DOKEZO Masaki: Anayedaiwa kuwa Afisa Usalama (TISS) afanya vurugu, amjeruhi mwananchi

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Wanasema Derick ana black belt kutoka Okinawa.
 
Haki ni za binadamu, sio za walio sober tu hata walevi nao ni watu.
 
Wanasema Derick ana black belt kutoka Okinawa.
Black belt ya huko Okinawa ,haiwezi kulingana na black belt ya mtaa wa keko Kaka Tena chini ya mwalimu tukuka komando Matumula ,aisee naweza kuuwa sema Sasa utu uzima nimetulia na ulanzi ushalegeza maguvu yangu ila ingekuwa miaka hiyo angeombwa pambano ili nimuoneshe nguvu ya elimu ya mtaa hasa kwenye ngumi
 
Kabisa hicho kiwanja usalama ni mdogo ,inakuwaje waruhusu walevi waingie na mabomba(vyuma)(Mikwaju)(mguu wa kuku)?
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Ungempiga kipigo cha Keko magulumbasi! Angetapika uji aliokunywa kwa mkewe au sio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…