Mary Chatanda awashauri wanawake kuwapa ngono waume zao ili wamkubali Rais Samia

Mary Chatanda awashauri wanawake kuwapa ngono waume zao ili wamkubali Rais Samia

Ni aibu mtu mzima kuhamasisha wanawake watumie tendo la ndoa ambalo ni haki za waume zao kuhamasisha waume wawaunge mkono wagombea wa sisiyemu.Kwa upande mwingine wa shilingi it means ikiwa hao wanaume hawatakuwa tayari hao wanawake waanze kuwakataa simply hawamtaki Samia au huyo Mwinyi.Muda si mrefu mtaua taasisi ya familia kwa uroho wa kuendelea kutawala
 
Mwenyekiti wa Umoja wa wanawake wa CCM (UWT), Mary Chatanda leo Oktoba 28, 2023 alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara eneo la Darajani Mjini Magharibi Unguja amesema

Mumeo akija mpokee mwambie pole mzee na kazi, mwambie tunamtaka Samia na Mwinyi. Ukiona anakuwa mgumu msubiri saa 11 asubuhi. Ukiona anakuwa mgumu msubiri saa 7 mchana akiwa mgumu msubiri jioni,"

Mpuuzi tu huyo chawa. Sasa hapo ana maana gani?🤣😆
 
Kichwa cha habari kiboreshwe, wake zetu hawatupi ngono, Bali tendo la ndondo. Na liheshimiwe. Ngono NI zile za mtaani. Sawa?
 
Mwenyekiti wa Umoja wa wanawake wa CCM (UWT), Mary Chatanda leo Oktoba 28, 2023 alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara eneo la Darajani Mjini Magharibi Unguja amesema

Mumeo akija mpokee mwambie pole mzee na kazi, mwambie tunamtaka Samia na Mwinyi. Ukiona anakuwa mgumu msubiri saa 11 asubuhi. Ukiona anakuwa mgumu msubiri saa 7 mchana akiwa mgumu msubiri jioni,"
View attachment 2796499
Hapa akili za ccm zilipofikia, no wonder nchi haiendelei jamani
 
Mwenyekiti wa Umoja wa wanawake wa CCM (UWT), Mary Chatanda leo Oktoba 28, 2023 alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara eneo la Darajani Mjini Magharibi Unguja amesema

Mumeo akija mpokee mwambie pole mzee na kazi, mwambie tunamtaka Samia na Mwinyi. Ukiona anakuwa mgumu msubiri saa 11 asubuhi. Ukiona anakuwa mgumu msubiri saa 7 mchana akiwa mgumu msubiri jioni,"

View attachment 2796499
Ndio akili ya viongozi wa CCM tulio waamini kama wana akili kumbe mabuyu
 
Kichwa cha habari kiboreshwe, wake zetu hawatupi ngono, Bali tendo la ndondo. Na liheshimiwe. Ngono NI zile za mtaani. Sawa?
UMesema ukwrli ila shida si unajua ccm akili zao zimejaa ngono ndio maana wanashindwa kutofautisha kati ya ndoa na uasherati
 
Mwenyekiti wa Umoja wa wanawake wa CCM (UWT), Mary Chatanda leo Oktoba 28, 2023 alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara eneo la Darajani Mjini Magharibi Unguja amesema

Mumeo akija mpokee mwambie pole mzee na kazi, mwambie tunamtaka Samia na Mwinyi. Ukiona anakuwa mgumu msubiri saa 11 asubuhi. Ukiona anakuwa mgumu msubiri saa 7 mchana akiwa mgumu msubiri jioni,"

View attachment 2796499
Ngono wanafanya watu wasioowana,

Watu walikokuwa kwenye ndoa wanafanya tendo la ndoa sio ngono
 
Hawa ndiyo wanawake mliosema wakiwezeshwa wanaweza?
 
Back
Top Bottom