Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Kujificha nyuma ya raia ni mbinu za magaidi. Hata Hamas walitumia wapalestina kama ngao dhidi ya mashambulizi ya IsraelTatizo M23 wanajificha nyuma ya kivuli cha raia kwa vile wanajua mission ya JWTZ ni ya kulinda raia, sio kushambulia raia.
Itolewe amri ya raia wote kutoka hapo Goma kwa muda wa week 2 alafu wabaki wanaume kwa wanaume uone M23 watavyoomba poo kabla ya week kuisha.
Maiti zao zipo wapi?Yaliyopatikana baada ya JWTZ kuwachakaza vibaya M23. Ilikuwa hatari eneo la Sake nchini DRC, picha za maiti na vifaa vya M23.
Congo ipo katika vita endelevu dhidi ya maharamia wa M23 ambao wanatishia kuuteka mji wa Goma. Jeshi la Kongo FARDC likishirikiana na Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ kwa anuani ya SADC, walishambulia eneo la vilimani katika mji wa Sake ambapo M23 walikuwa wakijificha kwa kujibu mashambulizView attachment 3222420View attachment 3222422View attachment 3222423View attachment 3222424View attachment 3222425i.
Huyo ndio anayeshambuliaWanashambulianaje hapo wakati mimi naona wamesimama tu hapo huku mmoja akionekana kama anapita kuwapa mikono wenzake?
JWTZ wame post hii habari kwenye page Yao ya Facebook.... Pia nimeona.Umepata wapi hiyo taarifa
Maiti zao ziko wapiYaliyopatikana baada ya JWTZ kuwachakaza vibaya M23. Ilikuwa hatari eneo la Sake nchini DRC, picha za maiti na vifaa vya M23.
Congo ipo katika vita endelevu dhidi ya maharamia wa M23 ambao wanatishia kuuteka mji wa Goma. Jeshi la Kongo FARDC likishirikiana na Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ kwa anuani ya SADC, walishambulia eneo la vilimani katika mji wa Sake ambapo M23 walikuwa wakijificha kwa kujibu mashambulizView attachment 3222420View attachment 3222422View attachment 3222423View attachment 3222424View attachment 3222425i.
hapo mbona mbinu ni ndogo lazima watafutwe skill retired commandos wapewe mission na ramani yote ya eneo hila ila wavae kiraia waingie ndani ya mji huo kwa lengo la kusambaratisha hao virus huku wakiwa na mawasiliano na wenzao inakuwa rahisi kuwadhibiti...kipindi nipo mdogo ulikuwa hunipandui kwenye movie za kivita.Kujificha nyuma ya raia ni mbinu za magaidi. Hata Hamas walitumia wapalestina kama ngao dhidi ya mashambulizi ya Israel
Kumbe ni kwenye movie mkuu 🤣🤣hapo mbona mbinu ni ndogo lazima watafutwe skill retired commandos wapewe mission na ramani yote ya eneo hila ila wavae kiraia waingie ndani ya mji huo kwa lengo la kusambaratisha hao virus huku wakiwa na mawasiliano na wenzao inakuwa rahisi kuwadhibiti...kipindi nipo mdogo ulikuwa hunipandui kwenye movie za kivita.
Unahisi masuala ya makombora umeyagundua wewe leo hii na JWTZ hawakuwa wanayajua, na hao waliohitimu Physics hawakuwa wanawaona.Pamoja na kazi nzuri sana wanayofanya vijana wetu, niliwahi kupendekeza hapa kuwa....
Kwa kuwa kitengo cha kurusha mabomu ni muhimu sana kwenye VITA
Kwa kukiboresha, wasisahau pia kuchukua wanafunzi waliosoma Physics kidato cha sita (A-Level) kwani hao wakifundishwa vizuri wanaweza kufanya kazi nzuri sana na ya kitaalam ....Topic ya hesabu za projectile nk wanakuwa wameshaisoma vizuri.
Kwa kufanya hivyo vita inaweza kupigwa kwa gharama nafuu na madhara madogo kwani accuracy ya kurusha mabomu itaongezeka sana....
Na ndio sababu unaweza kusikia baadhi ya Nchi zilizoendelea zinajisifia kuwa, zina Jeshi dogo ila mahiri kwa kila idara...
Anadhania war ni video gameKumbe ni kwenye movie mkuu 🤣🤣
Hizi picha ni za tarehe 9 January, ambapo sio Goma wala hazikukamatwa na JWTZ.Yaliyopatikana baada ya JWTZ kuwachakaza vibaya M23. Ilikuwa hatari eneo la Sake nchini DRC, picha za maiti na vifaa vya M23.
Congo ipo katika vita endelevu dhidi ya maharamia wa M23 ambao wanatishia kuuteka mji wa Goma. Jeshi la Kongo FARDC likishirikiana na Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ kwa anuani ya SADC, walishambulia eneo la vilimani katika mji wa Sake ambapo M23 walikuwa wakijificha kwa kujibu mashambulizView attachment 3222420View attachment 3222422View attachment 3222423View attachment 3222424View attachment 3222425i.
Usafi wa nyumba au mazingira??Goma imetulia hakuna mapigano, Jana raia pamoja na wanajeshi wa M23 Walikuwa wakifanya usafi mjini Goma.
Kumbe ni kwenye movie mkuu
Kumbe ni kwenye movie mkuu
Wewe ni mtoto kiumri. Tukiwa umri wako ndiyo tulikuwa tunasema ''tupigane lakini hakuna kupiga ngumi ya tumbo''. Unajua maana ya vita? Vita mara nyingi hupiganiwa sehemu zenye raia wa kawaida. Na hili ndilo linalofanya vita iwe, hatari, mbaya na ngumu.Tatizo M23 wanajificha nyuma ya kivuli cha raia kwa vile wanajua mission ya JWTZ ni ya kulinda raia, sio kushambulia raia.
Itolewe amri ya raia wote kutoka hapo Goma kwa muda wa week 2 alafu wabaki wanaume kwa wanaume uone M23 watavyoomba poo kabla ya week kuisha.