Marubani wa kike wameua wanajeshi 4 Iran, Hakuna ndege ya Israel imeguswa, Radar zimetunguliwa na viwanda vya makombora vimelipuliwa

Marubani wa kike wameua wanajeshi 4 Iran, Hakuna ndege ya Israel imeguswa, Radar zimetunguliwa na viwanda vya makombora vimelipuliwa

Hewani Iran ni zoro kuanzia defence hadi attacks and ndege F4 series wakati na mwenzake ana F35
 
Unapenda sana porojo boss

Hao wanawake ni wanajeshi na marubani pia kwahiyo wanatimiza wajibu wao period

shida iko wapi
Huu mchezo hauhitaji hasira, kanywe maji ya kilimanjaro lita 1, nitalipia.

Hivi ni kweli Iran walikuwa wanadunguliwa lakini wameshindwa kudungua hata ndege moja ?
 
Hakuna kitu kama hicho,wamepiga kiwanda cha kutengeneza mafuta ya makombora,rada mbili,ambapo moja ilitengenezwa jana hiyohiyo na nyingine ilihitaji matengezo zaidi
Lakini si ulisema hawajapiga kokote maalim?
 
Huu mchezo hauhitaji hasira, kanywe maji ya kilimanjaro lita 1, nitalipia.

Hivi ni kweli Iran walikuwa wanadunguliwa lakini wameshindwa kudungua hata ndege moja ?
Mimi mbona niko poa sana boss wala sijapaniki

Yaani wapoteze silaha zao kwasababu ya kudungua ndege moja?
 
IRAN IMETHIBITISHA:
  1. Idadi ya askari wake waliouawa imeongezeka 2 hadi 4
  2. Radar zake zimeteketezwa
  3. Kiwanda cha makombora kimetekezwa
  4. Kiwanda cha drones kimeteketezwa
  5. Hakuna ndege yoyote ya Israel waliyoweza kuishusha
Al Jazeera: Iran says four soldiers killed, radar systems hit in Israeli strikes

Marubani wa kike walipewa nafasi kushiriki operesheni, Iran imekiri kupoteza wanajeshi wanne.

Picha + video : binti wa jeshi la anga la Israel akiwa anaingia kwenye ndege ya vita tayari kwa kuanza safari kuelekea Iran kuwadungua wanajeshi wa Iran.


Soma Pia: Iran Yatangaza Ongezeko la Vifo Kutokana na Mashambulizi ya Israel
Mbona umeongea vitu ambavyo havikuandikwa kwenye link ya Aljazeera? Mfano mdogo tu hicho kipande hapo chini. Wewe umesema rada zimeteketezwa.

“Thanks to the timely performance of the country’s air defences, the attacks caused limited damage and a few radar systems were damaged,” the armed forces general staff said.“
 
Muda ushaongea, Iran ilirusha makombora 200 hakuna mu Israel hata moja alieuawa

Israel imetuma watoto wa kike wakajipigie na kweli wamepiga,

Iran walianza kusema wanajeshi wawili, jana wanne, inawezekana ni wengi zaidi wanaogopa aibu ya kupigwa na watoto wa kike
Waisrael hawafagi wale ni matofali...... Baki hapohapo tutakukuta
 
Hakuna kitu kama hicho,wamepiga kiwanda cha kutengeneza mafuta ya makombora,rada mbili,ambapo moja ilitengenezwa jana hiyohiyo na nyingine ilihitaji matengezo zaidi
Yamekuwa hayo tena mtumish si ulisema kwamba vimondo vya Israel vilitunguliwa vyote
 
Mbona umeongea vitu ambavyo havikuandikwa kwenye link ya Aljazeera? Mfano mdogo tu hicho kipande hapo chini. Wewe umesema rada zimeteketezwa.

“Thanks to the timely performance of the country’s air defences, the attacks caused limited damage and a few radar systems were damaged,” the armed forces general staff said.“
Kuna ndege yoyote ya Israel ilitunguliwa ??
 
wiki kadhaa zilizopira Iran ilirusha makombora 200 kuelekea Israel, Hakuna mu Israel hata mmoja alieumia lakini kuna kombora moja halikufika Israel lilimdondokea mpalestine moja na kumuua.

