gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Tatizo habari unategemea kuzipata kwa imhotep na imeloa,Iran walisema asubuhi yake rada mbili zimepigwa,moja iliharibiwa kidogo na waliirekebisha, nyingine iliharibiwa sana itachukua muda kuikarabatiR
Rada iliyoharibiwa inatengenezwa mkuu?? Hahahaha 🤣 🤣 🤣
Kiufupi iran imeaibika hadi rada zinaharibiwa vipi maeneo mengine? Maana rada ndio zinammulika adui?Tatizo habari unategemea kuzipata kwa imhotep na imeloa,Iran walisema asubuhi yake rada mbili zimepigwa,moja iliharibiwa kidogo na waliirekebisha, nyingine iliharibiwa sana itachukua muda kuikarabati
Ndege 140 lakini hakuna cha maana,na zilizopigwa ni mbili tu,Iran ina rada nyingi,hivi umeziona video namna Iran ilivyokua ikitungua makombora?.. ndege 140 zinashambulia usiku kucha toka nje ya anga la iranKiufupi iran imeaibika hadi rada zinaharibiwa vipi maeneo mengine? Maana rada ndio zinammulika adui?
Israel hazina idadi hiyo ya ndege za kushambulia uongo acheni iran imepigika na kuchapika haswaNdege 140 lakini hakuna cha maana,na zilizopigwa ni mbili tu,Iran ina rada nyingi,hivi umeziona video namna Iran ilivyokua ikitungua makombora?.. ndege 140 zinashambulia usiku kucha toka nje ya anga la iran
Marekani aliita ndege zake toka ujerumani,akajumlisha na ndege zingine toka kambi zake middle east, ndege zote za israel ni za marekaniIsrael hazina idadi hiyo ya ndege za kushambulia uongo acheni iran imepigika na kuchapika haswa
Leta ushahidi kama kweli marekani ilileta ndege toka ujerumani?! Na kuishambulia iranMarekani aliita ndege zake toka ujerumani,akajumlisha na ndege zingine toka kambi zake middle east, ndege zote za israel ni za marekani
Nikileta utanipa nini,au unataka kunisumbua tu?L
Leta ushahidi kama kweli marekani ilileta ndege toka ujerumani?! Na kuishambulia iran
Jeshi la Israel lamuua kamanda meingine wa Hezbollah Taarifa kuu ya DW Taarifa zaidi kutoka DW Jeshi la Israel lamuua kamanda meingine wa Hezbollah Taarifa kuu ya DW Taarifa zaidi kutoka DWNikileta utanipa nini,au unataka kunisumbua tu?
Hizo ni nguo za afghanistan, afghanistan hakuna ayatollahView attachment 3139173
Wanawake chini ya Ayatolah.
View attachment 3139174
Mwanamke wa Kiiran aliyemtoroka Ayatolah. FREEDOM.
Hizo nguo za Kiislamu.Hizo ni nguo za afghanistan, afghanistan hakuna ayatollah
Kwa I Israel unaweza mtambua ME OR KE ushaga mbya sanawiki kadhaa zilizopira Iran ilirusha makombora 200 kuelekea Israel, Hakuna mu Israel hata mmoja alieumia lakini kuna kombora moja halikufika Israel lilimdondokea mpalestine moja na kumuua.
Israel iliwaambia Iran itajibu na kuwapa taarifa mapema ni wapi watapiga, Siku ya ijumaa 24- 10-2024 Israel ilituma marubani (wakiwemo mabinti) wa ndege za kijeshi Iran kufanya operesheni iliyopata mafanikio makubwa na marubani wote walirejea salama bila bugudha, Baada ya operesheni Israel ikawaambia Iran "Msijibu" , hadi muda huu wameonyesga kutii amri.
IRAN IMEKIRI:
Bonus Wanajeshi wote wa Israel walirudi salama, hakuna ndege hata moja ambayo Iran ilifanikiwa kuidhibiti.
- Idadi ya askari wake waliouawa imeongezeka 2 hadi 4
- Radar zake zimeteketezwa
- Viwanda vya makombora vimelipuliwa
- Viwanda vya drones vimelipuliwa
Ila wayahudi wapo na jeuri sana, hivi kweli ndio wametuma wanawake kwenda kujipigia ? ingekuwaje wangetuma wazee wa kazi wanaoua wakuu wa Hamas, Hezbollah, n.k. ? waliochpfanya Israel ni dharau kubwa sana kwa Iran
Al Jazeera: Iran says four soldiers killed, radar systems hit in Israeli strikes
Marubani wa kike walipewa nafasi kushiriki operesheni, Kwa kanuni ya ladies first si ajabu walipewa kipaumbele maalum kuachiwa nafasi kuwaua wanajeshi wa Iran.
Picha + video : binti wa jeshi la anga la Israel akiwa anaingia kwenye ndege ya vita tayari kwa kuanza safari kuelekea Iran
Soma Pia: Iran Yatangaza Ongezeko la Vifo Kutokana na Mashambulizi ya Israel