Marubani wa kike wameua wanajeshi 4 Iran, Hakuna ndege ya Israel imeguswa, Radar zimetunguliwa na viwanda vya makombora vimelipuliwa

Marubani wa kike wameua wanajeshi 4 Iran, Hakuna ndege ya Israel imeguswa, Radar zimetunguliwa na viwanda vya makombora vimelipuliwa

Iran wamezima Internet kwa miaka mingi, Kupata videos ni ngumu

Lakini inatosha serikali ya Iran Imekiri yenyewe na chanzo ni Al - Jazeera
430E8230-0B92-41BA-A3FA-0F1D22FFB105.png
 
Wambie wakueleze Israel kuna vilema wangapi wacha walio kufa, afu kaulize vifaru kabla yavita walikuwa navyo vingapi na sasa vingapi.

Hizi habari za dunia unazo soma lazima ziwe za Israel, UK, France, Germany na US ndio zitakubaliana na wewe tena ni 40%
Waliouawa toka vita vianze kwa Palestine na Gaza ni zaidi ya 42,000. Kaulize Al Jazeera.
Screenshot_2024-10-26-22-51-35-751_com.twitter.android~2.jpg
Screenshot_2024-10-26-22-51-35-751_com.twitter.android~2.jpg
Screenshot_2024-10-24-21-30-27-414_org.mozilla.firefox~2.jpg
Screenshot_2024-10-25-03-53-03-268_com.twitter.android~2.jpg
Screenshot_2024-10-23-22-20-17-835_com.twitter.android~2.jpg
Screenshot_2024-10-23-14-48-25-101_com.google.android.googlequicksearchbox~2.jpg
Screenshot_2024-10-23-00-34-56-245_com.instagram.android~2.jpg
Screenshot_2024-10-21-22-20-55-853_com.twitter.android~2.jpg
Screenshot_2024-10-21-22-29-59-585_com.twitter.android.jpg
Screenshot_2024-10-21-04-31-52-789_com.twitter.android~2.jpg
Screenshot_2024-10-21-04-38-09-131_com.twitter.android~2.jpg
Screenshot_2024-10-21-08-16-30-415_com.twitter.android~2.jpg
Screenshot_2024-10-21-04-31-37-866_com.twitter.android.jpg
Screenshot_2024-10-20-18-43-49-587_com.twitter.android~2.jpg
Screenshot_2024-10-20-10-31-39-548_com.twitter.android~2.jpg
Screenshot_2024-10-19-10-14-17-919_com.android.chrome.jpg
Screenshot_2024-10-18-16-31-27-978_com.twitter.android~2.jpg
Screenshot_2024-10-18-16-13-35-244_org.mozilla.firefox~2.jpg
 
  1. Idadi ya askari wake waliouawa imeongezeka 2 hadi 4
  2. Radar zake zimeteketezwa
  3. Kiwanda cha makombora kimetekezwa
  4. Kiwanda cha drones kimeteketezwa
  5. Kwenye ndege 100 za Israel hakuna yoyote iliyoguswa
Mifumo ya ulinzi ya Iran hio
Tuoneshe ushahidi wa hayo unayo sema kwa video au kwa picha na sio kutuletea ngonjera.

Maana video za makombora kutunguliwa vipo nyingi.
 
Nizaidi ya wanajeshi wanne wairan wame kufa kibao tu..maana Leo Ayatollah alipo kuwa anahutubia wamama walibeba picha kibao za waume zao watoto wao Ayatoli..kawa mpole haamini
 
Muwe mnajielimisha japo kidogo. AD system haziwezi kutungua makombora yanayorushwa na ndege vita.

Ukishindwa kutungua ndege vita kwenye anga lako ujue utapigwa tu na mabomu yake. Ndo maana wameweza kupiga maeneo hayo yote.

Hapo huyo Genaral hawezi sema ukweli, ila ni wazi Iran imepata hasara kubwa kijeshi, sidhan kama hata atathubutu kulipa kisasi. Maana inaonekana anga lake halina ulinzi mzito.

Cc T14 Armata
Tuoneshe hizo hasara alizo zipata Iran tuzione .
Acheni kujifariji hakuna ndege ya Israel iliyo ingia kwenye anga ya Iran bali zimefanya mashambulizi zikiwa kwenye anga la Iraq ,alafu aliye kufundisha kuwa makombora ya kwenye ndege hayatunguliki ni nani?
 
