Mary Chatanda awashauri wanawake kuwapa ngono waume zao ili wamkubali Rais Samia

Mary Chatanda awashauri wanawake kuwapa ngono waume zao ili wamkubali Rais Samia

Mwenyekiti wa Umoja wa wanawake wa CCM (UWT), Mary Chatanda leo Oktoba 28, 2023 alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara eneo la Darajani Mjini Magharibi Unguja amesema

Mumeo akija mpokee mwambie pole mzee na kazi, mwambie tunamtaka Samia na Mwinyi. Ukiona anakuwa mgumu msubiri saa 11 asubuhi. Ukiona anakuwa mgumu msubiri saa 7 mchana akiwa mgumu msubiri jioni,"
View attachment 2796499
Pumbavu kabisa hili, ni jitu la kupuuzwa. Wanamharibia sana mama Samia kuonekana wanawake hawawezi.
 
huwezi kushangaa kuambiwa Tanzania ni masikini na inaombaomba misaada kila kukicha, mpaka leo bado unaambiwa kuna upungufu wa madarasa na madawati... vitu hivi ndio vinatoa majibu haya
 
Mwenyekiti wa Umoja wa wanawake wa CCM (UWT), Mary Chatanda leo Oktoba 28, 2023 alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara eneo la Darajani Mjini Magharibi Unguja amesema

Mumeo akija mpokee mwambie pole mzee na kazi, mwambie tunamtaka Samia na Mwinyi. Ukiona anakuwa mgumu msubiri saa 11 asubuhi. Ukiona anakuwa mgumu msubiri saa 7 mchana akiwa mgumu msubiri jioni,"

View attachment 2796499
 

Attachments

  • 5BD35D5D-FDB6-418C-A0A3-DED9C3AA9443.jpeg
    5BD35D5D-FDB6-418C-A0A3-DED9C3AA9443.jpeg
    39.8 KB · Views: 2
  • IMG_3435.MP4
    2.5 MB
Astaghfirullah, hakuna rangi hatutaona mpaka huyu bi mkubwa akwee kiti mara ya pili .
 
Mwenyekiti wa Umoja wa wanawake wa CCM (UWT), Mary Chatanda leo Oktoba 28, 2023 alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara eneo la Darajani Mjini Magharibi Unguja amesema

Mumeo akija mpokee mwambie pole mzee na kazi, mwambie tunamtaka Samia na Mwinyi. Ukiona anakuwa mgumu msubiri saa 11 asubuhi. Ukiona anakuwa mgumu msubiri saa 7 mchana akiwa mgumu msubiri jioni,"

View attachment 2796499
Kauli ya muuza k utaijua tu.
 
Hapa ndio inabidi tujiulize hawa watu wanatudharau kiasi gani hadi kutuwekea watu kama hawa kuwa viongozi wajuu kitaifa.

CCM must go, how (binafsi sijui), lakini lazima wapatikane watu wenye agenda ya kuelewa wanataka kuifikisha wapi nchi na mbinu ya kukitoa hiki chama cha hovyo madarakani.
 
Mwenyekiti wa Umoja wa wanawake wa CCM (UWT), Mary Chatanda leo Oktoba 28, 2023 alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara eneo la Darajani Mjini Magharibi Unguja amesema

Mumeo akija mpokee mwambie pole mzee na kazi, mwambie tunamtaka Samia na Mwinyi. Ukiona anakuwa mgumu msubiri saa 11 asubuhi. Ukiona anakuwa mgumu msubiri saa 7 mchana akiwa mgumu msubiri jioni,"

View attachment 2796499

Damu za watu wa Arusha zinamlilia asijifiche kwenye uwenyekiti wa UWT.
 
Kaongea kitu cha kawaida sana tena kilichosheheni tafsida ila kwa nongwa zenu mnatafsiri ndivyo sivyo,

kwani kuna ubaya gani ukisubiri mtu asubuhi saa 11 na umueleze tena???

Nani asiyejua kazi zinachosha mtu umetoka kwenye foleni huko halafu unaletewa habari za uchaguzi, lazima somo likuingie saa 11 asubuhi

Kwa kifupi 2025 mwendo ni mmoja tu. . . . . Chama pendwa Mbele kwa Mbele🔥🔥🔥

Chama pendwa ndio kipi?. Hiki kinachosaidiwa na Jecha kushinda uchaguzi.
 
Kuongozwa na mtu kama huyo tutegemee nini zaidi?

Kwa kauli zake anaonesha hana maadili, kabisa tena.

Pambaf.
Kumbe! ndio CCM walivyo mwingine amesema anaipenda CCM kuliko watoto wake.
 
Hapa ndio inabidi tujiulize hawa watu wanatudharau kiasi gani hadi kutuwekea watu kama hawa kuwa viongozi wajuu kitaifa.

CCM must go, how (binafsi sijui), lakini lazima wapatikane watu wenye agenda ya kuelewa wanataka kuifikisha wapi nchi na mbinu ya kukitoa hiki chama cha hovyo madarakani.
Ccm must go waende wapi [emoji1]

Ccm there are here to stay

Kuna uzi naona umesupport msaidizi wa lisu kushambuliwa

Acha tu ccm waendeleee kutawala maana nyie si mnawataka

Ova
 
Ccm must go waende wapi [emoji1]

Ccm there are here to stay

Kuna uzi naona umesupport msaidizi wa lisu kushambuliwa

Acha tu ccm waendeleee kutawala maana nyie si mnawataka

Ova
Ukisoma vizuri post yangu nimesema pia watu wenye kujua wanataka kuipeleka wapi nchi wajipange.

Lissu sio mtu mwenye kujua anataka kuipeleka wapi Tanzania, wala CDM.

Ndio maana kuna sehemu nimeandika hata sijui tunawatoa vipi hawa vibaka.

CCM ni hovyo, ila CDM ni hovyo hovyo kweli kweli; yaani mimi mtu yeyote anaeshabikia CDM katika watu wa hovyo sijui namuweka wapi.

Lipo wazi wazi Mbowe ni compromised na tapeli tu, pamoja na uozo wa CCM upinzani uliopo sio suluhisho kabisa.

Wanahitajika watu wengine sijui majina yao, ila Tanzania inao wakuwatoa CCM, lakini sio CDM (dah) hiko chama wafuasi wake lazima ni very desperate people.

Ni wazi CDM ni genge la warubuni, kwa kuanzia mwenyekiti wao Mbowe; ni watu wanaotumia shida za watanzania kwa mapungufu ya uongozi wa CCM kujinufaisha wao.
 
Kiongozi ni kioo ktika jamii, sasa huy ni kioo kilichopasuka.
 
Back
Top Bottom