Marufuku Mtanzania kujiunga Jeshi la nchi nyingine

matamko mengine ni kuonyesha tu wizara iko hai
 
Kwaiyo ajuhi au ndio kujizima data?

Wengi nawajua wapo US army
 
Kiongozi biti kama izo akawaambie wanawe hatusaidii kitu chochote katika maisha yetu.
 
Wajaribu pia black water mzee nao wanalipa vizuri [emoji1]
Una mafunzo kdg ya kijishi lakini

Ova

Unatafuta ulipo mgambo unapiga miezi mitatu , unapata cheti mengine utajifunzia huko huko lakini idea unakua nayo au unaenda jkt kwa mujibu baadae unajikataa ndio mbinu wengi hutumia kupata mbinu za awali
 
Mbona kibao tu wapo jeshi la Uingereza, USA, nk. Wao wameshindwa kuajiri vijana nchini wanavuka boda yeye atulie hayo ni maneno yake hayamzuii tembo kunywa maji.
Hakuna mtu wa kuacha fursa.
 
Unatafuta ulipo mgambo unapiga miezi mitatu , unapata cheti mengine utajifunzia huko huko lakini idea unakua nayo au unaenda jkt kwa mujibu baadae unajikataa ndio mbinu wengi hutumia kupata mbinu za awali
Hapo sawa

Ova
 
Nchi hii bhna jamaa, ni woga WA mmarekani kisa katia neni kifo cho Memes.

Hivi tutaishi kitumwa hivi mpaka lini!!
Vijana wengi hua na ndoto za kua wanajeshi na mbona hua hamuwapi izo ajira za jeshi alafu mnawazuia.

Na wengine kugikia kuandamana enzi za mwendazake wapewe ajira kama walivo ahidiwa nikiwemo🤔.

Ewe kijana ukiona nchii hii hujaona fursa inayokufaa na unauwezo wa kwenda nchi zingine kutafta na kukamilisha ndoto zako nenda.

Achana na Hawa wapuuzi na uwoga wao uje kukufanya uishi Nje ya future yako.

🖐🏿🖐🏿
 
Wanaogopa vijana wengi wakiwa na mentality na maamuzi kama ya nemes
Hawa jamaa zetu wanapenda vijana
Kuwaona wanajiingiza kwenyw mambo ya ubongo fleva na kukata mauno tu

Ova
 
Mbona inaeleweka Tanzania haina due nationality. Siyo majirani zetu leo anakuwa mkuu wa majeshi ya Congo kesho anahama timu anakuwa mkuu wa majeshi Rwanda.
Kwa kujiunga kwao Hawakani Uraia wa Nchi yetu.

Kile kikundi ni kama vile mfano wa Knight supports tu ile Kampuni ya Ulinzi.

Hivyo Wanaojiunga hawalazimiki Kuwa Raia wa Nchi Ya Urusi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…