DOKEZO Masaki: Anayedaiwa kuwa Afisa Usalama (TISS) afanya vurugu, amjeruhi mwananchi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Nasemaje ? Yule dogo arudishwe dojo.....haeezi mkono na raia ata proect vipi viongozi? Atalindaje katiba na installation xoore nchini hayuko physical fit ?
 
Jamaa sijui alitema shit gani mpaka ashushiwe kipondo nusu achapwe shaba.
Ni kesi kubwa kwa kajamba nani, ila kama yupo karibu na wenye vyeo na anafanya kazi zao vyema basi hamna kesi hapo kibongobongo
Nadhan bastola Haina risas maana naona alo koki akapiga akakutana na msunyo wa bunduki kua Haina risas ,inaonyesha alidhamiria Leo iwe mazishi ,,
 
Wwe shukuru unapata bunye kirahisi, kuna wenzako pesa wanazo kazi nzuri wanazo ila kupata demu ndiyo mziki, mwisho wa siku hadi wazimu unawapanda hadi kuzuru mtu kisa mbunye inayo safari kila mwisho wa mwezi!!
Sasa kama una pesa ugumu unatoka wapi na zinauzwa kila rangi na kila size kama peremende?
 
Tatizo ni TISS siku hizi wanajaza wahuni wa uvccm watupu
 
Hii Dunia imejaa maovu mengi sana hadi inakera.Mtu anawezaje kurusha na wengine kuangalia video ya ngono ya Boss kama siyo kukosa akili?

But I'm sorry, hiyo video nami ninawezaje kuipata niangalie kidogo?
 
Hii Dunia imejaa maovu mengi sana hadi inakera.Mtu anawezaje kurusha na wengine kuangalia video ya ngono ya Boss kama siyo kukosa akili?

But I'm sorry, hiyo video nami ninawezaje kuipata niangalie kidogo?
Hivi mmiliki si Sniper M ina maana yeye ndio alikuwa anapiga show store 😆
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…