Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,858
- 22,729
InafikirishaItakuwa kamu assassinate kitaalamu kwa kutumia nguvu za asili za mababu/ulimwengu huu yaani unamuondoa ili ubaki na mke kwa amani wengi hamjawaza hilo
Haya mambo hasa yanayowakuta watu maarufu msiya amini saaana.View attachment 2374942
Kayaandika haya
KILA KAZI INA GHARAMA YAKE!!
Acha tulipe gharama ya tulichoitiwa.
NAKUPENDA MPAKA PUMZI YANGU YA MWISHO MKE WANGU.
Hili nalo litapitaππΏ
TUOMBEENI NASI TUNAOMBA.
MTETEZI WETU YU HAIππΏ
Sasa kati yako wewe na masanja tumuamini nani?Hivi kuna mtu anaamini hizi taarifa?
Ndio umegundua leo?madem wana siri hawa
ππDahkuna post moja ya siku za nyuma kule Insta Masanja aliupost msambwanda wa mke wake alafu akaandika,"mke mwema hutoka kwa bwana",sasa ndo nimejua huyo bwana kumbe ni katibu wa kanisa,,,!
Real!?ZAMA ZIMEBADIRIKA MMMNO, KWENYE NDOA HIZI HAKUNA ASIYE TOKA.
KUNA MAMA KANISA MMOJA, TUNAFANYA MATUSI NAYE WEEEE. NA MIKONO ANAWEKEA WAUMINI.
Tatizo sio kugongewa tatizo ni pale unakuja gundua marehemu kakuachia Mali yake kama urithi ule.Nimekumbuka maneno ya mzee (babu) mmoja mtaani kwetu uko mkoa alinambia mjukuu wangu uyu Bibi yako nilishamfumania na mwanaume ndani lakini leo nimezeeka nae. Aisee na wanapendasana mpaka mtaani tunawaita wapendanao
Anakula mjane πππKwa hyo masanja anakula Mali za marehemu si ndio.
IKO HIVI, HIZI KANISA ZINAISHI NA KUENDESHWA NA KANUNI FLANI ZA MAIGIZO NA UNAFIKI FLANI. SIKU ZA KANISA KILA MTU NI MTU SAFI, MTAKATIFU. UKIKAA NDANI YA KANISA, KAA NA WANA KWAYA, KAA NA SIJUI NANI. NDIO UTAJUA HAKUNA KISICHOFANYIKA!Real!?
πππAnakula mjane πππ