Mashambulizi ni makali mno nchini Congo kati ya Jeshi la wananchi wa Tanzania eneo la goma

Mashambulizi ni makali mno nchini Congo kati ya Jeshi la wananchi wa Tanzania eneo la goma

Tatizo M23 wanajificha nyuma ya kivuli cha raia kwa vile wanajua mission ya JWTZ ni ya kulinda raia, sio kushambulia raia.

Itolewe amri ya raia wote kutoka hapo Goma kwa muda wa week 2 alafu wabaki wanaume kwa wanaume uone M23 watavyoomba poo kabla ya week kuisha.
Kujificha nyuma ya raia ni mbinu za magaidi. Hata Hamas walitumia wapalestina kama ngao dhidi ya mashambulizi ya Israel
 
Yaliyopatikana baada ya JWTZ kuwachakaza vibaya M23. Ilikuwa hatari eneo la Sake nchini DRC, picha za maiti na vifaa vya M23.

Congo ipo katika vita endelevu dhidi ya maharamia wa M23 ambao wanatishia kuuteka mji wa Goma. Jeshi la Kongo FARDC likishirikiana na Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ kwa anuani ya SADC, walishambulia eneo la vilimani katika mji wa Sake ambapo M23 walikuwa wakijificha kwa kujibu mashambulizView attachment 3222420View attachment 3222422View attachment 3222423View attachment 3222424View attachment 3222425i.
Maiti zao zipo wapi?
 
Yaliyopatikana baada ya JWTZ kuwachakaza vibaya M23. Ilikuwa hatari eneo la Sake nchini DRC, picha za maiti na vifaa vya M23.

Congo ipo katika vita endelevu dhidi ya maharamia wa M23 ambao wanatishia kuuteka mji wa Goma. Jeshi la Kongo FARDC likishirikiana na Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ kwa anuani ya SADC, walishambulia eneo la vilimani katika mji wa Sake ambapo M23 walikuwa wakijificha kwa kujibu mashambulizView attachment 3222420View attachment 3222422View attachment 3222423View attachment 3222424View attachment 3222425i.
Maiti zao ziko wapi
 
Kujificha nyuma ya raia ni mbinu za magaidi. Hata Hamas walitumia wapalestina kama ngao dhidi ya mashambulizi ya Israel
hapo mbona mbinu ni ndogo lazima watafutwe skill retired commandos wapewe mission na ramani yote ya eneo hila ila wavae kiraia waingie ndani ya mji huo kwa lengo la kusambaratisha hao virus huku wakiwa na mawasiliano na wenzao inakuwa rahisi kuwadhibiti...kipindi nipo mdogo ulikuwa hunipandui kwenye movie za kivita.
 
hapo mbona mbinu ni ndogo lazima watafutwe skill retired commandos wapewe mission na ramani yote ya eneo hila ila wavae kiraia waingie ndani ya mji huo kwa lengo la kusambaratisha hao virus huku wakiwa na mawasiliano na wenzao inakuwa rahisi kuwadhibiti...kipindi nipo mdogo ulikuwa hunipandui kwenye movie za kivita.
Kumbe ni kwenye movie mkuu 🤣🤣
 
Pamoja na kazi nzuri sana wanayofanya vijana wetu, niliwahi kupendekeza hapa kuwa....
Kwa kuwa kitengo cha kurusha mabomu ni muhimu sana kwenye VITA
Kwa kukiboresha, wasisahau pia kuchukua wanafunzi waliosoma Physics kidato cha sita (A-Level) kwani hao wakifundishwa vizuri wanaweza kufanya kazi nzuri sana na ya kitaalam ....Topic ya hesabu za projectile nk wanakuwa wameshaisoma vizuri.
Kwa kufanya hivyo vita inaweza kupigwa kwa gharama nafuu na madhara madogo kwani accuracy ya kurusha mabomu itaongezeka sana....
Na ndio sababu unaweza kusikia baadhi ya Nchi zilizoendelea zinajisifia kuwa, zina Jeshi dogo ila mahiri kwa kila idara...
Unahisi masuala ya makombora umeyagundua wewe leo hii na JWTZ hawakuwa wanayajua, na hao waliohitimu Physics hawakuwa wanawaona.

Au unahisi hao M23 ni kama panya road wanajirundika makundimakundi ili uwapige hizo projectiles umalize vita.

Vita ingekuwa rahisi hivyo Marekani asingekaa Vietnam miaka nane, wala Urusi asingeshindwa Afghanistan.
 
Yaliyopatikana baada ya JWTZ kuwachakaza vibaya M23. Ilikuwa hatari eneo la Sake nchini DRC, picha za maiti na vifaa vya M23.

Congo ipo katika vita endelevu dhidi ya maharamia wa M23 ambao wanatishia kuuteka mji wa Goma. Jeshi la Kongo FARDC likishirikiana na Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ kwa anuani ya SADC, walishambulia eneo la vilimani katika mji wa Sake ambapo M23 walikuwa wakijificha kwa kujibu mashambulizView attachment 3222420View attachment 3222422View attachment 3222423View attachment 3222424View attachment 3222425i.
Hizi picha ni za tarehe 9 January, ambapo sio Goma wala hazikukamatwa na JWTZ.
Picha mojawapo hapo ni ya Masisi ambapo FARDC walikamata some elements za M23.

Umepakua picha mitandaoni, ukachomeka neno JWTZ.
 
Tatizo M23 wanajificha nyuma ya kivuli cha raia kwa vile wanajua mission ya JWTZ ni ya kulinda raia, sio kushambulia raia.

Itolewe amri ya raia wote kutoka hapo Goma kwa muda wa week 2 alafu wabaki wanaume kwa wanaume uone M23 watavyoomba poo kabla ya week kuisha.
Wewe ni mtoto kiumri. Tukiwa umri wako ndiyo tulikuwa tunasema ''tupigane lakini hakuna kupiga ngumi ya tumbo''. Unajua maana ya vita? Vita mara nyingi hupiganiwa sehemu zenye raia wa kawaida. Na hili ndilo linalofanya vita iwe, hatari, mbaya na ngumu.
 
Back
Top Bottom