CONTRARIAN
JF-Expert Member
- Jun 21, 2023
- 982
- 3,137
Hamna clipMtakua mme quote out of contest, hawezi kiliweka hivo leta clip yote tusikilize achani kudhalilisha wanawake plz.
Na yeye ali type kama hivi na amefuta/edit.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hamna clipMtakua mme quote out of contest, hawezi kiliweka hivo leta clip yote tusikilize achani kudhalilisha wanawake plz.
Don't take it serious grow up, no big deal everyone is entitled for jokes
mmh inaineka serengeti boy wa huyu mama kashagombana na ndugu zake 😂
Naunga mkono hoja
FaizaFoxy huyo si mwenzako chamani? Mbona unamtenga??Kuongozwa na mtu kama huyo tutegemee nini zaidi?
Kwa kauli zake anaonesha hana maadili, kabisa tena.
Pambaf.
Alikuwa muuza kMchafu sana Huyu mama
Na hii si mara yake ya kwanza, kuna kipindi aliwahi toa kauli kama hizi za kingono ngono.Kuongozwa na mtu kama huyo tutegemee nini zaidi?
Kwa kauli zake anaonesha hana maadili, kabisa tena.
Pambaf.
🤣🤣🤣 Na TAKUKURU wapo tu kimyarushwa ya ngono hii😆😆😆
Anaflect mtazamo na akili za aliyemchagua!!, Huwezi ukapanda bangi utegemee kuvuna samaki!. Nchi inaongozwa na Malaya kabisa!.Kuongozwa na mtu kama huyo tutegemee nini zaidi?
Kwa kauli zake anaonesha hana maadili, kabisa tena.
Pambaf.
NakaziaViongozi wabovu hulja na wasaidi wabovu.
CCM Toka lini mkawa na maadiliKuongozwa na mtu kama huyo tutegemee nini zaidi?
Kwa kauli zake anaonesha hana maadili, kabisa tena.
Pambaf.
Tena Mapema Sana Yaani Kabla 2024CCM wanaanza rushwa za ngono
Kwa sasa makada wengi wa CCM hasa wanawake wenye vyeo vya juu ktk chama wako kama huyu Chatanda. Katibu wa itiladi na uenezi aliyepita mikutano mingi ilikuwa ikitawaliwa na kejeli kwa wanaume na mambo ya ngono kama haya. Na bado tulisikia comments za Mongella kwenye sakata la DPW. Pengine ndiyo sera ya chama kwenye uongozi huu tusiwalaum.Kuongozwa na mtu kama huyo tutegemee nini zaidi?
Kwa kauli zake anaonesha hana maadili, kabisa tena.
Pambaf.
Mwenyekiti wa Umoja wa wanawake wa CCM (UWT), Mary Chatanda leo Oktoba 28, 2023 alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara eneo la Darajani Mjini Magharibi Unguja amesema
Mumeo akija mpokee mwambie pole mzee na kazi, mwambie tunamtaka Samia na Mwinyi. Ukiona anakuwa mgumu msubiri saa 11 asubuhi. Ukiona anakuwa mgumu msubiri saa 7 mchana akiwa mgumu msubiri jioni,"
View attachment 2796499