Marubani wa kike wameua wanajeshi 4 Iran, Hakuna ndege ya Israel imeguswa, Radar zimetunguliwa na viwanda vya makombora vimelipuliwa

R

Rada iliyoharibiwa inatengenezwa mkuu?? Hahahaha 🤣 🤣 🤣
Tatizo habari unategemea kuzipata kwa imhotep na imeloa,Iran walisema asubuhi yake rada mbili zimepigwa,moja iliharibiwa kidogo na waliirekebisha, nyingine iliharibiwa sana itachukua muda kuikarabati
 
Tatizo habari unategemea kuzipata kwa imhotep na imeloa,Iran walisema asubuhi yake rada mbili zimepigwa,moja iliharibiwa kidogo na waliirekebisha, nyingine iliharibiwa sana itachukua muda kuikarabati
Kiufupi iran imeaibika hadi rada zinaharibiwa vipi maeneo mengine? Maana rada ndio zinammulika adui?
 
Kiufupi iran imeaibika hadi rada zinaharibiwa vipi maeneo mengine? Maana rada ndio zinammulika adui?
Ndege 140 lakini hakuna cha maana,na zilizopigwa ni mbili tu,Iran ina rada nyingi,hivi umeziona video namna Iran ilivyokua ikitungua makombora?.. ndege 140 zinashambulia usiku kucha toka nje ya anga la iran
 
Ndege 140 lakini hakuna cha maana,na zilizopigwa ni mbili tu,Iran ina rada nyingi,hivi umeziona video namna Iran ilivyokua ikitungua makombora?.. ndege 140 zinashambulia usiku kucha toka nje ya anga la iran
Israel hazina idadi hiyo ya ndege za kushambulia uongo acheni iran imepigika na kuchapika haswa
 
Israel hazina idadi hiyo ya ndege za kushambulia uongo acheni iran imepigika na kuchapika haswa
Marekani aliita ndege zake toka ujerumani,akajumlisha na ndege zingine toka kambi zake middle east, ndege zote za israel ni za marekani
 
L
Marekani aliita ndege zake toka ujerumani,akajumlisha na ndege zingine toka kambi zake middle east, ndege zote za israel ni za marekani
Leta ushahidi kama kweli marekani ilileta ndege toka ujerumani?! Na kuishambulia iran
 

Wanawake chini ya Ayatolah.


Mwanamke wa Kiiran aliyemtoroka Ayatolah. FREEDOM.
 
Hongera kwa uongo angalia waziri wa fedha wa israel leo jumatano analia huku akihutubia anasema askari wao wanakufa sana
 

Attachments

  • IMG_1974.MOV
    1.8 MB
Kwa I Israel unaweza mtambua ME OR KE ushaga mbya sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…