Jeshi la Israel 🇮🇱 lilituma zaidi ya ndege 100 kwenye anga la Iran 🇮🇷 na kushambulia kambi za jeshi zaidi ya 20 ,huku Iran ikijitahidi kutumia mifumo yake ya ulinzi wa anga kupunguza madhara, vinaropoti vyanzo mbali mbali.
Mpaka sasa Iran haijathibitisha kutokea kwa madhara, huku IDF ikichapisha taarifa ya kutekeleza mashambulizi hayo kwenye mtandao wa X.
Kufikia muda huu Iran bado imefunga anga lake, huku ikiendelea kutathmini uharibifu wa mashambulizi hayo.
Je Iran itajibu tena mashambulizi haya?
View: https://x.com/VividProwess/status/1850011818632085892?t=sWLsG56xGO5FGcKEEV0W3w&s=19
View: https://x.com/AJEnglish/status/1850043448834785718?t=BW7v-6sh9IGBhAmkGp4Rvw&s=19
View: https://x.com/IDF/status/1849957541301666038?t=X-jTvEQDZCtDBFgEU-Pieg&s=19
Mpaka sasa Iran haijathibitisha kutokea kwa madhara, huku IDF ikichapisha taarifa ya kutekeleza mashambulizi hayo kwenye mtandao wa X.
Kufikia muda huu Iran bado imefunga anga lake, huku ikiendelea kutathmini uharibifu wa mashambulizi hayo.
Je Iran itajibu tena mashambulizi haya?
View: https://x.com/VividProwess/status/1850011818632085892?t=sWLsG56xGO5FGcKEEV0W3w&s=19
View: https://x.com/AJEnglish/status/1850043448834785718?t=BW7v-6sh9IGBhAmkGp4Rvw&s=19
View: https://x.com/IDF/status/1849957541301666038?t=X-jTvEQDZCtDBFgEU-Pieg&s=19