ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Kana maza mmoja alisema walioolewa na walevi ni wajane pia. Naona inaanza kumake sense. Unaacha kulala na mkeo usiku unakesha club hadi asubuhi unagombania madem
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushawahi pigwa hata kibao na komandoo?Show ilibidi iishe hapo alipomuinamisha..
Huko kutangatanga kama anataka taga yai ni udhaifu..
Mapepo yako ya aina mengi sana sali kila mara!!Kana maza mmoja alisema walioolewa na walevi ni wajane pia. Naona inaanza kumake sense. Unaacha kulala na mkeo usiku unakesha club hadi asubuhi unagombania madem
Mbona walevi mnatuonea iviKana maza mmoja alisema walioolewa na walevi ni wajane pia. Naona inaanza kumake sense. Unaacha kulala na mkeo usiku unakesha club hadi asubuhi unagombania madem
Nadhan bastola Haina risas maana naona alo koki akapiga akakutana na msunyo wa bunduki kua Haina risas ,inaonyesha alidhamiria Leo iwe mazishi ,,Jamaa sijui alitema shit gani mpaka ashushiwe kipondo nusu achapwe shaba.
Ni kesi kubwa kwa kajamba nani, ila kama yupo karibu na wenye vyeo na anafanya kazi zao vyema basi hamna kesi hapo kibongobongo
Hapo ni wapi imetumika silaha?Sasa hata ujue kupigana utashindana na mwenye silaha? Watu wajifunze ustaarabu sehem za starehe bora hapo kuna 📷 hivi hivi kibao kingemgeukia.
Sasa kama una pesa ugumu unatoka wapi na zinauzwa kila rangi na kila size kama peremende?Wwe shukuru unapata bunye kirahisi, kuna wenzako pesa wanazo kazi nzuri wanazo ila kupata demu ndiyo mziki, mwisho wa siku hadi wazimu unawapanda hadi kuzuru mtu kisa mbunye inayo safari kila mwisho wa mwezi!!
Kajeruhiwa na nini huyo Bujulu?Hapo ni wapi imetumika silaha?
Tatizo ni TISS siku hizi wanajaza wahuni wa uvccm watupuAnayedaiwa kuwa Afisa Usalama (TISS) afanya vurugu, amjeruhi mwananchi.
Tukio la kutisha lilitokea jana usiku (26.10.2024) katika klabu maarufu inayojulikana kama 1245 Lounge, Bar and Restaurant iliyopo Masaki, ambapo Afisa Usalama wa Taifa anayefahamika kwa jina la Derick Junior Lima (maarufu kama Chief Abayomi) alianzisha fujo na kujaribu kumpiga risasi Julian Bujulu baada ya kutokea sintofahamu kati ya Derick na Julian iliyosababishwa na Derick kujaribu kulazimisha kuondoka na mwanamke aliekuwa ameenda kustarehe katika Club hiyo akiambatana na Julian.
Taarifa zinaeleza zaidi kwamba Derick ni mtu mwenye mke na watoto na kwamba mwanamke anayehusishwa na ugomvi huo ni Dada yake Julian ambapo walikuwa wametoka pamoja kwenda kwenye starehe.
Kwa mujibu wa mashuhuda, ghasia zilianza baada ya Derick kutaka kuondoka na mwanamke huyo kwa nguvu bila kujali yupo na kina nani, jambo lililopelekea Kaka mtu kuingilia kati akizuia Dada yake kuondoka na Derick. Mzozo huo ulipopamba moto, Derick alitoa bastola akiwa na lengo la kumpiga risasi Julian lakini kwa bahati nzuri, bastola ya Derick iligoma kutoa risasi. Baada ya kushindwa kupiga risasi, kwa hasira Derick aliamua kumpiga Julian kichwani kwa kutumia kitako cha bunduki hiyo na kumsababishia majeraha makubwa.
Kamera za CCTV katika klabu hiyo zimenasa tukio zima jinsi Derick alivyotenda na kusababisha majeruhi makubwa kichwani yaliyopelekea kuwahishwa hospitali na baadae kuhamishiwa Hospitali ya Muhimbili ambapo amelazwa kwa matibabu zaidi.
Mpaka wakati huu, Derick Lima anashikiliwa na Polisi katika kituo cha Oysterbay huku uchunguzi ukiendelea. Kuna wasiwasi mkubwa kwamba haki haitatendeka kutokana na uhusiano wake wa karibu na wakubwa. Mpaka sasa kuna baadhi ya “Matajiri” wa mjini ambao wamekuwa wakimtumia Derick katika kukwepa kodi na kutekeleza mambo yao haramu wamekuwa wanaendelea na jitihada kuhakikisha anatoka mikononi mwa polisi bila kuwa na kesi.
Polisi wamechukua mashine za CCTV katika Club hiyo na katika kuhakikisha mmiliki wa Club hiyo anaminywa na asitoe ushirikiano, wameachia makusudi video inayomuonyesha mmiliki huyo akifanya mapenzi na mmoja wa aliekuwa mfanyakazi wake katika moja ya ofisi za Club hiyo.
UPDATE: Polisi wamemkamata Polisi wamtia mbaroni anayedaiwa kuwa "Afisa Usalama" aliyemjeruhi raia kwa 'kitako cha bunduki'
Aisee sipendi nikutoe akili hiki nilichokiandika kwa mtu aliyepitia kwènye sanaa ya mapigano hawezi kupigwa na huyo choko kiasi hichoKajeruhiwa na nini huyo Bujulu?
Wateja wao baadhi uhuni wanachukulia ndio ujanja na wanawafugaHyo club wajitathmin maana haina tofauti na kitambaa cheupe
Hayo mavurugu
Ova
SawasawaAisee sipendi nikutoe akili hiki nilichokiandika kwa mtu aliyepitia kwènye sanaa ya mapigano hawezi kupigwa na huyo choko kiasi hicho
Yeah siyo unakua lege lege unapigwa mtama mmoja chini kama ndezimambo ya squats na mavyuma kwa sana..
Japo wanasema kunyanyua vyuma sio kujua mapigano ila atleast unakuwa na ngumi na roba nzito.
Jiulize zilienda wapi risasi?? Huyu atakuwa anapiga tu Marisa's hivyo na ndo mana hata HAJUI kua zishaishaNadhan bastola Haina risas maana naona alo koki akapiga akakutana na msunyo wa bunduki kua Haina risas ,inaonyesha alidhamiria Leo iwe mazishi ,,
asanteMkuu ombi lako kamshahara umeliwasilisha vizuri sana, watalifanyia kazi
Hivi mmiliki si Sniper M ina maana yeye ndio alikuwa anapiga show store 😆Hii Dunia imejaa maovu mengi sana hadi inakera.Mtu anawezaje kurusha na wengine kuangalia video ya ngono ya Boss kama siyo kukosa akili?
But I'm sorry, hiyo video nami ninawezaje kuipata niangalie kidogo?
Hapana sio polisi aliokuwa nao marafiki pia....Hahaha walikuwa polisi au wana tu
?