DOKEZO Masaki: Anayedaiwa kuwa Afisa Usalama (TISS) afanya vurugu, amjeruhi mwananchi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'


Wanaumeeeeeeee

Njoweniii mjibu hoja hapa, nyie kuwezaaa...!!!

Nke umuache nyumbani ulale wima na glasi mkononi hadi asubuhi si adhabu hiyoo...!!!

Ila tuache masihara, kuna ujumbe nimeuona unasambaa ukisema, WAJANE SIO WALIOFIWA NA MUME TUU, HATA WALIOOLEWA NA WALEVI.....

Huruma kwao hakyanani, kwenye hekaheka za maisha nilishawahi kudeti na mwanaume anayekesha bar na kubadili bar moja baada ya nyingine halafu asubuhi anarudi nyumbani yuko mbwiii...!!
Siku moja nikamtolea uvivu, nikamwambia kwani guest shilingi ngapi?
Sababu ukitoka kunywa unakuwa uko mwenye starehe zako basi ukikesha hadi asubuhi usirudi nyumbani na shombo za pombe, chukua guesti lala huko badili tisheti na suriali amka agiza supu zimua na chupa mbili kutoa heng'iova halafu rudi nyumbani ukiwa soba.

Kasinde Matata.
 
Kuna watu wanakua miaka sio akili. Haya mambo ni ya mtu kufanya ukiwa 18-25 kuanzia hapo uwe umeoa au hujaoa unatakiwa kuonesha responsibility. Sasa una 36 una mke na mtoto lakini unakesha bar ndio ulinbukeni au ushamba? Nilishaacha mambo ya kutoka usiku siku nyingi sana. Mimi kazini home, Monday to Sunday. Mara chache kwenda beach au sehemu za kifamilia. Nikijisikia kabisa kupumzisha akili nasafiri naenda quiet places kuinjoi nature. Dunia imeharibika hii wendawazimu wengi wanazurura usiku kutafuta kuondoa kichaa chao. Unaweza kujikuta sehemu mbaya na muda mbaya ukawaacha wanao bado wadogo.
 
Self defence ni muhimu sana. Jamaa mpuuzi mwenzake kashika bastola yeye anakunja ngumi kilevi levi.

Ila hawa jamaaa wanaotembea na bastola wanajikuta na hasira za karibu sana na kujifanya wao ndio wao
Asilimia kubwa ya watu wenye bastola ni malimbukeni. Wala hawakuwa na uhitaji wa bastola ila ulimbukeni ndio umewasukuma kutafuta bastola. Na kwasababu muda mwingi wanailinda bastola kuliko inavyowalinda wao wanaishia kuionesha onesha bar na kuitumia kwenye ugomvi wa kipumbavu kama tukio hili. Yote haya yamesababishwa na mamlaka ya utoaji silaha.
 
Zembwela.asubuhi leo kakumbushia kwamba ingekuwa enzi.za.hayati magufuli leo tungesikia tumbua moja ndefu kuanzia TRA longroom meneja mpaka yule aliyemsafisha kwenye press.

Kiuzoefu wafanyakazi wengi.wa.TRA si.lazima wawe Tiss ila.wanafanya kazi kwa.ukaribu.sana.na.tiss waliokuwa.assigned bandarini.

Sababu wengi huwa.wanapata.utajiri.wa.ghafla na.wa. rushwa hivyo kupelekea kujiona ni watu.wa. daraja la.juu hivyo kumiliki silaha kihalali ni.kawaida.

Ipo trend ya vijana wa.TRA walioko.sehemu.zenye pesa nyingi kumiliki silaha ni kama fashion kwao.

Kwa kuishi na wanajeshi.halisi hakuna mtu wa.jeshi.halisi anaweza kufanya aliyoyafanya Derick Junior jinajunior.tuu linaonesha penginesilaha.karithi toka kwa baba.
 


Hii ndo maturity sasa ya kiume....

Na hata kutoka out mara moja moja si dhambi kikubwa kujidhibiti tuu. Ila ulichosema ni ukweli kabisaa hiking ni moja ya starehe yangu kubwa na inaondoa msongo wa mawazo na kurefresh akili vizuri tuu huku unasikiliza mziki asili wa ndege maji ya mito yatiririkayo na majani yapeperushywayo na upepo mwanana...😊.
 
Usiombe kumiliki hicho kitu .........kinatia ny.ege sana....kukitoa toa hadharani. Kama una akili ndogo ndio basi tena
 
Mme/mke unaenda kufanya nini huko club unakesha mpaka asubuhi yote hiyo

Ova
 
Silaha hata ikishikwa na Nyani wwe tii tu hakuna jinsi!!
 
Khe! Hivi kumbe kuna watu wako serious na wanawake kiasi hiki [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wwe shukuru unapata bunye kirahisi, kuna wenzako pesa wanazo kazi nzuri wanazo ila kupata demu ndiyo mziki, mwisho wa siku hadi wazimu unawapanda hadi kuzuru mtu kisa mbunye inayo safari kila mwisho wa mwezi!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…