Majini huwa yana-vibrate at a very low frequency.Kabsa Mkuu! Sisi tunaomba ulinzi wa Mwenyezi Mungu! Shughuli ya Malaika Mikaeli wataisoma namba
Ila JF kuna wana akili ajabu😂🙌🏽Mashekhe waliokutana chini ya Shekhe Mkuu Mufti Abbakari, kwenye msikiti wa kwa Mtoro, jijini Dar es Salaam wamefanya ibada maalum ya kumwombea Rais Samia ashinde kwenye uchaguzi mkuu ujao.
Shekhe mkuu akiwa kwenye ibada hiyo ameagiza kuwa mashekhe wa mikoa yote, wilaya hadi kwenye kata, wafanye ibada ya kumwombea Samia ashinde kwenye uchaguzi ujao.
Shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam amesema kuwa anayaagiza majini yote yahakikishe Rais Samia anashinda kwenye uchaguzi wa urais mwaka huu.
SWALI:
Tukiyaamini maneno ya mashekhe hawa, ina maana uchaguzi wa safari hii utakuwa ni ushindani kati ya wanadamu na majini? Kama majini yakishinda, huyu Rais atakuwa wa wanadamu wa Tanzania au atakuwa Rais wa majini?
Wananchi wanapomchagua kiongozi wao, matarajio yao ni kuwa huyo wanayemchagua atawaongoza katika jitihada zao za kuyafikia maendeleo, sasa kama majini yatamchagua mgombea kuwa Rais, hayo majini yanatarajia kunufaika vipi na huyo yaliyempigania?
Wataalam wa majini tunaomba litoleeni ufafanuzi hili la mashekhe kuomba majini yamsaidie Rais Samia, inamaanisha nini katika tafsiri pana?
Mshana Jr ninakuunga mkono!.Shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam amesema kuwa anayaagiza majini yote yahakikishe Rais Samia anashinda kwenye uchaguzi wa urais mwaka huu.
Kwa ufahamu wangu najini ni viumbe visivyopokea amri za kibinafamu.. In short wamemtapeli
Shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam amesema kuwa anayaagiza majini yote yahakikishe Rais Samia anashinda kwenye uchaguzi wa urais mwaka huu.
Kwa ufahamu wangu najini ni viumbe visivyopokea amri za kibinafamu.. In short wamemtapeli
Shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam amesema kuwa anayaagiza majini yote yahakikishe Rais Samia anashinda kwenye uchaguzi wa urais mwaka huu.
Kwa ufahamu wangu najini ni viumbe visivyopokea amri za kibinafamu.. In short wamemtapeli
Nina sababu! Wengi hupenda kumtumia The Great Solomon King kuwa alitumia hivi vituKwenye maandiko matakatifu hakuna hicho kipengele mkuu
Kama tu Baba yao alinyoosha mikono hawa watoto je!? Frequency ya Malaika Mikaeli ni moto mwingineMajini huwa yana-vibrate at a very low frequency.
Frequency ya malaika mkuu Mikaeli iki-vibrate itawatembezea kichapo majini yote ya Tanganyika na Zanzibar mpaka majini mengine yatakimbia kwenda oman kuwasimulia waarabu kichapo walichopata wenzao.
Alituita ShitholeKwa hiyo mwaka huu wale WAGANGA 400 wa kule Lake Zone wamewekwa bench na ni zamu ya majini?
Trump aishi miaka mingi.
Kitu unacho takiwa kujiuliza ni kwa namna gani kitu kisicho onekana wala kusikika kinaweza kutumiwa kuna nguvu gani.. basi ujue yale maneno sio ya kawaida na sio ya binadamu wa kawaida..Mmewaona ndugu wa Damu wa majini. Uislamu bila majini haiwezekani
Hakuna mashehe hapo. Hao ni matapeli tu kwa mgongo wa dini. Ni wa kupuuzwa.Mashekhe waliokutana chini ya Shekhe Mkuu Mufti Abbakari, kwenye msikiti wa kwa Mtoro, jijini Dar es Salaam wamefanya ibada maalum ya kumwombea Rais Samia ashinde kwenye uchaguzi mkuu ujao.
Shekhe mkuu akiwa kwenye ibada hiyo ameagiza kuwa mashekhe wa mikoa yote, wilaya hadi kwenye kata, wafanye ibada ya kumwombea Samia ashinde kwenye uchaguzi ujao.
Shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam amesema kuwa anayaagiza majini yote yahakikishe Rais Samia anashinda kwenye uchaguzi wa urais mwaka huu.
