Mashambulizi dhidi ya Magufuli: Michezo au upepo wa kisiasa?

Mashambulizi dhidi ya Magufuli: Michezo au upepo wa kisiasa?

Hawa watumwa wenye ID zao mbilimbili ndio wanatumwa kujaribu kupima upepo na kwabahati hojazao niza kijinga hazina fact yoyote.

Wanateseka sana na kivuli cha magu, nimtu mjingatu ndio anaweza kutumia nguvu kupambana na marehemu kiumbe ambacho hakina uhai yani nisaeasawa kama kupigana na ukuta.

Hawa wajinga ningewaona wana akili kama nguvu wanazo tumia kupambana na kaburi wangezitumia kudai katiba mpya ili hatauo uongowao angalau upate mashiko kwamba hawataki wanachosema kitokee tena kwa kubadilisha katiba iliyopo.
Wameshindwa kufanya mambo mema mengi kama Magufuli, wanaishia kumpinga.
 
Mbona hata Makonda mwenyewe ni shoga? Alipambanaje na mashoga wakati yeye mwenyewe anapakuliwa? Marehemu Spika Awamu ya kwanza ya JK na Mbunge wa Urambo alimhamishia nyumbani kwake kabisa kama hawara
Kwahiyo madaktari ni wagonjwa, askari ni majambazi?
 
Hii nchi ina mipumnavu michache kama Sang'udi na ndiyo inafanya tudharauliwe.

Hoja za kipumbafu sana hizi, na yeyote anayeziunga mkono ana akili ndogo kama PIRITONI.

Yaani yule DIKTETA ali- misuse raslimali za nchi kwa kwenda kujenga miundombinu mikubwa kuliko mahitaji halisi ya kitongoji cha Chato, isitoshe kila alichofanya hakikuwa na approval ya Bunge,
Kuna watu ni wajinga na hamjijui.
 
Wameshindwa kufanya mambo mema mengi kama Magufuli, wanaishia kumpinga.
Wanajua wananchi walaelewa A to Z mambo mema aliyoyafanya Magu, tena kwa muda mfupi.
Sasa wanaonawasipo jaribu kumpondaponda watu watakuwa wanapima muda na matokeo ya utendaji kama alivyo fanya Magu.

Naamini kabla ya 2025 mudautakuwa umesha toa jibu ngoja kwanza tuanzekulipia mitandao.
 
Yeye mwenyewe alikuwa na PhD fake ndio maana waliohoji mpaka leo haifahamiki wamezikwa wapi.
Wataje kwa majina, sasaivi mmebaki na vimaneno vya kuokoteza okoteza tu na vi ushahidi uchwara nothing else.
Na naamini wewe unalopoka tu humu jf lakini huwezi kuongea huo upuuzi mtaanikwako watakushangaa.

Akiliyenu ndio inaishia hapo kwenye kubunibuni maneno ya kijinga.

Endeleeni kujitoa akili lakini ukweli utabaki milele kwamba Magu alikuwa mtu mwenye maono na mzalendo wakweli, alieonyesha kwamba kazi ya urais sio rahisi.
 
Hawa watumwa wenye ID zao mbilimbili ndio wanatumwa kujaribu kupima upepo na kwabahati hojazao niza kijinga hazina fact yoyote.

Wanateseka sana na kivuli cha magu, nimtu mjingatu ndio anaweza kutumia nguvu kupambana na marehemu kiumbe ambacho hakina uhai yani nisaeasawa kama kupigana na ukuta.

Hawa wajinga ningewaona wana akili kama nguvu wanazo tumia kupambana na kaburi wangezitumia kudai katiba mpya ili hatauo uongowao angalau upate mashiko kwamba hawataki wanachosema kitokee tena kwa kubadilisha katiba iliyopo.
Nguvu mnazotumia kumtetea Jiwe, mngezitumia kupiga punyeto.
 
Naona kuna mchezo unaendelea wa kuwazubaisha watu ili wasahau madai ya msingi ya taifa letu kwa sasa, Katiba Mpya na madudu mengine kwenye sekta ya nishati.

Unapoona mtu hata kama ni mnafiki, kila siku anakuja na malalamiko kuhusu makosa aliyofanya marehemu, lakini akiambiwa aungane na wengine kutafuta solution ili makosa kama hayo yasijirudie, yeye anakimbilia kutaka Tume Huru kwanza, ujue huyo mtu hajielewi, ametumwa, na ni mbinafsi.

Hata kama akija na kisingizio cha haki yake ya kutoa maoni, ajue hayo maoni ya kulalamika kila siku bila kuja na solution ni kelele tu kwa wanaojielewa, namshauri aache utapeli wa kuchezea akili za wajinga, aweke maslahi ya taifa letu mbele bila kujali nani yupo madarakani.
FUTA
 
Wataje kwa majina, sasaivi mmebaki na vimaneno vya kuokoteza okoteza tu na vi ushahidi uchwara nothing else.
Na naamini wewe unalopoka tu humu jf lakini huwezi kuongea huo upuuzi mtaanikwako watakushangaa.

Akiliyenu ndio inaishia hapo kwenye kubunibuni maneno ya kijinga.

Endeleeni kujitoa akili lakini ukweli utabaki milele kwamba Magu alikuwa mtu mwenye maono na mzalendo wakweli, alieonyesha kwamba kazi ya urais sio rahisi.

Haya siyaongei mtaani tu, hata kwenye mikusanyiko tunaongea na inaeleweka. Magu alikuwa mzalendo kwa wajinga.
 
Ukiona mtu anamshambulia JPM ujue ni mpuuzi na ni wa kupuuzwa.
Ukiona mtu anamtukuza dikteta Magu jua ni msukule. Unawezaje kuacha kuona uovu wa Magufuli kama wewe siyo msukule? Kiongozi ambaye hakuficha uovu wake kwa kauli na kwa matendo!
 
Haya siyaongei mtaani tu, hata kwenye mikusanyiko tunaongea na inaeleweka. Magu alikuwa mzalendo kwa wajinga.
Basi wanakuona mjinga ndiomaana wanakusikiliza tu.

Wewe na wenzako wote mnaojitoa akili humu ingieni facebook ama youtube, alafu tafuta mjadala wowote unao muhusu magu hata ule wa zito tu alafu soma comments zote ndio utajua mitaani kunanini.
 
Back
Top Bottom