Mashariki ya kati: IDF ilituma zaidi ya ndege za kivita 100 Tehran kushambulia kambi za kijeshi zaidi ya 20

Mashariki ya kati: IDF ilituma zaidi ya ndege za kivita 100 Tehran kushambulia kambi za kijeshi zaidi ya 20

Jeshi la Israel 🇮🇱 lilituma zaidi ya ndege 100 kwenye anga la Iran 🇮🇷 na kushambulia kambi za jeshi zaidi ya 20 ,huku Iran ikijitahidi kutumia mifumo yake ya ulinzi wa anga kupunguza madhara, vinaropoti vyanzo mbali mbali.

Mpaka sasa Iran haijathibitisha kutokea kwa madhara, huku IDF ikichapisha taarifa ya kutekeleza mashambulizi hayo kwenye mtandao wa X.

Kufikia muda huu Iran bado imefunga anga lake, huku ikiendelea kutathmini uharibifu wa mashambulizi hayo.

Je Iran itajibu tena mashambulizi haya?


View: https://x.com/VividProwess/status/1850011818632085892?t=sWLsG56xGO5FGcKEEV0W3w&s=19


View: https://x.com/AJEnglish/status/1850043448834785718?t=BW7v-6sh9IGBhAmkGp4Rvw&s=19


View: https://x.com/IDF/status/1849957541301666038?t=X-jTvEQDZCtDBFgEU-Pieg&s=19

Jamn leo hii Israel ni ya kukosa picha za mazara kama kawaida yao
Ndege 100 ni nyingi mnoo kama hakuna mazara yaliyotokea ni aibu kubwa xnaa kwa IDF
 
Mossad wapo kila kona iran
Kama kungekuwa na madhara video zingeonekana
Ni kama shambulizi lililopita lilijaa propaganda

Aibu kwa irani ni kwamba ndege ziliingia kwenye angalao na hawajazishusha.
Na kwa israel ndege zimeingia iran lakini mabomu hayajafanya madhara
 
Hizo hit ziko wapi?

Za Iran tuliziona

Sasa huyu Zayuni aache maneno matupu, alete video hapa
Azitoe wapi video mkuu?

Mazayuni bado wanaendeleza uongo na propaganda kwasababu wanajua aina ya wafuasi wao ni makondoo rahisi kudanganywa yakaamini.

Iran ilipoishushia kipigo Israel tuliona live vyuma vikishuka ndani ya Israel na milipuko yakutosha hadi madhara ya moja kwa moja.

Sasa Zayuni hana hata kavideo kamoja ka kusindikizia uongo wake.😂😂
 
Vita ya tatu ya Dunia imeanza rasmi. Kuna nchi imeruhusu Israel kuitumia anga lake, najua Kuna jambo litatokea. Naamini Israel itajibiwa kama sio Leo usiku basi kesho kama wairan waliposema itajibu instantly with heavy fire power.

Hivyo washirika wengine wataingilia kati na hii itakuwa na kitu inaitwa snowball effect, hapo ndio vita inakolea.
Wamepita anga gani mkuu
 
Israel ni waaminifu, waliahidi na wametekeleza. Ngoja niagize popcorn nisubiri majibu ya Ayatollah, weekend imeanza kwa uchangamfu.
 
Vita ya tatu ya Dunia imeanza rasmi. Kuna nchi imeruhusu Israel kuitumia anga lake, najua Kuna jambo litatokea. Naamini Israel itajibiwa kama sio Leo usiku basi kesho kama wairan waliposema itajibu instantly with heavy fire power.

Hivyo washirika wengine wataingilia kati na hii itakuwa na kitu inaitwa snowball effect, hapo ndio vita inakolea.
Yaani warushe ndege mia zote zipite nanjilinji peke yake sio kweli.........hapo lazima zipite kokote........na hii Iran ijifunze imepewa jibu la ndege 100 kwa mara moja...........sasa kama wakizingua zaidi ujue zitaruka kama 1000
 
Hawana lolote hao heaven of Gay😁
Israel katutia aibu sana sisi wafuasi wa kiboko ya wachawi maana hadi kufikia sasa hakuna hata kavideo kuonesha madhara ya vimondo vyao.

Nilichoshuhudia ni kwamba Air defense za Iran zilikuwa zinameza vimondo vya Mazayuni kama komodo anavyomeza mnyama yeyote kirahisi.

Halafu wanaume wa IRGC wakatoa video ya dhihaka wakiwa wanatafuta wapi lilipo shambulizi la Israel maana hakuna shambulizi lolote linaloonekana Iran. 😅😅
 
Back
Top Bottom