Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
MIMI SIKOSEI. NENDA KASOME KISWAHILI UUELEWE HUU MSEMO. Kwa Kiingereza tunasema "birds of a feather flock together"Sio ndege wa rangi moja ni ndege wafananao mkuu hapo umekosea.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MIMI SIKOSEI. NENDA KASOME KISWAHILI UUELEWE HUU MSEMO. Kwa Kiingereza tunasema "birds of a feather flock together"Sio ndege wa rangi moja ni ndege wafananao mkuu hapo umekosea.
Mimi ndo nawafanyia kazi.Ahsante kwa taarifa, tutaifanyia kazi.
Pumbavu kabisa. Hili mama halina faida yoyote kwa yeyote. Mwenye mke kama huyu ameoa takataka.CCM na ngono ni kama Chupi na KalioView attachment 2796635
Hata wewe? Huyo ni mwenzio na mawazo yake hayo ndiyo yanayoakisi yaliyomo ndani ya Chama chenu.Kuongozwa na mtu kama huyo tutegemee nini zaidi?
Kwa kauli zake anaonesha hana maadili, kabisa tena.
Pambaf.
Mwenyekiti wa Umoja wa wanawake wa CCM (UWT), Mary Chatanda leo Oktoba 28, 2023 alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara eneo la Darajani Mjini Magharibi Unguja amesema
Mumeo akija mpokee mwambie pole mzee na kazi, mwambie tunamtaka Samia na Mwinyi. Ukiona anakuwa mgumu msubiri saa 11 asubuhi. Ukiona anakuwa mgumu msubiri saa 7 mchana akiwa mgumu msubiri jioni,"
Mpuuzi tu huyo chawa. Sasa hapo ana maana gani?🤣😆
Hapa akili za ccm zilipofikia, no wonder nchi haiendelei jamaniMwenyekiti wa Umoja wa wanawake wa CCM (UWT), Mary Chatanda leo Oktoba 28, 2023 alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara eneo la Darajani Mjini Magharibi Unguja amesema
Mumeo akija mpokee mwambie pole mzee na kazi, mwambie tunamtaka Samia na Mwinyi. Ukiona anakuwa mgumu msubiri saa 11 asubuhi. Ukiona anakuwa mgumu msubiri saa 7 mchana akiwa mgumu msubiri jioni,"
View attachment 2796499
Ndio akili ya viongozi wa CCM tulio waamini kama wana akili kumbe mabuyuMwenyekiti wa Umoja wa wanawake wa CCM (UWT), Mary Chatanda leo Oktoba 28, 2023 alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara eneo la Darajani Mjini Magharibi Unguja amesema
Mumeo akija mpokee mwambie pole mzee na kazi, mwambie tunamtaka Samia na Mwinyi. Ukiona anakuwa mgumu msubiri saa 11 asubuhi. Ukiona anakuwa mgumu msubiri saa 7 mchana akiwa mgumu msubiri jioni,"
View attachment 2796499
UMesema ukwrli ila shida si unajua ccm akili zao zimejaa ngono ndio maana wanashindwa kutofautisha kati ya ndoa na uasheratiKichwa cha habari kiboreshwe, wake zetu hawatupi ngono, Bali tendo la ndondo. Na liheshimiwe. Ngono NI zile za mtaani. Sawa?
Ndio sera za Chama chetuKuongozwa na mtu kama huyo tutegemee nini zaidi?
Kwa kauli zake anaonesha hana maadili, kabisa tena.
Pambaf.
Unajuaje ana mume?Ila mmewe anafaidi mautraamm..
Ahsante kwa taarifa, tutaifanyia kazi.Ndio sera za Chama chetu
Ngono wanafanya watu wasioowana,Mwenyekiti wa Umoja wa wanawake wa CCM (UWT), Mary Chatanda leo Oktoba 28, 2023 alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara eneo la Darajani Mjini Magharibi Unguja amesema
Mumeo akija mpokee mwambie pole mzee na kazi, mwambie tunamtaka Samia na Mwinyi. Ukiona anakuwa mgumu msubiri saa 11 asubuhi. Ukiona anakuwa mgumu msubiri saa 7 mchana akiwa mgumu msubiri jioni,"
View attachment 2796499
Mume ampate wapi huyo muuza nyapu tuPumbavu kabisa. Hili mama halina faida yoyote kwa yeyote. Mwenye mke kama huyu ameoa takataka.
Kwenda zako pumbavuNgono wanafanya watu wasioowana,
Watu walikokuwa kwenye ndoa wanafanya tendo la ndoa sio ngono