Mary Chatanda awashauri wanawake kuwapa ngono waume zao ili wamkubali Rais Samia

Mary Chatanda awashauri wanawake kuwapa ngono waume zao ili wamkubali Rais Samia

Kaongea kitu cha kawaida sana tena kilichosheheni tafsida ila kwa nongwa zenu mnatafsiri ndivyo sivyo,

kwani kuna ubaya gani ukisubiri mtu asubuhi saa 11 na umueleze tena???

Nani asiyejua kazi zinachosha mtu umetoka kwenye foleni huko halafu unaletewa habari za uchaguzi, lazima somo likuingie saa 11 asubuhi

Kwa kifupi 2025 mwendo ni mmoja tu. . . . . Chama pendwa Mbele kwa Mbele[emoji91][emoji91][emoji91]
Mnaotetea huu ujinga angalieni visogo vyenu.
 
We jamaa 'udini' utakuathiri kisaikolojia. Badilika. Acha kukumbatia sana udini.

-Kaveli-
Yaani hapo ni kipi cha "udini" nilichokiongea?


Hivi nyie mapagani mbona mnaiogopa sana dini? Imewakosa nini? Dini inawatakia mema, msiiogope.

Kumbuka, serikali ndiyo (secular) haina dini inayoifata, yaani kwa maana nyingine, itahesshimu dini ya kila mtu, siyo kuwa itakataza watu wasiwe na dini zao.

Hata wanaoindesha serikali wana dini zao. Hata ukiwa pagani, hiyo ndiyo dini yako.

Tatizo nini? Ki[i kibaya kilichokuudhi wewe hapo nilichokisema?
 
Yaani hapo ni kipi cha "udini" nilichokiongea?


Hivi nyie mapagani mbona mnaiogopa sana dini? Imewakosa nini? Dini inawatakia mema, msiiogope.

Kumbuka, serikali ndiyo (secular) haina dini inayoifata, yaani kwa maana nyingine, itahesshimu dini ya kila mtu, siyo kuwa itakataza watu wasiwe na dini zao.

Hata wanaoindesha serikali wana dini zao. Hata ukiwa pagani, hiyo ndiyo dini yako.

Tatizo nini? Ki[i kibaya kilichokuudhi wewe hapo nilichokisema?

Kwanini unahusisha ujinga na jina lake (Mary Chatanda)?

Dini yangu umeijuaje kwamba mimi ni mpagani?

-Kaveli-
 
Kuongozwa na mtu kama huyo tutegemee nini zaidi?

Kwa kauli zake anaonesha hana maadili, kabisa tena.

Pambaf.
Naona akili zimekurudia. Ni dhahiri Samia's Administration imekukatisha tamaa!
 
Yaani hapo ni kipi cha "udini" nilichokiongea?


Hivi nyie mapagani mbona mnaiogopa sana dini? Imewakosa nini? Dini inawatakia mema, msiiogope.

Kumbuka, serikali ndiyo (secular) haina dini inayoifata, yaani kwa maana nyingine, itahesshimu dini ya kila mtu, siyo kuwa itakataza watu wasiwe na dini zao.

Hata wanaoindesha serikali wana dini zao. Hata ukiwa pagani, hiyo ndiyo dini yako.

Tatizo nini? Ki[i kibaya kilichokuudhi wewe hapo nilichokisema?
Nadhani uliposema jina lake linaakisi matendo yake, nadhani mchangiaji, ame-refer kwa jina Mary, ingawa mimi nilielewa una-refer kwenye jina "chatanda".

Lakini huko CCM, watu ambao inaonekana vichwa vyao vinafikiria tu ngono, ni wengi. Na kwao, kikubwa wanachokiweza ni ngono, kwa sababu haihitaji akili, ndiyo maana hata mbwa na nguruwe wanafanya ngono.

Yule mwingine aliyesema kuwa afadhali Waarabu wa DP waje ili tuchanganye damu, ulimsikia? Yaani wenye akili wanafikiria manufaa ya kiuchumi ambayo nchi inaweza kuyapata, yeye cha kwanza anafikiria ngono.

Mbaguzi Botha wa Afrika Kusini aliwahi kusema kuwa, "a black person is good for nothing except sex and singing".
 
Nadhani uliposema jina lake linaakisi matendo yake, nadhani mchangiaji, ame-refer kwa jina Mary, ingawa mimi nilielewa una-refer kwenye jina "chatanda".

Lakini huko CCM, watu ambao inaonekana vichwa vyao vinafikiria tu ngono, ni wengi. Na kwao, kikubwa wanachokiweza ni ngono, kwa sababu haihitaji akili, ndiyo maana hata mbwa na nguruwe wanafanya ngono.

Yule mwingine aliyesema kuwa afadhali Waarabu wa DP waje ili tuchanganye damu, ulimsikia? Yaani wenye akili wanafikiria manufaa ya kiuchumi ambayo nchi inaweza kuyapata, yeye cha kwanza anafikiria ngono.

Mbaguzi Botha wa Afrika Kusini aliwahi kusema kuwa, "a black person is good for nothing except sex and singing".
Mary jamani si kifupi cha Mariam tu.

Wazungu lazima wabadilishe majina yaonekane ya kikwao.
 
Mke wako akijiingiza kwenye siasa,hesabu huna chako,huko inaonekana wanazagamuana kinoma.Wakienda kwenye vikao ndo kabisa,no wonder wengi wao hawajaolewa wamezalishwa tu.Wanaume wao wanafarakana nao na kuamua kuachana nao.Kwa umri wa Chatanda,ukute hana mume ila ana watoto tu,inamaana yupo huru kutoka na wababa,wazee na Serengeti boys.Mtu kama Mhagama,nadhani alifiwa mume wake,umewahisikia kaolewa,hiyo yote awe free,MAMA mwenyewe umewahi kuona anatembea na mzee... yote hiyo awe free...,makamu mwenyekiti wa UVCCM naye umewahi kumuona anatembea na mumewe....,Jokate unamjua baba wa mtoto.... yote hiyo awe huru...
Kiufupi kwenye vyama vya siasa ni hatari.
Mifumo yetu kiutamaduni, kiuchumi na kisiasa hufanya hali owe au ionekane hivyo.
Mwanamke kuwa mwanasiasa kwa mazingira yetu lazima awe fyatu kwa namna fulani.
 
Mwenyekiti wa Umoja wa wanawake wa CCM (UWT), Mary Chatanda leo Oktoba 28, 2023 alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara eneo la Darajani Mjini Magharibi Unguja amesema

Mumeo akija mpokee mwambie pole mzee na kazi, mwambie tunamtaka Samia na Mwinyi. Ukiona anakuwa mgumu msubiri saa 11 asubuhi. Ukiona anakuwa mgumu msubiri saa 7 mchana akiwa mgumu msubiri jioni,"
View attachment 2796499
Muuza k mbovu sijawahi ona.
 
Back
Top Bottom