Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KinyooooneGoaaaaall
Dah mzee acha tu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kiti hakikaliki mwili una vibrate tu dakika 90.[emoji23][emoji23][emoji23] hata kvant unapiga kavu ni kama.husikii kituHii SIMBA itatuaa Pumbav
Ni mshenzi..ni utopolo yuleYule mtangazaji wa Azam mnafiki Sana. Alikuwa ameanza kuwaponda Simba.
Dah umeumia sanaHuu mpira wa kibongo wakipumbavu sana.. mashujaaa wasenge sana
Wewe lofa kwani hujui iuwa gsm anafadhili timu 7?Leo hatutosikia kuwa
1;GSM ANAHARIBU LIGI
2;GSM ANANUNUA MECHI
3;GSM ANAHONGA WAPINZANI WA SIMBA
4;GSM ANAMILIKI TEAM 7
Hao ndiyo chupi upande fc
Gsm anatuharibia mpira 😹Unaanzaje kuacha kuikubali Simba?
Na Azam anafadhili timu ngapi?Wewe lofa kwani hujui iuwa gsm anafadhili timu 7?
Haier yuko paleDah kumbe ni tawi lao..ndo mana si bure leo wametukamia sana sjui walipewa mbinu na mobeto fc
Achomoe wapi kitu kimezamaChomoa kama inauma!
Mechi imechezeshwa fair kabisa hakuna sehemu ambayo unaweza ku doubt maamuzi ya refa.huyu sasa ndo refa wakuchezesha derby ile ya kariakoo,siyo kale kanyoko fc
Dawa yao ni kuwafunga kama hiviYule mtangazaji wa Azam mnafiki Sana. Alikuwa ameanza kuwaponda Simba.