wakukurupuka1
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 525
- 1,203
How?U know nothing kuhusu kanisa mkuu kaa kimya. Unaweza kukuta nusu ya masheikh ni wakatoliki we hujui tu
Hii Dunia bro ina Siri nyingi sana.wakat mwingine Kile unachojua kama ni ukweli unaweza kuwa sio ukweli bali ndio mwisho wako wa kufikir. Ule ukweli halisi haujaufikia.How?
Ndo mna wakristo hamuishi kutapeliwa kila uchao yni PHD anaenda kukalishwa na masanja na kumwaga helaChama cha CUF ndio kilikuwa Chama cha misikitini, tatizo masheikh wengi hawana elimu wamesoma Quran tu.
Baraza la maaskofu linaundwa na PhD na degree holders tu, lile ni zaidi ya baraza la mawaziri.
Kwa hiyo masheikh wanapokutana wanasali na kuondoka bila kupinga uhalifu? Kama mkataba ni mbaya wanyamaze na kuuita siasa... Hilo kwa kweli ni hapana. Mbona kwenye hafla za dini wanasiasa wanakuja officially? Sio kwamba wanachanganya dini na siasa?Waislamu huwa wanakutana mara tano kwa siku katika swala na mara moja kwa wiki siku ya Ijumaa.Kiuhakika waislamu wanakutana kwa wingi katika wiki kuliko wakristo.
Masheikh nao wakiamua kuachana na hofu inayowakataza kutochanganya dini na siasa na kuanza kutoa matamko misikitini sijui kama wengine wataweza kivumbi hicho.
Kwa ujumla tamko la TEC kusoma waraka makanisani na kutekeleza leo ni kama kwamba wamejinyea na kujiingiza kichwa kichwa kwenye jambo litakalowaporomoa kutoka pale walipo.Ama wamkane padre wao au wakubali wamechokoza pasipohitajika.
Uamuzi wa NATO kuingia vitani Ukraine na ECOWAS kupeleka jeshi Niger ni sawa na kanisa katoliki kusoma waraka wa bandari makanisani mwao.
Sasaa hivi udini ni wazi wazi, huwaoni maaskofu?Mbona reli na bwawa anajenga Muislamu Tena wamepewa zama za JPM msijifichie kwenye udini kuliko maslai na usalama wa taifa
Maaskofu wanaangalia madhara ya mkataba nyie mnaangalia tende na nyama za siku ya kuchinjaSasaa hivi udini ni wazi wazi, huwaoni maaskofu?
Siasa zenu nyinyi ni za kuua watu wasio na hatia kwa kuwachinja na majambia, na pia kwa kujitoa mhanga.Waislamu huwa wanakutana mara tano kwa siku katika swala na mara moja kwa wiki siku ya Ijumaa.Kiuhakika waislamu wanakutana kwa wingi katika wiki kuliko wakristo.
Masheikh nao wakiamua kuachana na hofu inayowakataza kutochanganya dini na siasa na kuanza kutoa matamko misikitini sijui kama wengine wataweza kivumbi hicho.
Kwa ujumla tamko la TEC kusoma waraka makanisani na kutekeleza leo ni kama kwamba wamejinyea na kujiingiza kichwa kichwa kwenye jambo litakalowaporomoa kutoka pale walipo.Ama wamkane padre wao au wakubali wamechokoza pasipohitajika.
Uamuzi wa NATO kuingia vitani Ukraine na ECOWAS kupeleka jeshi Niger ni sawa na kanisa katoliki kusoma waraka wa bandari makanisani mwao.
Wewe kama wewe upo kwenye kundi gani kati ya haya mawili uliyoyataja hapa? Uko kwenye uongozi wa nchi, ni tajiri mkubwa, au ndiyo walewale wanaojivunia mafanikio ya Bakhresa! Kisa tu ni Muislam?Lakin ndio hao hao wanawaongoza katika na hao hao ndio matajir wakubwa
Kama kuna jambo lina wagusa waislam na serikali imekaa kimyaa nadhani ni rukusa kulisema mpaka serikali iwasikie, kibaya ni kusema madhehebu mengine, walaka wa TEC haujagusa waislam bali umegusa serikali na mkataba wake.Sijui umenielewa? Pengine mkataba ni ngumu kuuelewa.Hivi unafurahi kuuzwa eeeh?Waislamu huwa wanakutana mara tano kwa siku katika swala na mara moja kwa wiki siku ya Ijumaa.Kiuhakika waislamu wanakutana kwa wingi katika wiki kuliko wakristo.
Masheikh nao wakiamua kuachana na hofu inayowakataza kutochanganya dini na siasa na kuanza kutoa matamko misikitini sijui kama wengine wataweza kivumbi hicho.
Kwa ujumla tamko la TEC kusoma waraka makanisani na kutekeleza leo ni kama kwamba wamejinyea na kujiingiza kichwa kichwa kwenye jambo litakalowaporomoa kutoka pale walipo.Ama wamkane padre wao au wakubali wamechokoza pasipohitajika.
Uamuzi wa NATO kuingia vitani Ukraine na ECOWAS kupeleka jeshi Niger ni sawa na kanisa katoliki kusoma waraka wa bandari makanisani mwao.
Haohao waliopokea tende na harua ndio uleta hoja za hovyo hovyo ili kuhalarisha uhovu wao.Bro issue siyo tamko pekee, je wanahoja ya maana ya kutolea tamko?? Kwani tec wametoa tamko la kupinga uislamu? Kama masheikh wanaungana na tec kutoa tamko la kupinga mkataba wa DP itakuwa saf Sana. Hizi hoja za kuchonganisha dini ni ujinga wa juu mno. Sisi ni Watanzania,anayeuza nchi ndiyo adui wetu na si hoja za maaskofu na masheikh wala ukristo na uislamu.
ni sawa na one man show alivyotule huu mkataba.......
Uamuzi wa NATO kuingia vitani Ukraine na ECOWAS kupeleka jeshi Niger ni sawa na kanisa katoliki kusoma waraka wa bandari makanisani mwao.
Kama watatoa waraka wa kupinga utumwa wa Tanganyika kwa waarabu sioni tatizoWaislamu huwa wanakutana mara tano kwa siku katika swala na mara moja kwa wiki siku ya Ijumaa.Kiuhakika waislamu wanakutana kwa wingi katika wiki kuliko wakristo.
Masheikh nao wakiamua kuachana na hofu inayowakataza kutochanganya dini na siasa na kuanza kutoa matamko misikitini sijui kama wengine wataweza kivumbi hicho.
Kwa ujumla tamko la TEC kusoma waraka makanisani na kutekeleza leo ni kama kwamba wamejinyea na kujiingiza kichwa kichwa kwenye jambo litakalowaporomoa kutoka pale walipo.Ama wamkane padre wao au wakubali wamechokoza pasipohitajika.
Uamuzi wa NATO kuingia vitani Ukraine na ECOWAS kupeleka jeshi Niger ni sawa na kanisa katoliki kusoma waraka wa bandari makanisani mwao.