na media za kimagharibi mkuu , but hakimu wa kweli ni mda
Kwenye shambulio la Iran kurusha makombora 200 kuna mu Israel yeyote alifariki zaidi ya mpalestina moja alieangukiwa na kombora lililofeli kufika Israel ??
 
Huku ni kudhalilishwa kulikopita maelezo, Iran imepigwa na wanawake!
Kwani mwanamke siyo binaadamu kamili mwenye akili timamu? Mawazo yako ni finyu yenye kudhalilisha wanawake!!
Kwani rubani anatumia mabavu kusoma ramani na kubonyeza vitufe vya mapigo?
Kazi yake ni kuongoza ndege vita kwa ramani husika na kubonyeza vitufe vya mapigo anapokuwa yuko kwenye eneo sahihi kwa kuongozwa na mitambo iliyomo kwenye ndege vita anayoiongoza kutokana na mafunzo aliyopata na kufaulu kwa viwango vinavyotakiwa; ndiyo maana wakakabidhiwa jukumu hilo.
 
Kwani mwanamke siyo binaadamu kamili mwenye akili timamu? Mawazo yako ni finyu yenye kudhalilisha wanawake!!
Kwani rubani anatumia mabavu kusoma ramani na kubonyeza vitufe vya mapigo?
Kazi yake ni kuongoza ndege vita kwa ramani husika na kubonyeza vitufe vya mapigo anapokuwa yuko kwenye eneo sahihi kwa kuongozwa na mitambo iliyomo kwenye ndege vita anayoiongoza kutokana na mafunzo aliyopata na kufaulu kwa viwango vinavyotakiwa; ndiyo maana wakakabidhiwa jukumu hilo.
Iran wamepewa funzo kwamba wanawake wanaweza waache kunyanyasa na kuua wanawake wasiovaa hijabu
 
Inasemekana Iran hawatakuwa na uwezo wa kutengeneza makombora ya masafa marefu labda waimport kutoka nje.
Hivi unajiskia kweli wewe? Yaan viti sensitive kama makombora Iran wayatengeneza juu juu tu kama peremende? Productions za hivi vitu viko mita nyingi ardhini. Halafu achana na mambo ya inasemekana
 
Kama hakuna Internet hizo video zinazo onesha makombora yakipanguliwa zimerushwa kwa kitumia nn?
Hivi una ujua ukubwa wa shambulizi la ndege 100?
Kubali ukatae mifumo ya ulinzi ya Iran imefanya kazi nzuri na imeonekana shambulizi la ndege 100 bila ulinzi mzuri yangekuwa maafa makubwa sana.
Hawaelewi hawa wasabato tu waelimishe tuu pole pole Wataelewa maskini hawaelewi wanachokitetea fighter jets 100hahhah
 
  1. Idadi ya askari wake waliouawa imeongezeka 2 hadi 4
  2. Radar zake zimeteketezwa
  3. Kiwanda cha makombora kimetekezwa
  4. Kiwanda cha drones kimeteketezwa
  5. Kwenye ndege 100 za Israel hakuna yoyote iliyoguswa
Mifumo ya ulinzi ya Iran hio
Weka link nyingine otherwise ni uongo.
 
wiki kadhaa zilizopira Iran ilirusha makombora 200 kuelekea Israel, Hakuna mu Israel hata mmoja alieumia lakini kuna kombora moja halikufika Israel lilimdondokea mpalestine moja na kumuua.

Israel iliwaambia Iran itajibu na kuwapa taarifa mapema ni wapi watapiga, Siku ya ijumaa 24- 10-2024 Israel ilituma marubani (wakiwemo mabinti) wa ndege za kijeshi Iran kufanya operesheni iliyopata mafanikio makubwa na marubani wote walirejea salama bila bugudha, Baada ya operesheni Israel ikawaambia Iran "Msijibu" , hadi muda huu wameonyesga kutii amri.

IRAN IMETHIBITISHA:
  1. Idadi ya askari wake waliouawa imeongezeka 2 hadi 4
  2. Radar zake zimeteketezwa
  3. Kiwanda cha makombora kimetekezwa
  4. Kiwanda cha drones kimeteketezwa
Bonus Wanajeshi wote wa Israel walirudi salama, Hakuna ndege yoyote ya Israel iliguswa, Iran walijaribu lakini hawakuweza

Al Jazeera: Iran says four soldiers killed, radar systems hit in Israeli strikes

Marubani wa kike walipewa nafasi kushiriki operesheni, Kwa kanuni ya ladies first si ajabu walipewa kipaumbele maalum kuachiwa nafasi kuwaua wanajeshi wanne wa Iran.

Picha + video : binti wa jeshi la anga la Israel akiwa anaingia kwenye ndege ya vita tayari kwa kuanza safari kuelekea Iran kuwadungua wanajeshi wa Iran.


Soma Pia: Iran Yatangaza Ongezeko la Vifo Kutokana na Mashambulizi ya Israel
Dadeki mwanangu wa kike rasmi lazima ingia upande huu , kupigania nchi yake ubaya ubwela
 
Back
Top Bottom