Mashindano ya kumtafuta bingwa wa draft Tanzania 2022

Anaitwa nan maana Arusha wataleta bingwa wao, na huwa wanaleta bingwa wao anakufa vzr TU,

Unapozungumzia draft TZ unazungumzia Kinondon Manyanya ,hivi hamuelewagi

Mafund wote unaowajua ,lazima afike manyanya akaguliwe kwanza
Sure hapo ni draft college..ndio maana huko mikoa mingine isiyotajwa wachezaji wapo ila wanajijua hawana uwezo wa kutia miguu mashindano ya kitaifa
 
Hata haya mambo aliyafanya dogo ally ifakara alijiangushaa wee akafika adi mangula uko akaishia kurudisha pesa zake na faida..na kubwa zaidi kuna wasukuma waliliwa adi makreti ya soda na bia...

Nyingine personally nshawahi kumvamia kilaba nilipigwa hatari..ikabidi nimsemee kwa mkulima wa online draught tz acheze nae kwa dau la 5000 kila mchezo..ila kilaba alikimbia kucheza na mkulima...yani niliingia mkenge kiboya sana
 
hakuna mnyama hata mmoja hapo mi napiga wote nakata nafunua! wao wana madrafti yao ya kukariri ukianza tu kucheza wanakwambia jina la huo mchezo sasa huko mbele mi sichezi wanavyotarajia wao!
We tula tu.panda kitandani online nikuue
 
Ajabu hiyo wanaita French huku Tz. Ndiyo wanayocheza waingereza(British). Sisi aina yetu ni ya kipekee sana.
 
Unaijua kazi yako. Big up
 
Hivi mkulima anajulikana ni nani? Jamaa anahesabu sana. Watu wanasema anagoogle, anacheza na simu mbili.
 
Draft ni miongoni mwa michezo inayosisimua sana na unayo wapenzi wengi ikisimamiwa vizuri kwa mpangilio maalumu ikanyanyuliwa hadhi yake itastajabisha sana kwa ushabiki wake na wapenzi wengi, HONGERENI.
 
Hao mabingwa wakubwa akina nani ambao kasikio hajawapasua,kifupi tu hao wambingwa wenu wote hakuna anayetia mguu kwa kasikio,muulize sukka ronaldo na mangwerere wanajua moto wake vizuri.
Mangwerere ni mstaafu siku hizi hachezi ila huyo kasikio anaweza akawa anatamba kwenu ila ukimuonesha hiyo list hapo juu lazima awe mnyonge

Au kama vipi mwambie aje ashiriki, sitaki kuamini kama yeye anajua draft kuliko hao halafu aiche milion 2 impite hivi hivi

Mwambie aje, afu baada ya game watu ndo tutajua ni kaskio au kajicho
 
Hao mabingwa wakubwa akina nani ambao kasikio hajawapasua,kifupi tu hao wambingwa wenu wote hakuna anayetia mguu kwa kasikio,muulize sukka ronaldo na mangwerere wanajua moto wake vizuri.
Mkuu kumekucha acha kuota..huyo kasikio mbona hata ubingwa wa taifa singida 2017 hakushiriki (kama yuko mwanza na kigezo ni umbali)..?? Au huwaga anachezea geto na wanawe. ?? Ivi mtu atoke kazuramimba aje amfunge ronaldo...!??
 
Mkuu kumekucha acha kuota..huyo kasikio mbona hata ubingwa wa taifa singida 2017 hakushiriki (kama yuko mwanza na kigezo ni umbali)..?? Au huwaga anachezea geto na wanawe. ?? Ivi mtu atoke kazuramimba aje amfunge ronaldo...!??
Cr7 yeye alijifunzia wapi
 
Hahaaha nao wadau wa british nao wanapiga vijembe draft la french wanakuambia kucheza french ni kuzidi kupigia kampani ushoga

Kwanini ule mbele na nyuma?
Hahaaa! Kwa hiyo british mnampigia chapuo king ndo ale mbele na nyuma tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…