Ha ha ha jamaa ana maneno ya kihuni.Mjinga huyu hapa. Anayeua wakongoman. Kajamaa kanajiona kama Fidel Castro Fulani hivi ama Muammar Ghadafi.
View attachment 3223383
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha ha jamaa ana maneno ya kihuni.Mjinga huyu hapa. Anayeua wakongoman. Kajamaa kanajiona kama Fidel Castro Fulani hivi ama Muammar Ghadafi.
View attachment 3223383
Jeshi linapenda sana kuabidiwa na kuogopwa, tulirithi mfumo mbaya kutoka ujamaa ktk haya masuala.Hizi picha ni za tarehe 9 January, ambapo sio Goma wala hazikukamatwa na JWTZ.
Picha mojawapo hapo ni ya Masisi ambapo FARDC walikamata some elements za M23.
Umepakua picha mitandaoni, ukachomeka neno JWTZ.
Huu ndio muda mzuri kwenda kununua silaha congo kwa matumizi binafsi.Yaliyopatikana baada ya JWTZ kuwachakaza vibaya M23. Ilikuwa hatari eneo la Sake nchini DRC, picha za maiti na vifaa vya M23.
Congo ipo katika vita endelevu dhidi ya maharamia wa M23 ambao wanatishia kuuteka mji wa Goma. Jeshi la Kongo FARDC likishirikiana na Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ kwa anuani ya SADC, walishambulia eneo la vilimani katika mji wa Sake ambapo M23 walikuwa wakijificha kwa kujibu mashambulizView attachment 3222420View attachment 3222422View attachment 3222423View attachment 3222424View attachment 3222425i.
Ni waasi/magaidiKwahiyo kumbe M23 nao ni magaidi?
Mjinga huyu hapa. Anayeua wakongoman. Kajamaa kanajiona kama Fidel Castro Fulani hivi ama Muammar Ghadafi.
View attachment 3223383
Wafanye kama Israel ilivyofanya gaza watoe muda atakaebakia Hapo atahesabika ni m23 apelekewe moto.Tatizo M23 wanajificha nyuma ya kivuli cha raia kwa vile wanajua mission ya JWTZ ni ya kulinda raia, sio kushambulia raia.
Itolewe amri ya raia wote kutoka hapo Goma kwa muda wa week 2 alafu wabaki wanaume kwa wanaume uone M23 watavyoomba poo kabla ya week kuisha.
Usijione uko salama kwa uharo wako huu. Pole,tumekufikiasisi kama watutsi tuko vizuriiii....kipigo tunacho wapaa jeshi la wazee tz sio cha Karne hiii, ni kwikwi
Ana kiburi cha Last born.Ha ha ha jamaa ana maneno ya kihuni.
Foolish kibiongo. Indonesian malabuku. Kajinga sana.hahaha, Kajamaa katata sana.
eti, I know leader when I see them, and I know idiot, if you a leader and an idiot it's a disaster.
Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiii..........Kwa wale wanaotaka video juu ya kinachoendelea Congo ,, mzigo huo hapo chini lakin baadhi ya video zinatisha mnoo kuangalia
Hizi zinasemekeana ni leo asubuhi (tare 3)
Vita ni ishu nyingine aiseee.Kwa wale wanaotaka video juu ya kinachoendelea Congo ,, mzigo huo hapo chini lakin baadhi ya video zinatisha mnoo kuangalia
Hizi zinasemekeana ni leo asubuhi (tare 3)
Dah' aisee...Kwa wale wanaotaka video juu ya kinachoendelea Congo ,, mzigo huo hapo chini lakin baadhi ya video zinatisha mnoo kuangalia
Hizi zinasemekeana ni leo asubuhi (tare 3)