Mashambulizi ni makali mno nchini Congo kati ya Jeshi la wananchi wa Tanzania eneo la goma

Mashambulizi ni makali mno nchini Congo kati ya Jeshi la wananchi wa Tanzania eneo la goma

Umepata wapi hiyo taarifa

20250202_142423-860x860.jpg
Screenshot_20250202-141655.jpg
Screenshot_20250202-141707.jpg
 
Hao M23 sio watu wa sport sport sio wa kuwabeza nakuwaona mdebwedo kama wamekuwa ground Kwa kipindi cha mda mrefu that's means wana experience ya kutosha ya kuzungusha bomba msituni,ni sawa na mtu aliye soma kingereza darasani alafu hafanyi mazoezi ya kukizungumza kingereza siku ukikutana na wanaojua kukizungumza alafu uambiwe mzungumze ndio utajua kwamba kumbe wewe nimweupe, unaweza ita maji mma, minaona mission kama hizi ziwe ni platform za kuwafanya askari wetu kupata uzoefu wa kutosha in real war,najua in military perspective kuna proganda nyingi kila mmoja anataka aonekane kwamba yeye ni noma zaidi ya mwingine lakini kwa haya mambo jinsi yalivyo ili mmoja aweze kushinda kwa jinsi dunia ilivyo inategemea nani yupo nyuma yake ,na anapumzi kiasi gani interm of logistics ,
 
Mashambulizi ni makali mno nchini Congo kati ya Jeshi la wananchi wa Tanzania eneo la goma View attachment 3222386jeshi la wananchi JWTZ limepoteza Askari wawili huku M23 wakishindwa kusonga mbele kutokana na mashambulizi mazito ya JWTZ yakiendelea idadi ya Askar wa M23 waliofaliki katika mashambulizi hayo imewekwa kapuni na msemaji wa jeshi la waasi M23.
Kila taarifa hata zile za kuaminika za Bibi See na Alijazira wanataja tu wakongo wanaokufa na Wa SADC lakini hawataji M23 wangapi wamekufa.
 
Hizi picha zilikuwa mitandaoni Tangu juzi😅😅😅
Yaliyopatikana baada ya JWTZ kuwachakaza vibaya M23. Ilikuwa hatari eneo la Sake nchini DRC, picha za maiti na vifaa vya M23.

Congo ipo katika vita endelevu dhidi ya maharamia wa M23 ambao wanatishia kuuteka mji wa Goma. Jeshi la Kongo FARDC likishirikiana na Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ kwa anuani ya SADC, walishambulia eneo la vilimani katika mji wa Sake ambapo M23 walikuwa wakijificha kwa kujibu mashambulizView attachment 3222420View attachment 3222422View attachment 3222423View attachment 3222424View attachment 3222425i.
 
Hizi picha ni za tarehe 9 January, ambapo sio Goma wala hazikukamatwa na JWTZ.
Picha mojawapo hapo ni ya Masisi ambapo FARDC walikamata some elements za M23.

Umepakua picha mitandaoni, ukachomeka neno JWTZ.
Aaahh 🤣 watu design yako ndio wataokoa hili jukwaa mkuu
 
Mashambulizi ni makali mno nchini Congo kati ya Jeshi la wananchi wa Tanzania eneo la goma View attachment 3222386jeshi la wananchi JWTZ limepoteza Askari wawili huku M23 wakishindwa kusonga mbele kutokana na mashambulizi mazito ya JWTZ yakiendelea idadi ya Askar wa M23 waliofaliki katika mashambulizi hayo imewekwa kapuni na msemaji wa jeshi la waasi M23.
Mwenyezi Mungu Ibariki Tanzania, Afrika na dunia, M23 ni zaidi ya wahuni
 
Wewe ni mtoto kiumri. Tukiwa umri wako ndiyo tulikuwa tunasema ''tupigane lakini hakuna kupiga ngumi ya tumbo''. Unajua maana ya vita? Vita mara nyingi hupiganiwa sehemu zenye raia wa kawaida. Na hili ndilo linalofanya vita iwe, hatari, mbaya na ngumu.
Ndiomaana nikashauri kuwa raia waombwe kuondoka Goma kidogo ili atakaebaki hapo aonekane ni adui na ashambuliwe.

Sio wao wajifiche nyuma ya raia kushambulia halaf tukijibu mapigo UN ije kimbele mbele kudai kuwa JWTZ inaua raia wa Congo.
 
Huwa najiuliza, majeshi ya congo na wasaidizi wake hawana intelijensia ya kujua anayewapa silaha m23 hadi leo?, kwa nini wasifanye special operation ya kuua viongozi wa m23 ili kudhoofisha hilo kundi....au hii vita inanufaisha watu fulani!
 
hapo mbona mbinu ni ndogo lazima watafutwe skill retired commandos wapewe mission na ramani yote ya eneo hila ila wavae kiraia waingie ndani ya mji huo kwa lengo la kusambaratisha hao virus huku wakiwa na mawasiliano na wenzao inakuwa rahisi kuwadhibiti...kipindi nipo mdogo ulikuwa hunipandui kwenye movie za kivita.
Movie za kina komando kipensii zimeharibu wengi sana. Unaongea kama jambo jepesi vile.
 
Huwa najiuliza, majeshi ya congo na wasaidizi wake hawana intelijensia ya kujua anayewapa silaha m23 hadi leo?, kwa nini wasifanye special operation ya kuua viongozi wa m23 ili kudhoofisha hilo kundi....au hii vita inanufaisha watu fulani!
Umeuliza na kujijibu mkuu.
Kuna mtu katoa hoja kuwa "kwa kutazama serial number za vifaa vita tutajua nan anawauzia" napenda kusema kama njia hiyo ni nyepes bhas watengeneza siraha wanajua jins ya kuikwepa.

Hao jama ukifuatilia, wana ufadhili mzito tuu na kwa manufaa ya wakubwa wengi.
 
 
Goma imetulia hakuna mapigano, Jana raia pamoja na wanajeshi wa M23 Walikuwa wakifanya usafi mjini Goma.
Mjinga huyu hapa. Anayeua wakongoman. Kajamaa kanajiona kama Fidel Castro Fulani hivi ama Muammar Ghadafi.
 
Unahisi masuala ya makombora umeyagundua wewe leo hii na JWTZ hawakuwa wanayajua, na hao waliohitimu Physics hawakuwa wanawaona.

Au unahisi hao M23 ni kama panya road wanajirundika makundimakundi ili uwapige hizo projectiles umalize vita.

Vita ingekuwa rahisi hivyo Marekani asingekaa Vietnam miaka nane, wala Urusi asingeshindwa Afghanistan.
Labda mambo ya Afghanistan hayafahamu, huenda mtoto wa juzi tu huyo. Sasa tumgusie hapo Ukraine na Russia.

Wote wana askari walioenda shule vizuri, lakini kila mmoja ana maelfu kama sio malaki ya maaskari waliopoteza.

Vita ni kitu kigumu sana kukipigia hesabu, inahitaji akili iliyotulia na hesabu ya muda mrefu.
 
Mashambulizi ni makali mno nchini Congo kati ya Jeshi la wananchi wa Tanzania eneo la goma View attachment 3222386jeshi la wananchi JWTZ limepoteza Askari wawili huku M23 wakishindwa kusonga mbele kutokana na mashambulizi mazito ya JWTZ yakiendelea idadi ya Askar wa M23 waliofaliki katika mashambulizi hayo imewekwa kapuni na msemaji wa jeshi la waasi M23.
jwtz wanapigana na paulo wa rwanda huku monusco ikisapoti indirect
 
Back
Top Bottom