Mashariki ya kati: IDF ilituma zaidi ya ndege za kivita 100 Tehran kushambulia kambi za kijeshi zaidi ya 20

Mashariki ya kati: IDF ilituma zaidi ya ndege za kivita 100 Tehran kushambulia kambi za kijeshi zaidi ya 20

Vita ya tatu ya Dunia imeanza rasmi. Kuna nchi imeruhusu Israel kuitumia anga lake, najua Kuna jambo litatokea. Naamini Israel itajibiwa kama sio Leo usiku basi kesho kama wairan waliposema itajibu instantly with heavy fire power.

Hivyo washirika wengine wataingilia kati na hii itakuwa na kitu inaitwa snowball effect, hapo ndio vita inakolea.


Iran haina lolote, inachapwa kama Iraq au Libya tu, hizo ni hisia zako potofu sbb hujui nguvu za kijeshi za USA, yaani Israel ni USA
 
Jeshi la Israel 🇮🇱 lilituma zaidi ya ndege 100 kwenye anga la Iran 🇮🇷 na kushambulia kambi za jeshi zaidi ya 20 ,huku Iran ikijitahidi kutumia mifumo yake ya ulinzi wa anga kupunguza madhara, vinaropoti vyanzo mbali mbali.

Mpaka sasa Iran haijathibitisha kutokea kwa madhara, huku IDF ikichapisha taarifa ya kutekeleza mashambulizi hayo kwenye mtandao wa X.

Kufikia muda huu Iran bado imefunga anga lake, huku ikiendelea kutathmini uharibifu wa mashambulizi hayo.

Je Iran itajibu tena mashambulizi haya?


View: https://x.com/VividProwess/status/1850011818632085892?t=sWLsG56xGO5FGcKEEV0W3w&s=19


View: https://x.com/AJEnglish/status/1850043448834785718?t=BW7v-6sh9IGBhAmkGp4Rvw&s=19


View: https://x.com/IDF/status/1849957541301666038?t=X-jTvEQDZCtDBFgEU-Pieg&s=19

Mikwara yote hakuns chochote cha maana alichofanya, alikuwa anasubiri thaad ifungwe ila uzuri iran anachezaga na mifumo ya israel anavyotaka
 

View: https://youtu.be/ER24cxwIVQw

Kuanzia mwakan Iran kweli atakuwa miongonu mwa wauzaji wakubwa wa silaha kama walivyosema japo ilikuwa kama kichekesho
Ndege nyingi zilihamishwa kutoka ulaya kwaajili ya shambulio hilo,

Sky News Arabia:
"Russia provided Iran with intelligence information about the military operations of Israel and the United States, hours before the start of the Israeli attack.
Maybe that’s the reason the explosion in Iran were not much as Iran already moved there military equipment.

Moscow shared the intelligence with Iran as part of their cooperation and to reduce the escalation in the region."
 
Jeshi la Israel 🇮🇱 lilituma zaidi ya ndege 100 kwenye anga la Iran 🇮🇷 na kushambulia kambi za jeshi zaidi ya 20 ,huku Iran ikijitahidi kutumia mifumo yake ya ulinzi wa anga kupunguza madhara, vinaropoti vyanzo mbali mbali.

Mpaka sasa Iran haijathibitisha kutokea kwa madhara, huku IDF ikichapisha taarifa ya kutekeleza mashambulizi hayo kwenye mtandao wa X.

Kufikia muda huu Iran bado imefunga anga lake, huku ikiendelea kutathmini uharibifu wa mashambulizi hayo.

Je Iran itajibu tena mashambulizi haya?


View: https://x.com/VividProwess/status/1850011818632085892?t=sWLsG56xGO5FGcKEEV0W3w&s=19


View: https://x.com/AJEnglish/status/1850043448834785718?t=BW7v-6sh9IGBhAmkGp4Rvw&s=19


View: https://x.com/IDF/status/1849957541301666038?t=X-jTvEQDZCtDBFgEU-Pieg&s=19

Israel imeiruhusu Iran kuruhusu mashirika ya ndege yanayofanya kazi nchini humu na yale yanayoingia na kutoka yaendelee na kazi zake
 
Vita ya tatu ya Dunia imeanza rasmi. Kuna nchi imeruhusu Israel kuitumia anga lake, najua Kuna jambo litatokea. Naamini Israel itajibiwa kama sio Leo usiku basi kesho kama wairan waliposema itajibu instantly with heavy fire power.

Hivyo washirika wengine wataingilia kati na hii itakuwa na kitu inaitwa snowball effect, hapo ndio vita inakolea.
Wabongo bana😁, vipi lakini bado unakaa huko Jang'ombe kwa Msaka Tonge.
 
⚡ "We shot down all hostile air targets and there was no significant security damage to our installations" - Iranian security source
⚡Iran’s Civil Aviation Organization said flights resumed at 9 a.m. on Saturday, after they were suspended because of the Israeli strikes, according to IRNA, Iran's state news agency.
 
Israel itashambulia tena Tehran kabla serikali ya Iran haijajibu mapigo...
 
Jeshi la Israel 🇮🇱 lilituma zaidi ya ndege 100 kwenye anga la Iran 🇮🇷 na kushambulia kambi za jeshi zaidi ya 20 ,huku Iran ikijitahidi kutumia mifumo yake ya ulinzi wa anga kupunguza madhara, vinaropoti vyanzo mbali mbali.

Mpaka sasa Iran haijathibitisha kutokea kwa madhara, huku IDF ikichapisha taarifa ya kutekeleza mashambulizi hayo kwenye mtandao wa X.

Kufikia muda huu Iran bado imefunga anga lake, huku ikiendelea kutathmini uharibifu wa mashambulizi hayo.

Je Iran itajibu tena mashambulizi haya?


View: https://x.com/VividProwess/status/1850011818632085892?t=sWLsG56xGO5FGcKEEV0W3w&s=19


View: https://x.com/AJEnglish/status/1850043448834785718?t=BW7v-6sh9IGBhAmkGp4Rvw&s=19


View: https://x.com/IDF/status/1849957541301666038?t=X-jTvEQDZCtDBFgEU-Pieg&s=19

Hatari hii, ADs za Iran ni dhaifu kuzuia shambulio lolote la Israel dhidi yake.

T14 Armata
 
Muwe mnaelewa na kama hamuelewi muwe mnakaa kimya. Israel amesema "amelenga na kushambulia military targets" wewe eti Tehran yote si ingekuwa majivu? Kwani Tehran yote ni military target? KUMBAVU!!!

Kasema!


Sisi tunataka video tuone, kama tulivyoona vimondo vya Iran vikishuka Tel Aviv, Hatutaki blah blah
 
Back
Top Bottom