Israel iliwaambia Iran itajibu na kuwapa taarifa mapema ni wapi watapiga, Siku ya ijumaa 24- 10-2024 Israel ilituma marubani wa ndege za kijeshi Iran kufanya operesheni iliyopata mafanikio makubwa na marubani wote walirejea salama bila bugudha, Hadi sasa Iran imeambiwa isijibu, hadi muda huu wameonyesga kutii amri.

IRAN IMETHIBITISHA:
  1. Idadi ya askari wake waliouawa imeongezeka 2 hadi 4
  2. Radar zake zimeteketezwa
  3. Kiwanda cha makombora kimetekezwa
  4. Kiwanda cha drones kimeteketezwa
  5. Hakuna ndege yoyote ya Israel waliyoweza kuishusha
Al Jazeera: Iran says four soldiers killed, radar systems hit in Israeli strikes

Marubani wa kike walipewa nafasi kushiriki operesheni, Iran imekiri kupoteza wanajeshi wanne.

Picha + video : binti wa jeshi la anga la Israel akiwa anaingia kwenye ndege ya vita tayari kwa kuanza safari kuelekea Iran kuwadungua wanajeshi wa Iran.


Soma Pia: Iran Yatangaza Ongezeko la Vifo Kutokana na Mashambulizi ya Israel
Mtu mwenye akili kama ww
wiki kadhaa zilizopira Iran ilirusha makombora 200 kuelekea Israel, Hakuna mu Israel hata mmoja alieumia lakini kuna kombora moja halikufika Israel lilimdondokea mpalestine moja na kumuua.

Israel iliwaambia Iran itajibu na kuwapa taarifa mapema ni wapi watapiga, Siku ya ijumaa 24- 10-2024 Israel ilituma marubani wa ndege za kijeshi Iran kufanya operesheni iliyopata mafanikio makubwa na marubani wote walirejea salama bila bugudha, Hadi sasa Iran imeambiwa isijibu, hadi muda huu wameonyesga kutii amri.

IRAN IMETHIBITISHA:
  1. Idadi ya askari wake waliouawa imeongezeka 2 hadi 4
  2. Radar zake zimeteketezwa
  3. Kiwanda cha makombora kimetekezwa
  4. Kiwanda cha drones kimeteketezwa
  5. Hakuna ndege yoyote ya Israel waliyoweza kuishusha
Al Jazeera: Iran says four soldiers killed, radar systems hit in Israeli strikes

Marubani wa kike walipewa nafasi kushiriki operesheni, Iran imekiri kupoteza wanajeshi wanne.

Picha + video : binti wa jeshi la anga la Israel akiwa anaingia kwenye ndege ya vita tayari kwa kuanza safari kuelekea Iran kuwadungua wanajeshi wa Iran.


Soma Pia: Iran Yatangaza Ongezeko la Vifo Kutokana na Mashambulizi ya Israel
Akili kama hizi ndo zinafany ccm iendelea kututawala
 
Mimi mbona niko poa sana boss wala sijapaniki

Yaani wapoteze silaha zao kwasababu ya kudungua ndege moja?
Ila hii dharau 😁😁

Ndio wawatumie vibinti vidogo

Vilikuwa vinajipigia tu
 
Lakini cha kushangaza mpaka sasa hatujaona picha hata moja ya hayo yote mnayo bwabwaja humu.
 
Lakini cha kushangaza mpaka sasa hatujaona picha hata moja ya hayo yote mnayo bwabwaja humu.
Iran wamezima Internet kwa miaka mingi, Kupata videos ni ngumu, unazoziona ni za watu wa serikalini wenye acces na chache zaidi za watu watundu wanaoweza kutoa vizuizi

Lakini inatosha serikali ya Iran Imekiri yenyewe na chanzo ni Al - Jazeera
 
Back
Top Bottom