Mary Chatanda awashauri wanawake kuwapa ngono waume zao ili wamkubali Rais Samia

Basi tuhamie ACT WAZALENDO

wako makini

Ova
 
CHama chetu kimekosa kabisa watu wenye mtazamo chanya badala ya huu wa hayo mambo? Yule wa Iringa naye fucus yake ni junction
 
Wasemahovyo CCM mbona wapo wengi.

CCM siyo maneno ya watu, CCM ina sera siyo kama chama cha waleta taarifa.
 
Kwa mburula na vilaza lazima wakubali kuwa Mary kaongea kitu cha kawaida.

Endelea kumpongeza m/kiti wa wamama wa CCM.
Akili fupi na mgando huwa inawaza ujinga tu hata ukimaanisha hivi atafosi kutafsiri vile maana ndipo fikra zake zilipoishia
 
Na nyie ACT Wazalendo mko kundi lipi?
 
Kwanini asibebe hilo jukumu, atugawie tumpende Samia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…