Hilo jambo alikiwea mzee Madiba peke yake hakujali wasifu wake bali alipiga chini Winnie.Kuna mambo kadhaa ambayo ndo kweli kabisa na haipingwi!! Moja jamaa anaona kama aibu kuvunja ndoa kutokana italeta taswira mbaya hasa kwa dini yake ni process ndefu na yeye ni mchungaji.
Kingine jamaa tuna wasiwasi nae sio kwa kumpamba kule mkewe ilihali katibu ana msaidia kula mande,inawezekana jamaa ana matatizo na demu anamvumilia hakuna mtu anampost mkewe kama yeye kwamba yeye anampenda sana ila demu upendo hakuna huku nyuma katibu anakula ...
Imekusaidia chochote?Nina video mkewe akichapwa
kujifanya tu! mie nikupende halafu ukachapwe na jitu lingine mweee!!....lazima nikuroge mbaya tu! utembee kinyume nyume maisha yako yote! km siyo kukuua kabisaaaaa!! usiniulize ntaua wangapi??...ila mtavuta wengi...........Unaweza ukasahau changamoto nyengine nyingi tu, lakini hii yakuchapiwa na ni mke umpendae kwa dhati huwa haitoki moyoji. Huwa tunajitutumua tu ili kuituliza jamii.
Siyo Rich Mavoko[emoji445]....ukichapiwa ni siri ya ndani....[emoji445] Diamond Platinumz
Huyu mwamba nimemkubali[emoji1787][emoji1787]
Umeelewa ulichosoma??Upo ushahid
Huyo mke wake ni wa kushtua mtu kweli?..Oa mke ambae akipita wana mitaani hawageuki wala kupata wenge. Huyu boya kaoa mke mzuri afu kamfanya awe maarufu kama yeye. Wana watadinya tuu.
Hiyo ni taarifa. Au ww ulifikiri wali mlenda huu stupidImekusaidia chochote?
Au chaputa?
mke wa mtu akishagongwa nje kwisha. Mwanamke ni tofauti na mwanaume ambaye anaangalia physical contacts tu akitoka hapo anasahauHuyo mwanamke ni Malaya atat*ombwa Sana, Bora umuache
Anafanya kama anavyofanya😀Sasa atafanya nini na katibu katibua
Ni yeye. Hakuna wivu wala nyivu hapaWivu tu umewajaa.
Wapendeni wake zenu.
Oa mke ambae akipita wana mitaani hawageuki wala kupata wenge. Huyu boya kaoa mke mzuri afu kamfanya awe maarufu kama yeye. Wana watadinya tuu.
Ukimuuliza mama yako baba yako halisi ni nani, utakuja kugundua ni mimi.Hiyo ni taarifa. Au ww ulifikiri wali mlenda huu stupid
Hii ndo tunaita siri ya ndani!kachapiwa lkn nje inambidi aongee hayo anayoongea lkn ndani huko kunawaka moto!refer mke wa gwajima, ilibidi nae akubali kuwa ule mkono sio wa gwajima ni wa baunsa!hahaha ndo ndoa zilivyo!hana namnaVideo hiyo hapo
View attachment 2378508
"Yaani namuachaje huyu msichana, nimuache huyu dada halafu? Yaani hata ndoa ziishe leo zote halafu kesho tuanze upya namrukia huyu huyu! Nataka niwaambie kwa lugha rahisi, ninamshukuru Mungu kwasababu Mungu yupo kazini."
"Yote ambayo wanangu mnasikia, msiende na mikumbo watu wanachoongea, endelea kuamini katika ukweli ya kwamba tunachokwambia mke wangu mimi ni mke ambaye mnaishi naye hapa kanisani mnaelewa. Ni mke ambaye anajichanganya na ninyi, hatengenezi umbali kati yenu na sisi, na hili ni darasa nililifanya kwakwe."
"Anaongea na watu wote, anacheka na watu wote, hivyo ndivyo huyu mwanamke alivyo. Haiwezi kutokea tutengeneza mazingira ya kumfanya asiongee na watu."
"Natamani dunia ielewe leo kwa jinsi ninavyomuelewa huyu msichana, tuweke uchungaji na kanisa pembeni, nimkute uso kwa uso anapiga "gemu" na mtu, namkamata kwanza wife halafu nampima yule jamaa nammudu au simmudu? Nikiona hii ngoma siiwezi kuzipanga atanipasua, nitarusha maneno tu lakini wife naondoka naye."
"Sisi tumeoana hadi kitutenganishe kifo. Hakuna stori hapa kati kati, mchawi, pepo, jini cha kusambaratisha. Nataka nikukwambie mabaya yote yanayokuja mbele yetu hatushindi kwa akili, uweza na nguvu zetu, tunaye anayetupa kushinda, ndiyo maana nina uhakika wa kubaki na mke wangu mpaka siku ya unyakuo."