SWALI:
Tukiyaamini maneno ya mashekhe hawa, ina maana uchaguzi wa safari hii utakuwa ni ushindani kati ya wanadamu na majini? Kama majini yakishinda, huyu Rais atakuwa wa wanadamu wa Tanzania au atakuwa Rais wa majini?
Wananchi wanapomchagua kiongozi wao, matarajio yao ni kuwa huyo wanayemchagua atawaongoza katika jitihada zao za kuyafikia maendeleo, sasa kama majini yatamchagua mgombea kuwa Rais, hayo majini yanatarajia kunufaika vipi na huyo yaliyempigania?
Wataalam wa majini tunaomba litoleeni ufafanuzi hili la mashekhe kuomba majini yamsaidie Rais Samia, inamaanisha nini katika tafsiri pana?
Ndugu yangu ni kwamba sisi waislamu tuko katika makundi na madhehebu tafauti tafauti.Nategemea waislamu mtaandamana Hawa masheikh kuhusisha uislamu na shirki
Hali ni tete sana...Mashekhe waliokutana chini ya Shekhe Mkuu Mufti Abbakari, kwenye msikiti wa kwa Mtoro, jijini Dar es Salaam wamefanya ibada maalum ya kumwombea Rais Samia ashinde kwenye uchaguzi mkuu ujao.
Shekhe mkuu akiwa kwenye ibada hiyo ameagiza kuwa mashekhe wa mikoa yote, wilaya hadi kwenye kata, wafanye ibada ya kumwombea Samia ashinde kwenye uchaguzi ujao.
Shekhe mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam amesema kuwa anayaagiza majini yote yahakikishe Rais Samia anashinda kwenye uchaguzi wa urais mwaka huu.
SWALI:
Tukiyaamini maneno ya mashekhe hawa, ina maana uchaguzi wa safari hii utakuwa ni ushindani kati ya wanadamu na majini? Kama majini yakishinda, huyu Rais atakuwa wa wanadamu wa Tanzania au atakuwa Rais wa majini?
Wananchi wanapomchagua kiongozi wao, matarajio yao ni kuwa huyo wanayemchagua atawaongoza katika jitihada zao za kuyafikia maendeleo, sasa kama majini yatamchagua mgombea kuwa Rais, hayo majini yanatarajia kunufaika vipi na huyo yaliyempigania?
Wataalam wa majini tunaomba litoleeni ufafanuzi hili la mashekhe kuomba majini yamsaidie Rais Samia, inamaanisha nini katika tafsiri pana?
Nimekuelewa, lakini hili lingesemwa na mwngine pasingekalika.Ndugu yangu ni kwamba sisi waislamu tuko katika makundi na madhehebu tafauti tafauti.
Hao mashehe wanaotangaza ushirikina hadharani kama mlivyoona kwenye video wana wafuasi wao wanaokubaliana na uchawi na ushirikina wao na wengine wamonserikalini na wapo tayari kuwatetea na kuwaunga mkono kwa hali na mali.
Pili kidini maandamano sio njia sahihi ya kuondoa maovu katika jamii.
Tunaishi katika nchi inayoamini uhuru wa kuabudu kwahiyo nchi kama hii hata waabuduo shetani Wana haki ya kumuabudu shetani wao kulingana na katiba, sheria na kanuni za nchi, sisi tunaloweza ni kusema tu kwamba vitendo hivyo ni kinyume na uislamu sahihi aliofundisha mtume Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم.
Kwa desturi ya nchi yetu ni ngumu sana,watu wa namna hii wapo tayari hata kukufanyia ubaya wowote ili kulinda maslahi yake binafsi kwa sababu hata huo Uimamu wa hapo Manyema ana zaidi ya miaka 30 kwenye nafasi hiyo na hakai huko kariakoo anakaa tandika huko hapo Manyema amepafanya ndiyo kazini kwake.Hili haliwezi kufanya waislamu wakamuwajibisha huyp sheikh jongo?? Angeweza kumpigia kampeni Samia bila kuhusisha majini na uislamu
Nategemea waislamu mtaandamana kwa hili la huyu sheikh kudhalilisha dini
Kuna kura za maruhani umesahau ya zenji 🤣Aaaaah kudadeki hatoboi nasikia ayo madude aliyoyaomba msaada ni mengi kinyama yanazid hata idadi ys mchanga wote duniani
Huyu ni mpumbavu mmoja anajiuta Dr sule.Mwenye kufahamu jina la huyu Sheikh.
View attachment 3222765