Masanja awachana 'live' wambea wa ndoa yake

actually, watu wote wanaosali kwenye hilo kanisa ni mapunguani.
 
Big up Massanja sema uwe mchunguzi sana hawa ni wauaji sometimes don't believe her 100%
Mkuu hapa Masanja amemdhibiti sana na ataaminiwa mno hata akipiga nje mkewe kamwe hawezi amini
 
Heeee.................aliliwa goti.....hatari na nusu.
 
Sio clip yake ile wewe, mnatafuta kila njia ya kumuumiza why lakini?
 
Kwahiyo wewe mkeo akiliwa mlango wa mbele poa tu.
 
Kwani haitokeagi mkuu?
Nimeshuhudia jamaa kamfata mke wake gest kamtoa kampakia kwenye gari wakasepa na alikua anachepuka na mfanyakazi mwenzie, ilikua 2012 adi leo wapo wote, alikua boss wangu na nilikua mpelelezi bila mimi kujua.

Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
 
Kwahiyo wewe mkeo akiliwa mlango wa mbele poa tu.
Binafsi hapana, ila ilikuwa ni response ya swali ulilomuuliza hapo juu kwamba alishaoa? My interpretation ilikuwa kama unashauri masanja asamehe as long as ni majaribu ya kwenye ndoa, unaweza add kitu kama nimekupata vibaya kuweka mambo sawa.
 
BINUKA INUKA LIA CHEKA UKWELI UNABAKI PALEPALE UMECHAPIWA HATA UKIJITETEAJE UMEGONGEWA TU BABAA.

KAMMOON!
Kachapiwa na marehemu😁😁😁😁😁😁
 
Hii ndio ukweli😁😁😁😁😁😁😁.Ndoa bongo!!!!!
 
Daah aisee hii ni zaidi ya nomaa... kuna watu wa mioyoo ya chumaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…