Mashariki ya kati: IDF ilituma zaidi ya ndege za kivita 100 Tehran kushambulia kambi za kijeshi zaidi ya 20



Iran haina lolote, inachapwa kama Iraq au Libya tu, hizo ni hisia zako potofu sbb hujui nguvu za kijeshi za USA, yaani Israel ni USA
 
Mikwara yote hakuns chochote cha maana alichofanya, alikuwa anasubiri thaad ifungwe ila uzuri iran anachezaga na mifumo ya israel anavyotaka
 

View: https://youtu.be/ER24cxwIVQw
Kuanzia mwakan Iran kweli atakuwa miongonu mwa wauzaji wakubwa wa silaha kama walivyosema japo ilikuwa kama kichekesho
Ndege nyingi zilihamishwa kutoka ulaya kwaajili ya shambulio hilo,

Sky News Arabia:
"Russia provided Iran with intelligence information about the military operations of Israel and the United States, hours before the start of the Israeli attack.
Maybe that’s the reason the explosion in Iran were not much as Iran already moved there military equipment.

Moscow shared the intelligence with Iran as part of their cooperation and to reduce the escalation in the region."
 
Israel imeiruhusu Iran kuruhusu mashirika ya ndege yanayofanya kazi nchini humu na yale yanayoingia na kutoka yaendelee na kazi zake
 
Wabongo bana😁, vipi lakini bado unakaa huko Jang'ombe kwa Msaka Tonge.
 
⚡ "We shot down all hostile air targets and there was no significant security damage to our installations" - Iranian security source
⚡Iran’s Civil Aviation Organization said flights resumed at 9 a.m. on Saturday, after they were suspended because of the Israeli strikes, according to IRNA, Iran's state news agency.
 
Israel itashambulia tena Tehran kabla serikali ya Iran haijajibu mapigo...
 
Hatari hii, ADs za Iran ni dhaifu kuzuia shambulio lolote la Israel dhidi yake.

T14 Armata
 
Muwe mnaelewa na kama hamuelewi muwe mnakaa kimya. Israel amesema "amelenga na kushambulia military targets" wewe eti Tehran yote si ingekuwa majivu? Kwani Tehran yote ni military target? KUMBAVU!!!

Kasema!


Sisi tunataka video tuone, kama tulivyoona vimondo vya Iran vikishuka Tel Aviv, Hatutaki blah blah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…