Mary Chatanda awashauri wanawake kuwapa ngono waume zao ili wamkubali Rais Samia

Mary Chatanda awashauri wanawake kuwapa ngono waume zao ili wamkubali Rais Samia

Ukisoma vizuri post yangu nimesema pia watu wenye kujua wanataka kuipeleka wapi nchi wajipange.

Lissu sio mtu mwenye kujua anataka kuipeleka wapi Tanzania, wala CDM.

Ndio maana kuna sehemu nimeandika hata sijui tunawatoa vipi hawa vibaka.

CCM ni hovyo, ila CDM ni hovyo hovyo kweli kweli; yaani mimi mtu yeyote anaeshabikia CDM katika watu wa hovyo sijui namuweka wapi.

Lipo wazi wazi Mbowe ni compromised na tapeli tu, pamoja na uozo wa CCM upinzani uliopo sio suluhisho kabisa.

Wanahitajika watu wengine sijui majina yao, ila Tanzania inao wakuwatoa CCM, lakini sio CDM (dah) hiko chama wafuasi wake lazima ni very desperate people.

Ni wazi CDM ni genge la warubuni, kwa kuanzia mwenyekiti wao Mbowe; ni watu wanaotumia shida za watanzania kwa mapungufu ya uongozi wa CCM kujinufaisha wao.
Basi tuhamie ACT WAZALENDO

wako makini

Ova
 
Mwenyekiti wa Umoja wa wanawake wa CCM (UWT), Mary Chatanda leo Oktoba 28, 2023 alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara eneo la Darajani Mjini Magharibi Unguja amesema

Mumeo akija mpokee mwambie pole mzee na kazi, mwambie tunamtaka Samia na Mwinyi. Ukiona anakuwa mgumu msubiri saa 11 asubuhi. Ukiona anakuwa mgumu msubiri saa 7 mchana akiwa mgumu msubiri jioni,"
View attachment 2796499
CHama chetu kimekosa kabisa watu wenye mtazamo chanya badala ya huu wa hayo mambo? Yule wa Iringa naye fucus yake ni junction
 
Wasemahovyo CCM mbona wapo wengi.

CCM siyo maneno ya watu, CCM ina sera siyo kama chama cha waleta taarifa.
 
Kwa mburula na vilaza lazima wakubali kuwa Mary kaongea kitu cha kawaida.

Endelea kumpongeza m/kiti wa wamama wa CCM.
Akili fupi na mgando huwa inawaza ujinga tu hata ukimaanisha hivi atafosi kutafsiri vile maana ndipo fikra zake zilipoishia
 
Ukisoma vizuri post yangu nimesema pia watu wenye kujua wanataka kuipeleka wapi nchi wajipange.

Lissu sio mtu mwenye kujua anataka kuipeleka wapi Tanzania, wala CDM.

Ndio maana kuna sehemu nimeandika hata sijui tunawatoa vipi hawa vibaka.

CCM ni hovyo, ila CDM ni hovyo hovyo kweli kweli; yaani mimi mtu yeyote anaeshabikia CDM katika watu wa hovyo sijui namuweka wapi.

Lipo wazi wazi Mbowe ni compromised na tapeli tu, pamoja na uozo wa CCM upinzani uliopo sio suluhisho kabisa.

Wanahitajika watu wengine sijui majina yao, ila Tanzania inao wakuwatoa CCM, lakini sio CDM (dah) hiko chama wafuasi wake lazima ni very desperate people.

Ni wazi CDM ni genge la warubuni, kwa kuanzia mwenyekiti wao Mbowe; ni watu wanaotumia shida za watanzania kwa mapungufu ya uongozi wa CCM kujinufaisha wao.
Na nyie ACT Wazalendo mko kundi lipi?
 
Back
Top Bottom