Yamekuwa hayo tena mtumish si ulisema kwamba vimondo vya Israel vilitunguliwa vyote
Iran toka mwanzo walisema kuna minor damage ya shambulio la israel, ndiyo maana wakatangaza hata wahanga wao jeshini
 
Nizaidi ya wanajeshi wanne wairan wame kufa kibao tu..maana Leo Ayatollah alipo kuwa anahutubia wamama walibeba picha kibao za waume zao watoto wao Ayatoli..kawa mpole haamini
Kumbe ayatollah anazurura tu!?..tuliambiwa kajificha shimoni
 

Attachments

  • Screenshot_2024-10-27-21-35-55-110.jpg
    Screenshot_2024-10-27-21-35-55-110.jpg
    401.6 KB · Views: 1
Lakini si ulisema hawajapiga kokote maalim?
Nilisema wapi?..mimi siku ya shambulio nililala hoi baada ya kazi ngumu za shamba, asubuhi nawasha TV naona kumbe taifa teule walishambulia na iran walisema maafa yao mapema
 

Attachments

  • Screenshot_2024-10-27-21-35-55-110.jpg
    Screenshot_2024-10-27-21-35-55-110.jpg
    401.6 KB · Views: 2
Hakuna kitu kama hicho,wamepiga kiwanda cha kutengeneza mafuta ya makombora,rada mbili,ambapo moja ilitengenezwa jana hiyohiyo na nyingine ilihitaji matengezo zaidi
He kumbe myahudi alileta uharibifu? basi mi nikajua hakuna chochote kilichoharibiwa je ni kweli pia kuwa wairan wanne wameuliwa na Israel?
 
He kumbe myahudi alileta uharibifu? basi mi nikajua hakuna chochote kilichoharibiwa je ni kweli pia kuwa wairan wanne wameuliwa na Israel?
Hivi unajua rada inavyokua!?..ni kama dish la DStv
 
Hakuna kitu kama hicho,wamepiga kiwanda cha kutengeneza mafuta ya makombora,rada mbili,ambapo moja ilitengenezwa jana hiyohiyo na nyingine ilihitaji matengezo zaidi
Si mlikuwa mnabisha kuwa Ayatolah hajachakazwa?!
 
Tuoneshe ushahidi wa hayo unayo sema kwa video au kwa picha na sio kutuletea ngonjera.

Maana video za makombora kutunguliwa vipo nyingi.


Kuna mengi makubwa na magumu yaliyotokea kwenye shambulio hili.

Vyombo vya habari vinaripoti kuwa Israel imewazuia askari na wananchi wake kusambaza picha za uharibifu uliofanywa huko Iran eti ili kuipa nafasi Iran kuendelea kuwadanganya wananchi wake kuwa kuna uharibifu mdogo ili kusiwe na pressure kutoka kwa umma kuitaka Iran kujibu mashambulizi, jambo ambalo litaharibu amani ya Madhariki ya kati:

Keep in mind: Israel had a relatively muted public posture immediately after the strikes, which was intentional, according to a source familiar with the government’s thinking, aimed at giving Iran the opportunity to downplay the strikes and avoid further escalation.

Iran’s government seemed to seize that opportunity initially, claiming the strikes caused only limited damage at military sites, even as it acknowledged that one civilian and four Iranian soldiers were killed.
 
Ndege za ndege za Israel zilianza kuingia Iran kuanzia siku ya Ijumaa, na Iran haikuweza kufanya kitu:

Some Israeli warplanes breached Iranian airspace during operation Friday, sources say.​

 
wiki kadhaa zilizopira Iran ilirusha makombora 200 kuelekea Israel, Hakuna mu Israel hata mmoja alieumia lakini kuna kombora moja halikufika Israel lilimdondokea mpalestine moja na kumuua.

Israel iliwaambia Iran itajibu na kuwapa taarifa mapema ni wapi watapiga, Siku ya ijumaa 24- 10-2024 Israel ilituma marubani (wakiwemo mabinti) wa ndege za kijeshi Iran kufanya operesheni iliyopata mafanikio makubwa na marubani wote walirejea salama bila bugudha, Baada ya operesheni Israel ikawaambia Iran "Msijibu" , hadi muda huu wameonyesga kutii amri.

IRAN IMETHIBITISHA:
  1. Idadi ya askari wake waliouawa imeongezeka 2 hadi 4
  2. Radar zake zimeteketezwa
  3. Kiwanda cha makombora kimetekezwa
  4. Kiwanda cha drones kimeteketezwa
Bonus Wanajeshi wote wa Israel walirudi salama, hakuna ndege hata moja ambayo Iran ilifanikiwa kuidhibiti.

Ila wayahudi wapo na jeuri sana, hivi kweli ndio wametuma wanawake kwenda kujipigia ? ingekuwaje wangetuma wazee wa kazi wanaoua wakuu wa Hamas, Hezbollah, n.k. ? waliochpfanya Israel ni dharau kubwa sana kwa Iran

Al Jazeera: Iran says four soldiers killed, radar systems hit in Israeli strikes

Marubani wa kike walipewa nafasi kushiriki operesheni, Kwa kanuni ya ladies first si ajabu walipewa kipaumbele maalum kuachiwa nafasi kuwaua wanajeshi wa Iran.

Picha + video : binti wa jeshi la anga la Israel akiwa anaingia kwenye ndege ya vita tayari kwa kuanza safari kuelekea Iran


Soma Pia: Iran Yatangaza Ongezeko la Vifo Kutokana na Mashambulizi ya Israel
Wazee wapo wanapasha kidogo. Iran ikijibu tu wajuba wanakuja wale wenyewe waelaminate
 
Back
Top Bottom