Mashambulizi dhidi ya Magufuli: Michezo au upepo wa kisiasa?

Hii nchi ina mipumnavu michache kama Sang'udi na ndiyo inafanya tudharauliwe.

Hoja za kipumbafu sana hizi, na yeyote anayeziunga mkono ana akili ndogo kama PIRITONI.

Yaani yule DIKTETA ali- misuse raslimali za nchi kwa kwenda kujenga miundombinu mikubwa kuliko mahitaji halisi ya kitongoji cha Chato, isitoshe kila alichofanya hakikuwa na approval ya Bunge,
 
Mbona hata Makonda mwenyewe ni shoga? Alipambanaje na mashoga wakati yeye mwenyewe anapakuliwa? Marehemu Spika Awamu ya kwanza ya JK na Mbunge wa Urambo alimhamishia nyumbani kwake kabisa kama hawara
 
Well said
 
Kumtetea huyu, ni shida.

Hasafishiki kabisa. Mikono yake inanuka damu za watu
Ukiondoa Ben saa8,Azori na Lissu ambao mnasingizia kuwa awamu ya tano ilihusika ,je waweza kututajia hao waliyokutwa kwenye viroba ni kina nani? Je kuna familia ililalamika kupoteza ndugu ? tumieni akili.Muna owoga mpaka mnamwogopa marehemu.hahaaaaa.
 
Ukiondoa Ben saa8,Azori na Lissu ambao mnasingizia kuwa awamu ya tano ilihusika ,je waweza kututajia hao waliyokutwa kwenye viroba ni kina nani? Je kuna familia ililalamika kupoteza ndugu ? tumieni akili.Muna owoga mpaka mnamwogopa marehemu.hahaaaaa.
Pole sana
 

Magufuli awe hero wa nchi hii, labda kama una mitazamo ya kimaskini.
 

Magu hatachafuka kwani alikuwa msafi?
 
Kaka hebu kua hata na aibu huwezi jua hata hii lipoti ya CAG imepikwa kwa ajiri ya kumchafua JPM...Hivi kwa akili zako tu miradi yote alio acha mwendazake imekamilika ...huyu mama mkimpa hata miaka 50 hawezi fikia hata robo jamaa kafanya mambo mengi sana....mm nakupa mfano mdogo tu hapa kigamboni kuli kua na boti mbili mbovu hatari lakini alipo ingia jamaa akajenga mbili mpya na moja akailekebisha ....nenda sasa hivi utalia vilivo baada ya kuondoka tu mwenda zake ..[emoji24][emoji24][emoji24]
 
Wafisadi, wauza madawa ya kulevya, walioghushi vyeti na majangili hawataki kusikia mema ya Magufuli kabisa. Sijui wanataka tuwe na taifa ovu kiasi gani!!!
Hawa watumwa wenye ID zao mbilimbili ndio wanatumwa kujaribu kupima upepo na kwabahati hojazao niza kijinga hazina fact yoyote.

Wanateseka sana na kivuli cha magu, nimtu mjingatu ndio anaweza kutumia nguvu kupambana na marehemu kiumbe ambacho hakina uhai yani nisaeasawa kama kupigana na ukuta.

Hawa wajinga ningewaona wana akili kama nguvu wanazo tumia kupambana na kaburi wangezitumia kudai katiba mpya ili hatauo uongowao angalau upate mashiko kwamba hawataki wanachosema kitokee tena kwa kubadilisha katiba iliyopo.
 
Shetani yule. Tunamshambulia Ili nyie ndugu zake mlionufaika na uovu wake muumie.

Hakika familia yake itapata tabu sana.

Itakataliwa popote mpaka mbinguni.

Muuwaji amekataliwa mbinguni na duniani
Maneno kama hayo yanadhihirisha kichwani kwako hamnakitu zaidi ya stress, ujinga, na nimtu uliekata tamaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…